Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,606
- 29,754
Chama cha Wauguzi TANNA wametoa waraka unaoelezea sakata lao na waandaaji wa thamthilia ya Zahanati ya Kijiji onayorushwa na kituo cha Azam TV.
Wadau mbalimbali wa sanaa wameonesha kuchukizwa na mwenendo wa chama hiko cha wauguzo kuongilia taaluma ya sanaa hususani kuonesha dalili ya kulazimisha kuiweka masharti taaluma ya sanaa hususani filamu na uigizaji.
Tamko la chama cha wauguzi 👇👇👇
Mpaka muda huu, Bodi ya Filamu ambayo ndiyo iliyoongoza kikao cha usuluhishi imekaa kimya bila kutoa tamko lolote kuhusu maafikiano yaliyofikkwa baina ya TANNA na waandaaji wa tamthilia ya Zahanati ya Kijiji.
Hapa ni tamko la awali ambalo lilitolewa na asasi ya kutetea Sanaa na Wasanii ambao walishiriki kwa upande wa utetezi yaani waandaaji wa Zahanati ya Kijiji walitoa tamko kwa niaba ya wwaandaaji hao
Tamko la Tanzania Artists Rights Organization (TARO) kabla ya kikao cha kusikiliza malalamiko ya TANNA👇👇
Press ya TARO baada ya kikao cha masikilizano baina ya TANNA na muandaaji wa tamthilia ya Zahanati ya Kijiji. Ikumbukwe TARO ilihusika katika nafasi ya utetezi wa muandaaji. 👇👇👇
Chama cha wauguzi Tanzania kimeonesha dhahiri kuitunishia misuli Bodi ya Filamu kwa kulazimisha hoja zake ambazo nyingi hazikuwa kwenye msingi wa madai yake na kuzifanya kuwa ndiyo maazimio ya kikao hicho.
Ikumbukwe, TARO walisimamia hoja kuu ya kuweka zuio ya kusitisha ama kusimamisha kurushwa kwa tamthiliya hiyo. Na lengo hilo lilifanikiwa hivyo watazamaji na wapenzi wa tamthilia ya Zahanati ya Kijiji wataendelea kuitazama kupitia kituo cha Azam Tv.
Bodi ya Filamu Tanzania imeendelea kuwa kimya bila.kusema lolote kwenye sakata hili ambalo TANNA wanajaribu kuwaridhisha wanachama wake kuwa chama hiko kina uwezo wa kutoa maagizo kwa mamlaka halali za Serikali na kuingilia uhuru wa kutoa maoni kupitia sanaa.
Wadau mbalimbali wa sanaa wameonesha kuchukizwa na mwenendo wa chama hiko cha wauguzo kuongilia taaluma ya sanaa hususani kuonesha dalili ya kulazimisha kuiweka masharti taaluma ya sanaa hususani filamu na uigizaji.
Tamko la chama cha wauguzi 👇👇👇
Mpaka muda huu, Bodi ya Filamu ambayo ndiyo iliyoongoza kikao cha usuluhishi imekaa kimya bila kutoa tamko lolote kuhusu maafikiano yaliyofikkwa baina ya TANNA na waandaaji wa tamthilia ya Zahanati ya Kijiji.
Hapa ni tamko la awali ambalo lilitolewa na asasi ya kutetea Sanaa na Wasanii ambao walishiriki kwa upande wa utetezi yaani waandaaji wa Zahanati ya Kijiji walitoa tamko kwa niaba ya wwaandaaji hao
Tamko la Tanzania Artists Rights Organization (TARO) kabla ya kikao cha kusikiliza malalamiko ya TANNA👇👇
Press ya TARO baada ya kikao cha masikilizano baina ya TANNA na muandaaji wa tamthilia ya Zahanati ya Kijiji. Ikumbukwe TARO ilihusika katika nafasi ya utetezi wa muandaaji. 👇👇👇
Chama cha wauguzi Tanzania kimeonesha dhahiri kuitunishia misuli Bodi ya Filamu kwa kulazimisha hoja zake ambazo nyingi hazikuwa kwenye msingi wa madai yake na kuzifanya kuwa ndiyo maazimio ya kikao hicho.
Ikumbukwe, TARO walisimamia hoja kuu ya kuweka zuio ya kusitisha ama kusimamisha kurushwa kwa tamthiliya hiyo. Na lengo hilo lilifanikiwa hivyo watazamaji na wapenzi wa tamthilia ya Zahanati ya Kijiji wataendelea kuitazama kupitia kituo cha Azam Tv.
Bodi ya Filamu Tanzania imeendelea kuwa kimya bila.kusema lolote kwenye sakata hili ambalo TANNA wanajaribu kuwaridhisha wanachama wake kuwa chama hiko kina uwezo wa kutoa maagizo kwa mamlaka halali za Serikali na kuingilia uhuru wa kutoa maoni kupitia sanaa.