Nyami2010
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 227
- 50
Wapendwa wana JF
Bila kujali wewe ni chama gani tafadhari nisaidie kujua:
1. Ni chama gani mbadala kwa CCM hapa Tanzania?
2. Kwa nini tunasema CCM basi (is it irrepairable)?
3. Huyo wa kushika usukani, anao ubavu kwa maana ya nguvu watu?
4. Au tunadanganywa na ushawishi wa mtu mmoja au wawili?
5. Tunapodadavua haya, angalia chama bila fulani na fulani....., itakuwaje?
Ndugu zangu: Chama ni watu makini na si bora watu! Bora niwe na wanachama watano (5) makini kuliko wanachama 5,000 ovyo, wagomvi, wahuni na wavuta bangi!
Ninahisi huko mbele tuendako tunaweza kujikuta tunajuta na kusaga meno huku tukisema; bora.....................kuliko hawa.......................:tonguez:. Watanzania tuchambue mbivu na mbichi mapema, tusifike huko!
Kwa wenzetu msiopenda kusikia msioyapenda, leteni matusi kama kawa..........:dance:
Bila kujali wewe ni chama gani tafadhari nisaidie kujua:
1. Ni chama gani mbadala kwa CCM hapa Tanzania?
2. Kwa nini tunasema CCM basi (is it irrepairable)?
3. Huyo wa kushika usukani, anao ubavu kwa maana ya nguvu watu?
4. Au tunadanganywa na ushawishi wa mtu mmoja au wawili?
5. Tunapodadavua haya, angalia chama bila fulani na fulani....., itakuwaje?
Ndugu zangu: Chama ni watu makini na si bora watu! Bora niwe na wanachama watano (5) makini kuliko wanachama 5,000 ovyo, wagomvi, wahuni na wavuta bangi!
Ninahisi huko mbele tuendako tunaweza kujikuta tunajuta na kusaga meno huku tukisema; bora.....................kuliko hawa.......................:tonguez:. Watanzania tuchambue mbivu na mbichi mapema, tusifike huko!
Kwa wenzetu msiopenda kusikia msioyapenda, leteni matusi kama kawa..........:dance: