Chama cha Mapinduzi Tuepuke Kunasa kwenye Mtego wa Chadema Siku ya Uchaguzi.

Chama cha Mapinduzi Tuepuke Kunasa kwenye Mtego wa Chadema Siku ya Uchaguzi.

Kimalingano

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2023
Posts
1,335
Reaction score
1,723
CCM tusije tukanasa kwenye mtego ambao Chadema wanauandaa.Wao wanataka wapiga kura wasijitokeze kupiga kura siku ya uchaguzi.

Lakini wanataka kuhamasisha maandamano nchi nzima kama kampeni ya kuzuia uchaguzi hiyo siku ya uchaguzi.

Ikitokea vyombo vya ulinzi na usalama vimesambazwa kuzuia maandamano,maana yake vitakuwa vimesaidia lengo la Chadema kutimia kwani wananchi wataogopa kutoka kwenda kupiga kura.
 
CCM tusije tukanasa kwenye mtego ambao Chadema wanauandaa.Wao wanataka wapiga kura wasijitokeze kupiga kura siku ya uchaguzi.

Lakini wanataka kuhamasisha maandamano nchi nzima kama kampeni ya kuzuia uchaguzi hiyo siku ya uchaguzi.

Ikitokea vyombo vya ulinzi na usalama vimesambazwa kuzuia maandamano,maana yake vitakuwa vimesaidia lengo la Chadema kutimia kwani wananchi wataogopa kutoka kwenda kupiga kura.

Sisiemu wataenda mmoja mmoja kwenda kupiga kura na si kwa makundi.
 
Kwa yaliyotokea uchaguzi mkuu uliopita na WA serikali za mitaa unadhani Kuna uchaguzi wa haki utakao fanyika au 'uchafuzi' ule wa Magufuli?
Mimi sizungumzii uhalali wa uchaguzi.Hiyo ni mada tofauti.
Nazungumzia huo mtego.Lengo ni kuwatonya wana CCM wenzangu.
 
Hivi kunauwezekano kweli wakipata tume huru kwa muda uliobaki? Yangefanyika marekebisho machache hasa kwenye wakurugenzi na nyadhifa za juu za tume. Lakini kuunda upya tume ni uongo.
 
Kwa yaliyotokea uchaguzi mkuu uliopita na WA serikali za mitaa unadhani Kuna uchaguzi wa haki utakao fanyika au 'uchafuzi' ule wa Magufuli?
Kabla hata ya huo uchafuzi wa Magufuli, hakujawahi kuwepo uchaguzi wa haki Tanzania na ndio maana wengi tu tumekuwa hatujisumbui kwenda kushiriki uchaguzi ambao matokeo yanajulikana kabisa.
 
CCM tusije tukanasa kwenye mtego ambao Chadema wanauandaa.Wao wanataka wapiga kura wasijitokeze kupiga kura siku ya uchaguzi.

Lakini wanataka kuhamasisha maandamano nchi nzima kama kampeni ya kuzuia uchaguzi hiyo siku ya uchaguzi.

Ikitokea vyombo vya ulinzi na usalama vimesambazwa kuzuia maandamano,maana yake vitakuwa vimesaidia lengo la Chadema kutimia kwani wananchi wataogopa kutoka kwenda kupiga kura.
vibaka na matapeli wa kisiasa kama Lisu anaetembea na tiketi ya ndege mfukoni na heche anaefanya kazi mpaka awe amepuliza moshi,

hawaezi kutega chochote popote,
Uchaguzi mkuu utafanyika kwa salama na amani bila mbambamba yoyote gentleman 🐒
 
CCM tusije tukanasa kwenye mtego ambao Chadema wanauandaa.Wao wanataka wapiga kura wasijitokeze kupiga kura siku ya uchaguzi.

Lakini wanataka kuhamasisha maandamano nchi nzima kama kampeni ya kuzuia uchaguzi hiyo siku ya uchaguzi.

Ikitokea vyombo vya ulinzi na usalama vimesambazwa kuzuia maandamano,maana yake vitakuwa vimesaidia lengo la Chadema kutimia kwani wananchi wataogopa kutokaq213Q kwenda kupiga kura.
2025 - 2035????? 📌

9YuV-t8gibNX29HdbyNWD_JWnaZegc9DVx7x5mJnVBg (1).jpeg
 
Hivi kunauwezekano kweli wakipata tume huru kwa muda uliobaki? Yangefanyika marekebisho machache hasa kwenye wakurugenzi na nyadhifa za juu za tume. Lakini kuunda upya tume ni uongo.
umeambiwa serikali hii itaongezewa muda miaka mitatu ifanye matengenezo
 
Kabla hata ya huo uchafuzi wa Magufuli, hakujawahi kuwepo uchaguzi wa haki Tanzania na ndio maana wengi tu tumekuwa hatujisumbui kwenda kushiriki uchaguzi ambao matokeo yanajulikana kabisa.
na CCM walivyo BOLD wanajisifu kabisa kupiga bao la mkono!
 
Hao hata usiku wanaweza kufunguliwa vyumba wakapiga kura
Umesema ukweli kikawaida hauwezi kushindana na SISIEMU wakitaka jambo lao ,wanaweza hata wasionekane kwenye vituo vya kura lakini msimamizi wa uchaguzi kutoka NEC akatoa matokeo ya washiriki wa kutosha hadi kuvunja record ya 2015.
 
Umesema ukweli kikawaida hauwezi kushindana na SISIEMU wakitaka jambo lao ,wanaweza hata wasionekane kwenye vituo vya kura lakini msimamizi wa uchaguzi kutoka NEC akatoa matokeo ya washiriki wa kutosha hadi kuvunja record ya 2015.
Ndio maaa TAL anasema tushiriki uchaguzi

ili iweje?

na wananchi maelfu kwa maelefu wanamuelewa

Ajabu akina Mrema wao wanawaza maisha yao ya RUZUKU ndiyo yamefika mwisho
 
na wananchi maelfu kwa maelefu wanamuelewa
Wananchi siku zote ni waelewa ila kufanya implementation ya waliyoelewa ndiyo inakuwa ngumu ,rejea maandamano yaliyopangwa baada ya uchaguzi 2020 TAL.Lema wakakimbia nchi ,pia maandamano ya mauaji ya Ali Kibao yaliyofeli ambapo TAL hata hajashiriki na wanacnchi pia hawakushiriki ,je kuna muujiza gani hao wananchi kujitokeza this time ambapo CDM kuna mtifuano?

Ndio maaa TAL anasema tushiriki uchaguzi
Faida ya kutoshiriki ni nini? CDM wasiposhiriki ndiyo uchaguzi hautotangazwa au hautofanyika?

Ajabu akina Mrema wao wanawaza maisha yao ya RUZUKU ndiyo yamefika mwisho
Lengo la mwanasiasa ni kuongoza wananchi kupitia uchaguzi kuleta maendeleo ya ngazi husika ,na wana haki kikatiba kugombea na kutoa maoni yao.

Mwanasiasa yeyote lengo lake kwa priorities:-

1.Maslahi binafsi.
2.Maslahi ya Chama/Serikali.
3.Maslahi ya wananchi.
 
vibaka na matapeli wa kisiasa kama Lisu anaetembea na tiketi ya ndege mfukoni na heche anaefanya kazi mpaka awe amepuliza moshi,

hawaezi kutega chochote popote,
Uchaguzi mkuu utafanyika kwa salama na amani bila mbambamba yoyote gentleman 🐒


Unavyojenga tu hoja yake, inadhirisha kichwani hakuna kitu. Pole sana, kwa sababu hukupenda uwe hivyo.
 
CCM si inajinadi kuwa na wapigakura million moja? 😲
Kumbe mnahitaji nani tena aje kupiga kura? Wapiga kura mnao pigeni wenyewe!.
 
CCM si inajinadi kuwa na wapigakura million moja?
Kumbe mnahitaji nani tena aje kupiga kura? Wapiga kura mnao pigeni wenyewe!.
Wanasema wapo million 12 wataenda wenyewe inatosha.
 
Back
Top Bottom