MHASIBU HALISI
Member
- Aug 10, 2011
- 35
- 13
Hivi jamani hapa Tanzania kuna chama cha kutetea masilahi ya wahasibu ? Kama kipo mbona hatukisikii ?
Kwa tafiti nilizozifanya inaonesha watu wanaofanya kazi za uhasibu kwa hapa Tanzania wanalipwa pesa kidogo sana ukilinganisha na unyeti wa kazi wanayoifanya.
Jamani chama cha kutetea haki za wahasibu hapa Tanzania kipo au hakipo ?
Kwa tafiti nilizozifanya inaonesha watu wanaofanya kazi za uhasibu kwa hapa Tanzania wanalipwa pesa kidogo sana ukilinganisha na unyeti wa kazi wanayoifanya.
Jamani chama cha kutetea haki za wahasibu hapa Tanzania kipo au hakipo ?