Kyaiyembe
JF-Expert Member
- Dec 1, 2011
- 1,713
- 670
Hivi kweli ZeMarcopolo kuna ulaghai unaoweza kuzidi huu wa kukusanya kodi kutoka kwa mtu masikini kwa kipindi cha miaka mitano alafu anashindwa kumpati hata dawa tu badala yake unampeleke tisheti, kanga na kofia?.
Vyama vyote vinavyovitwa walaghai vimelaghai nini kwa wa-Tanzania?. Njoo na hoja nyingine.
Watu tunaviunga mkono vyama pinzani baada ya kulaghaiwa na walio na jukumu la kututumikia, lakini wanatumikia matumbo yao na kutugeuza sisi ngazi za mafanikio yao.
Vyama vyote vinavyovitwa walaghai vimelaghai nini kwa wa-Tanzania?. Njoo na hoja nyingine.
Watu tunaviunga mkono vyama pinzani baada ya kulaghaiwa na walio na jukumu la kututumikia, lakini wanatumikia matumbo yao na kutugeuza sisi ngazi za mafanikio yao.
Last edited by a moderator: