Chama cha Kilaghai Tanzania...

Chama cha Kilaghai Tanzania...

BAK, ndiyo maana nikasema Chadema kwa sasa wana nafuu sana katika vyama vyote vya Tanzania, ila wapo kwenye hali mbaya sana kwa mashambulizi kutoka CCM.

Rwakatale kwa sasa ndiyo wamemkaanga na itabidi awe mwangalifu zaidi kwenye mambo yake. Ila naweza kumtetea kuwa kwenye kitengo cha Usalama cha chama, inabidi uwe TOUGH na mzito hasa. Huko hakuna kuchekeana ili muradi usizidishe mpaka. Ukiona uuwaji unaoendelea hapa nchini na ulaghai, inabidi UMAFIA wakati mwingine ufanyike ili Wasaliti wajue kuwa Wakisaliti, basi cha moto watakiona - Ni jambo la kawaida hili hata VATICAN linafanyika.

Ukiangalia katika vyama vyote, unaona ni heri Tanzania itawaliwe na Chadema walau kwa miaka 5 ili CCM wajipange upya na waje na viongozi Imara na siyo waliopo sasa na hasa juu maana huku chini huwa ni Mkia.
Ahsante sana Mkuu lakini kamwe hatuwezi kukifananisha CHADEMA na CCM, CCM madudu yao ya kuisambatarisha nchi yako chungu nzima na hata kabla Mwalimu hajafariki aliona dalili nyingi za CCM kuwa chama cha hovyo hovyo tu na akatoa onyo kwa CCM kuhusu utendaji wake. Haikuwa bahati CDM kuanza kupata umaarufu katika sehemu mbali mbali nchini. Watanzania wamenza kufungua macho na kumjua mbaya wao anayesababisha nchi kubaki nyuma kimaendeleo.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
BAK, ndiyo maana nikasema Chadema kwa sasa wana nafuu sana katika vyama vyote vya Tanzania, ila wapo kwenye hali mbaya sana kwa mashambulizi kutoka CCM.

Rwakatale kwa sasa ndiyo wamemkaanga na itabidi awe mwangalifu zaidi kwenye mambo yake. Ila naweza kumtetea kuwa kwenye kitengo cha Usalama cha chama, inabidi uwe TOUGH na mzito hasa. Huko hakuna kuchekeana ili muradi usizidishe mpaka. Ukiona uuwaji unaoendelea hapa nchini na ulaghai, inabidi UMAFIA wakati mwingine ufanyike ili Wasaliti wajue kuwa Wakisaliti, basi cha moto watakiona - Ni jambo la kawaida hili hata VATICAN linafanyika.

Ukiangalia katika vyama vyote, unaona ni heri Tanzania itawaliwe na Chadema walau kwa miaka 5 ili CCM wajipange upya na waje na viongozi Imara na siyo waliopo sasa na hasa juu maana huku chini huwa ni Mkia.

Mentality za ajabu sana
umafia utumike kwenye demokrasia?
 
Ndugu yangu BOSS, au unatania au hujafuatilia Siasa za mataifa yaliyoendelea.

Umeshawahi kumsikia mtu anaitwa Prime Minister OLOF PALME? usiseme ni Majambazi walimuuwa.

Nimeshasema zamani kuwa bila kumwagika damu, mabadiliko hayatakuja kutokea.

Tuombe Mungu tu wapigane wenyewe huko juu maana vinginevyo, Kenya na Rwanda itakuwa cha mtoto.

Mwisho wa siku kwa sisi tuliopitia JKT, inajulikana kabisa kabisa dhambi ya kusaliti ni RISASI.
Mentality za ajabu sana
umafia utumike kwenye demokrasia?
 
Si ajabu tukafika huko mkuu kwenye UMAFIA unaozungumzia. Hakuna aliyedhani kwamba tutafikia kuona mauaji yanayofanywa kidini nchini kwa kuwa tu mhusika ni wa dini hii au ile, lakini tumeyaona. Sasa pamoja na CCM kutumia vyombo vya dola katika kutimiza uharamia wake itafika wakati wanaofanyiwa uharamia wakachoka na wao kuanza kurudisha mashambulizi, hilo linaweza kabisa kutokea Mkuu Sikonge.

BAK, ndiyo maana nikasema Chadema kwa sasa wana nafuu sana katika vyama vyote vya Tanzania, ila wapo kwenye hali mbaya sana kwa mashambulizi kutoka CCM.

Rwakatale kwa sasa ndiyo wamemkaanga na itabidi awe mwangalifu zaidi kwenye mambo yake. Ila naweza kumtetea kuwa kwenye kitengo cha Usalama cha chama, inabidi uwe TOUGH na mzito hasa. Huko hakuna kuchekeana ili muradi usizidishe mpaka. Ukiona uuwaji unaoendelea hapa nchini na ulaghai, inabidi UMAFIA wakati mwingine ufanyike ili Wasaliti wajue kuwa Wakisaliti, basi cha moto watakiona - Ni jambo la kawaida hili hata VATICAN linafanyika.

Ukiangalia katika vyama vyote, unaona ni heri Tanzania itawaliwe na Chadema walau kwa miaka 5 ili CCM wajipange upya na waje na viongozi Imara na siyo waliopo sasa na hasa juu maana huku chini huwa ni Mkia.
 
Watu tuna kila haki
ya kuamini kuwa una chuki kwa kunyimwa nafasi na kufukuzwa CDM zaidi ya
dhamira ya kuwafanya watanzania kuchagua chama bora. Pamoja na kupiga
tararira zote hizi haujatueleza watanzania, hasa sisi vijana wasomi,
tusio wanasiasa lakini tunahitaji future nzuri ya watoto zetu, chama
mbadala ni kipi?? Yes umeeleza mapungufu ya CHADEMA kwa mujibu wa fikra
zako ambazo kimsingi hakuna jipya hapo, ni mambo ambayo tumekuwa
tukiyasikia kila siku kutoka kwa watu walewale ambao either ni maccm au
wanasiasa njaa waliofukuzwa CDM, je nini chama mbadala kama CDM haifai
kwa mujibu wa hoja zako?? Turudi kuiunga mkono CCM?? Twende NCCR??
Twende CUF? Au tuiache nchi yetu ikiendelea KUANGAMIA KWA UFISADI NA
UMASKINI?

jibu hoja
 
1 Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa - Nzega, Tabora
2. Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda - Tanga mjini
3. Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria - Igunga
4. Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU) - Shinyanga
5.Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini - Dodoma
6. Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono - Dodoma mjini
7. Kuwapatia trekta wakulima - Kata ya Mrijo, Dodoma
8. Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi - Kagera
9.Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi - Kagera
10. Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba - Bukoba Mjini
11. Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini
12. Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda - Kagera
13. Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme - Kagera
14. Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu - Kagera
15. Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua albino - Mbeya
16. Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba - Kagera
17. Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali
18. Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika - Mwanza
19. Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenye vifaa kupambana na wahalifu - Mwanza
20. Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani - Geita
21. Kulinda muungano kwa nguvu zote - Pemba
22. Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa - Morogoro
23. Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa - Mbeya mjini
24.Kujenga bandari Kasanga � Rukwa
25. Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea
26. Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira - Mbeya
27. Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama - Tanga
28. Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini - Iringa
29. Kujenga barabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani � Kihurio na kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi - Dar es salaam - Same mkoani Kilimanjaro
30. Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya Same - Same Mjini
31.Kuboresha barabara za Igunga - Tabora
32. Kusambaza walimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu - Kisesa Magu
33.Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya - Mbeya Mjini
34. Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN) - Hydom Manyara
35. Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa - Musoma
36.Kulinda haki za walemavu - Makete
37. Kujenga baabara ya Njombe - Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109 - Iringa mjini
38. Kujenga barabara Musoma � Mto wa Mbu Arusha - Arusha
39. Kuanzisha jimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini
40. Kujenga barabara ya lami Manyoni-Kigoma � Kaliua,Tabora
41. Kukarabati barabara ya Arusha Moshi - Arusha Mjini
42. Kuboresha barabara ya Handeni, Kondoa, mpaka Singida - Dodoma
43. Kuwafidia wanakijiji ng�ombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009 - Longido
44. Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria - Shinyanga-Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga
45. Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha � Arusha mjini
46. Kukopesha wavuvi zana za kilimo - Busekera, Wilaya ya Musoma
47. Kuwapatia maji wakazi wa Wilaya ya Longido - Longido
48. Kujenga barabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Seregenti � Ngorongoro
49. Utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na kutunza mifugo yao vizuri - Mbulu mkoani Manyara
50. Kusambaza maji nchi nzima - Babati vijijini
51. Kusambaza umeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na utoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015 - Babati vijijini
52. Kuongeza mara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa mfumo wa vocha - Iringa
53. Kuhakikisha Isimani inapata maji ya uhakika - Iringa
54. Kuiwekea lami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo hifadhi kubwa kuliko zote Tanzania - Iringa
55. Kulinda usalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi -Ifunda
56. Kutokomeza malaria 2015 - Bunda, mkoa wa Mara
57. Kuwapa wanawake nafasi zaidi - Kilolo, Iringa
58. Ahadi kuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii - Kibandamaiti Mjini Zanzibar
59.Kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa - Kibandamaiti mjini Zanzibar
60. Kuisaidia Zanzibar kila panapohitajika msaada - Kibandamaiti
61. Serikali kujenga upya bandari ya Mbambabay - Ruvuma
62. Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400 - Mbambabay Ruvuma
63. kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga (MBICU) � Ruvuma
64. Ahadi Rais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania � Ruvuma
65. Ahadi hakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam
66.Mtwara kuwa mji wa Viwanda � Mtwara
67. Ahadi ujenzi wa kwanda cha dawa ya kuua viluilui vya mbu - Kibaha
68. Hospitali ya Tumbi kuwa ya mkoa - Kibaha
69. Halmashauri ya manispaa ya Kibaha kutenga eneo maalumu la viwanda - Kibaha

Hizo kwenye red naona zimetekelezwa! Kumbe JK ametekeleza nyingi na anaendelea kutekeleza wakati anakombelezea urais wake.

Tuanze kuchambua hoja moja-moja.
Tuanzie namba 5. Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini - Dodoma
Migogoro ya ardhi ndio kwanza inaongezeka.
Angalia hapa chini....

Serikali yakwama kumaliza mgogoro wa wakulima, wafugaji Rufiji

http://www.habarileo.co.tz/index.ph...i-chanzo-cha-migogoro-ya-wafugaji-na-wakulima
Upo hapo !!

Tukimaliza point hii, tunaendelea na namba 6. Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono - Dodoma mjini
 
Kimbunga

ZeMarcopolo

Ritz

Tunaendelea na 'ahadi' zilizotekelezwa za JK.

Namba 6. Kumaliza matumizi ya jembe la mkono.
Hivi kweli 'amemaliza' , au 'ameanza kumaliza' matumizi ya jembe la mkono Tanzania ??

Angalia hapa chini...

Kilimo ndiyo uti wa mgongo wa uchumi wa Tanzania. Kilimo kinachukua takriban nusu ya pato zima la taifa na robo tatu ya bidhaa zote zinazouzwa nchi za nje. Pamoja na kutoa chakula, kilimo vile vile kinatoa ajira kwa asilimia 80 ya Watanzania. Sehemu kubwa ya kilimo Tanzania ni cha wakulima wadogo-wadogo (small-holder farmers, au peasants) ambao mashamba yao yana ukubwa wa kati ya hekta 0.9 na hekta 3.0 kila moja. Karibu asilimia 70 ya ardhi ya ukulima wa mazao inalimwa kwa kutumia jembe la mkono, asilimia 20 kwa kutumia maksai na asilimia 10 kwa kutumia trekta. Kilimo cha Tanzania ni cha kutegemea mvua. Uzalishaji wa mazao ya chakula ndio unaoongoza katika uchumi wa Kilimo.

Source: Tanzania National Website

[h=2]JK : Nitamaliza matumizi ya jembe la mkono.[/h] Na Fredy Bakalemwa , Kilwa Masoko
CHAMA cha Mapinduzi CCM kupitia kwa mgombea wa urais wa jamhuri ya muungano wa
Tanzania Dokta Jakaya Kikwete kimesema kimedhamiria kuwakomboa wakulima ili
waondokane na matumizi ya jembe la mkono hatua kwa hatua hasa kwa kuwakopesha
matrekta madogo na makubwa kupitia halmashauri za wilaya.
Dokta Jakaya Kikwete amesema ikiwa serikali iliyopo mdarakani itapata ridhaa ya
wananchi ili iendelee kuongoza Tanzania, wakulima kote nchini watakopeshwa zana
bora za kilimo
na kwamba ili kufanikisha azma hiyo viongozi wa halmashauri za
wilaya waweke utaratibu mzuri usio na upendeleo ili wakulima wanyonge waweze
kunufaika.
 
Last edited by a moderator:
Hivi unajua mwaka 1959 wakati Mzee Mtei anaajiriwa na serikali ya kikoloni ya mwingereza nchi ilikuwa katika harakati gani?

cc Mohamed Said

I dont live in the past but i respect and learn from it... Mwaka 1959 sikuwepo na haunisaidii chchote ila kwako if is a great deal je wewe utakuwepo mwaka 2100!!!?? Unajua harakati gani zitakuwa zinaendelea!!!??? Kizazi chenye mawazo ya Nyerere alisema, kama nyerere angekuwepo, mwaka 1959 ilikuwa lalalalala..............., lalalala...... kimekufa kimawazo. Kila siku kulaumu na kufikiri wazee walikosea hawakufanya hivi, hawakushiriki hikiii, dadadaaaa!! inaboaaa. wewe unafanya nini sasa ambacho wajukuuu wako watajivunia badala ya kunikumbusha mwaka 1959????!!!
 
I dont live in the past but i respect and learn from it... Mwaka 1959 sikuwepo na haunisaidii chchote ila kwako if is a great deal je wewe utakuwepo mwaka 2100!!!?? Unajua harakati gani zitakuwa zinaendelea!!!??? Kizazi chenye mawazo ya Nyerere alisema, kama nyerere angekuwepo, mwaka 1959 ilikuwa lalalalala..............., lalalala...... kimekufa kimawazo. Kila siku kulaumu na kufikiri wazee walikosea hawakufanya hivi, hawakushiriki hikiii, dadadaaaa!! inaboaaa. wewe unafanya nini sasa ambacho wajukuuu wako watajivunia badala ya kunikumbusha mwaka 1959????!!!

Kumbe wewe ni miongoni mwa wale wasiojua umuhimu wa historia.
Haya endelea kulaghaika na chadema.

Mwenzako Mzee Mtei anakwambia mwaka 1954 hakuweza kushriki harakati za TANU za kupigania Uhuru kwa sababu alikuwa chuo kikuu anasoma wakati huohuo Mzee Mtei ni miongoni mwa waliomhamasisha Mnyika aache elimu yake ya chuo kikuu na kujikita kwenye shughuli za chadema.

"Akili za kuambiwa,..."
 
Kumbe wewe ni miongoni mwa wale wasiojua umuhimu wa historia.
Haya endelea kulaghaika na chadema.

Mwenzako Mzee Mtei anakwambia mwaka 1954 hakuweza kushriki harakati za TANU za kupigania Uhuru kwa sababu alikuwa chuo kikuu anasoma wakati huohuo Mzee Mtei ni miongoni mwa waliomhamasisha Mnyika aache elimu yake ya chuo kikuu na kujikita kwenye shughuli za chadema.

"Akili za kuambiwa,..."

SO U THINK MNYIKA IS UNDER ACHIEVER!!! MNYIKA IS A ROLE MODEL AND SUCCESSFUL POLITICIAN!!!!, KULA VIJANA WENGI WAPO MTAANI NA NI GRADUATE NA HWAMFIKII HATA ROBO MAFANIKIO ALIYOFIKIA MNYIKA!!! WHAT DO U TELL THEM!!!!???? WAENDELEE KUSOMA WATAPATA KAZI NZURIIII!!!!!!!!!?? UNACHOJARIBU KUFANYA NI KUDISCOURAGE VIJANA WASIJARIBU KIZIFUATA NDOTOO ZAO ILA BAHATI MBAYA UNAMTUMIA MNYIKA KAMA MFANO WA KUPOTEA WAKATI WEWE NDIO ULIYEPOTEA. Tupo watu wenye vyeti vizuri na elimu nzurii tuu lakini hatuna uthubutu wa kufanya au hata uwezo wa kufikia robo ya yale ysaliyofikiwan na kina Mnyia Mbowe NA Zito. But it doesnt meann am nobody I good at what I do mfano kama ningekuwa Mwanasiasa ungekuwa unaniongelea sasa hivi kama unavyohangaika na CHADEMA, MNYIKA na MZEE MTEI WA ENZI ZA NYERERE. U SEE WHAT I MEAN!!!!??. UKIJA KWENYE FANI YANGU UTANIJUA TUU AU UTAAMBIWA KUHUSU UTENDAJI WANGUU WA KAZI. SO KUNIAMBIA NINA AKILI ZA KUAMBIWA IS AN INSULT. HAPO ULIPO UNAFANYA KAZI YA KUKOSOA KAZI ZILIZOFNYWA NA WANAUME WENZAKO NA UNASEMA UNA AKILI ZAKO MWENYEWE KWELII!!?? NIONYESHE ULICHOFANYA WEWE KWENYE SIASA AMBACHO TUNAWEZA HATA KUKUKOSOA KAKA.

KUBOMOA AU KUKOSOA NI KAZI RAHISI SANA NI WATU WACHACHE SANA WANA UBAVU WA KUJENGA NYUMBA ZAO WENYWEWE LAKINI KUBOMOA AU KUHARIBU NYUMBA NI RAHISI SANAA HATA MTOTO WA MIAKA MITATU ANAWEZA KUTEKETEZA GHOROFA KWA NJITI MOJA TUU YA KIBERITI. NINGEKUONA UPO VIZURI SANA KAMA UNGEKUJA NA UCHUMBUZI AU UNGEINGIA KWENYE HUO MFUMO UKAJITOLEA KUJENGA MFUMO WA SIASA AMBAO UNAUTAKA WEWE OTHERWIZE MCHANGO WAKO KWENYE KUJENGA SIASA ZA NCHI HII HAUPO NA NDIO MAANA UNAKAA KUWAONGELEA WATU WALIOFUKUZWA KWENYE VYAMA NA AMBAO HUKO WALIKOHAMIA HAWANA CHA TOFAUTI WANACHOFANYA ZAIDI YA KUKOSOA KULE WALIKOTOKA. aU UNIAMBIE HII NI MOJA KATI YA SERA ZA CCM (KUONGELEA CHADEMA?!! This is very possibble otherwise wasingepewa majukwaa ya kuongelaea kwenye chama chenye umri mkubwa na historia ndefU kama CCM.
 
SO U THINK MNYIKA IS UNDER ACHIEVER!!! MNYIKA IS A ROLE MODEL AND SUCCESSFUL POLITICIAN!!!!, KULA VIJANA WENGI WAPO MTAANI NA NI GRADUATE NA HWAMFIKII HATA ROBO MAFANIKIO ALIYOFIKIA MNYIKA!!! WHAT DO U TELL THEM!!!!???? WAENDELEE KUSOMA WATAPATA KAZI NZURIIII!!!!!!!!!?? UNACHOJARIBU KUFANYA NI KUDISCOURAGE VIJANA WASIJARIBU KIZIFUATA NDOTOO ZAO ILA BAHATI MBAYA UNAMTUMIA MNYIKA KAMA MFANO WA KUPOTEA WAKATI WEWE NDIO ULIYEPOTEA. Tupo watu wenye vyeti vizuri na elimu nzurii tuu lakini hatuna uthubutu wa kufanya au hata uwezo wa kufikia robo ya yale ysaliyofikiwan na kina Mnyia Mbowe NA Zito. But it doesnt meann am nobody I good at what I do mfano kama ningekuwa Mwanasiasa ungekuwa unaniongelea sasa hivi kama unavyohangaika na CHADEMA, MNYIKA na MZEE MTEI WA ENZI ZA NYERERE. U SEE WHAT I MEAN!!!!??. UKIJA KWENYE FANI YANGU UTANIJUA TUU AU UTAAMBIWA KUHUSU UTENDAJI WANGUU WA KAZI. SO KUNIAMBIA NINA AKILI ZA KUAMBIWA IS AN INSULT. HAPO ULIPO UNAFANYA KAZI YA KUKOSOA KAZI ZILIZOFNYWA NA WANAUME WENZAKO NA UNASEMA UNA AKILI ZAKO MWENYEWE KWELII!!?? NIONYESHE ULICHOFANYA WEWE KWENYE SIASA AMBACHO TUNAWEZA HATA KUKUKOSOA KAKA.

KUBOMOA AU KUKOSOA NI KAZI RAHISI SANA NI WATU WACHACHE SANA WANA UBAVU WA KUJENGA NYUMBA ZAO WENYWEWE LAKINI KUBOMOA AU KUHARIBU NYUMBA NI RAHISI SANAA HATA MTOTO WA MIAKA MITATU ANAWEZA KUTEKETEZA GHOROFA KWA NJITI MOJA TUU YA KIBERITI. NINGEKUONA UPO VIZURI SANA KAMA UNGEKUJA NA UCHUMBUZI AU UNGEINGIA KWENYE HUO MFUMO UKAJITOLEA KUJENGA MFUMO WA SIASA AMBAO UNAUTAKA WEWE OTHERWIZE MCHANGO WAKO KWENYE KUJENGA SIASA ZA NCHI HII HAUPO NA NDIO MAANA UNAKAA KUWAONGELEA WATU WALIOFUKUZWA KWENYE VYAMA NA AMBAO HUKO WALIKOHAMIA HAWANA CHA TOFAUTI WANACHOFANYA ZAIDI YA KUKOSOA KULE WALIKOTOKA. aU UNIAMBIE HII NI MOJA KATI YA SERA ZA CCM (KUONGELEA CHADEMA?!! This is very possibble otherwise wasingepewa majukwaa ya kuongelaea kwenye chama chenye umri mkubwa na historia ndefU kama CCM.

Kamuulize Mzee Mtei kama kuna mtoto au mjukuu wake yeyote anayemshauri aache shule kwa sababu ya harakati za chadema.
 
Chadema wekeni wazi matumizi ya ruzuku na michango ya M4C mliowachangisha walalaoi.

Viongozi wa Chadema mmekwenda China kutengeneza pikipiki za Chadema kwa bei za kutisha mmekataa kuwafahamisha Wananchi gharama za pikipiki.
 
Tatizo la kulea viroba ndo hilo. Unaamua kukurupuka na hang over yako na kuamua kuleta ----- wako humu jamvini. Ukumbuke kuwa CDM ni chama cha ukombozi kwa hiyo utake usitake CCM lazima mn'goke ikiwa ni pamoja na wewe na chuki zako. Utabaki na akili yako mgando lakini CDM lazima ichukue nchi 2015
Mtundiko (thread hii) huu utafungwa haraka sana na aliyeutundika hapa atapigwa "ban" asionekane tena jamii forums. Mimi binafsi nimeshipigwa ban mara kadhaa humu, tena ban la kudumu, lakini bado nimo tuu humu. Kuna wimbo mmoja wa Bob Marley unaitwa "Bad Card". Katika bad card kuna mstari Bob Marley anasema "You a-go tired fe see me face, Can't get me out of the race, Oh, man you said I'm in your place, And then you draw bad cyard, A-make you draw bad cyard, And then you draw bad cyard"

Hiyo ndiyo Jamii Forums, usipokubaliana na uchadema, wanaona "you are in their place".

Kama alivyosema mtoa mada, ndani ya CHADEMA, "nepotism" ndiyo uendeshaji wa chama. Hata CCM nao pia ndiyo hivyo hivyo, ingawa wao kidogo wanachanganya nepotism na "cronyism".

Neno nepotism linatokana na neno la ki-Italiano "nipote". Neno nipote kwa kiingereza linakuwa "nephew". Sasa neno nepotism limeanza kutumika kutokana na tabia ya "papa" wa kanisa katoliki kuwapendelea watoto wao wa kuwazaa wenyewe na kuja kuwa ma-kardinali; na baadaye ma-kardinali hao huwa papa. Lakini kutokana na kwamba "papa" au "pope" hatakiwi kuwa na mtoto, basi watoto wa papa, (popes) walikuwa wakiitwa "nephews" au "nipote" badala ya "sons". Kwa mfano; Pope Callixtus III alimchagua "nephew" Rodrigo kuwa Kardinali. Baadaye Kardinali Rodrigo akaja kuwa papa Alexander VI. Mfumo huu ulishamiri sana ndani ya kanisa katoliki kwa miaka mia kadhaa mpaka alipokuja papa Innocent XII, akakataza tabia ya watu kuwachagua "nephews" kuwa kardinali kuanzia mwaka 1692.

Sasa Chadema kinachofanywa na CHADEMA siyo kitu kipya. CCM nao wanafanya hivyo hivyo. Ingawa kutokana na historia na uzee wa CCM, hakuna mkoa au kanda inayoweza kusema kwamba CCM ni mali yao.
Kuhusu CHADEMA,..... well, waingereza wanasema "the proof is in the pudding"- Godbless Lema. Godbless Lema hana hata sifa ya kuwa "class-monitor" wa darasa la nne wa shule ya msingi. Lakini yupo katika kitovu cha nguvu na utawala wa CHADEMA. Kwanini? kwa sababu - "one of the nephews".
 
Epa, meremeta, deep green plus corruption = ccm
chadema wekeni wazi matumizi ya ruzuku na michango ya m4c mliowachangisha walalaoi.

Viongozi wa chadema mmekwenda china kutengeneza pikipiki za chadema kwa bei za kutisha mmekataa kuwafahamisha wananchi gharama za pikipiki.
 
Kamuulize Mzee Mtei kama kuna mtoto au mjukuu wake yeyote anayemshauri aache shule kwa sababu ya harakati za chadema.

Opportunity cost kaka!!!!!. UR URGUMENT ARE TOO SUBJECTIVE AND THEY LACK OBJECTIVITY. UTAKAPOKUWA TAYARI KUZUNGUMZIA MISIMAMO NA UTENDAJI KAZI NITARUDI. Mambo ya mtei na ushauri anaowapa wajukuuu wake kuhusu siasa is tooo low. Ila kwa kukumbusha tuuu Nyerere mwenyewe hakupenda kuwaingiza watoto wake mwenyewe let alone wajukuu tuu kwenye siasa.
 
Kimbunga

ZeMarcopolo

Ritz

Tunaendelea na 'ahadi' zilizotekelezwa za JK.

Namba 6. Kumaliza matumizi ya jembe la mkono.
Hivi kweli 'amemaliza' , au 'ameanza kumaliza' matumizi ya jembe la mkono Tanzania ??

Angalia hapa chini...

Kilimo ndiyo uti wa mgongo wa uchumi wa Tanzania. Kilimo kinachukua takriban nusu ya pato zima la taifa na robo tatu ya bidhaa zote zinazouzwa nchi za nje. Pamoja na kutoa chakula, kilimo vile vile kinatoa ajira kwa asilimia 80 ya Watanzania. Sehemu kubwa ya kilimo Tanzania ni cha wakulima wadogo-wadogo (small-holder farmers, au peasants) ambao mashamba yao yana ukubwa wa kati ya hekta 0.9 na hekta 3.0 kila moja. Karibu asilimia 70 ya ardhi ya ukulima wa mazao inalimwa kwa kutumia jembe la mkono, asilimia 20 kwa kutumia maksai na asilimia 10 kwa kutumia trekta. Kilimo cha Tanzania ni cha kutegemea mvua. Uzalishaji wa mazao ya chakula ndio unaoongoza katika uchumi wa Kilimo.

Source: Tanzania National Website

JK : Nitamaliza matumizi ya jembe la mkono.

Na Fredy Bakalemwa , Kilwa Masoko
CHAMA cha Mapinduzi CCM kupitia kwa mgombea wa urais wa jamhuri ya muungano wa
Tanzania Dokta Jakaya Kikwete kimesema kimedhamiria kuwakomboa wakulima ili
waondokane na matumizi ya jembe la mkono hatua kwa hatua hasa kwa kuwakopesha
matrekta madogo na makubwa kupitia halmashauri za wilaya.
Dokta Jakaya Kikwete amesema ikiwa serikali iliyopo mdarakani itapata ridhaa ya
wananchi ili iendelee kuongoza Tanzania, wakulima kote nchini watakopeshwa zana
bora za kilimo
na kwamba ili kufanikisha azma hiyo viongozi wa halmashauri za
wilaya waweke utaratibu mzuri usio na upendeleo ili wakulima wanyonge waweze
kunufaika.

Mkuu mimi nina hakika ameanza ni lweli hajamaliza lakini ahadi imeanza kutekelezwa. Nadhani katika utekelezaji huu kulikuwa na makosa ya kiufundi pale walipopeleka power tillers sehemu ambazo hazifai kulimwa kwa power tillers bali matrekta. Kuna mchakato watu wanakopeshwa matrekta kwa riba ndogo sana. Ndugu yangu amekopa na anatumia kulimia. Kuna hatua kubwa sana zimechukuliwa katika kutekeleza ahadi hii.

 
Mkuu mimi nina hakika ameanza ni lweli hajamaliza lakini ahadi imeanza kutekelezwa. Nadhani katika utekelezaji huu kulikuwa na makosa ya kiufundi pale walipopeleka power tillers sehemu ambazo hazifai kulimwa kwa power tillers bali matrekta. Kuna mchakato watu wanakopeshwa matrekta kwa riba ndogo sana. Ndugu yangu amekopa na anatumia kulimia. Kuna hatua kubwa sana zimechukuliwa katika kutekeleza ahadi hii.


Uko sahihi kwa kutetea ulaghai wa JK na dola yake. Mimi ni mkulima nalima kwa jembe la mkono; wanangu wamefeli elimu sekondari siyo kwa kukosa akili bali kwa ulaghai wa JK na dola yake. Ni kweli tunasikia serikali imefanya lile au kile hata kama havituhusu. Suala la maji linatuhusu lakini barabara ya lami imepita kijijini kwetu wakati mazao ya shamba la jembe la mkono yanatosha kujikimu tu na wala si ya biashara.

HUO NDIO ULAGHAI SI ULAGHAI WA KUWAFUKUZA WAHUJUMU WA CDM, AU MAKOSA YA JINAI YA VIONGOZI WA CDM AMBAYO HATUJASIKIA WAMEHUKUMIWA ZAIDI YA POROJO
 
Opportunity cost kaka!!!!!. UR URGUMENT ARE TOO SUBJECTIVE AND THEY LACK OBJECTIVITY. UTAKAPOKUWA TAYARI KUZUNGUMZIA MISIMAMO NA UTENDAJI KAZI NITARUDI. Mambo ya mtei na ushauri anaowapa wajukuuu wake kuhusu siasa is tooo low. Ila kwa kukumbusha tuuu Nyerere mwenyewe hakupenda kuwaingiza watoto wake mwenyewe let alone wajukuu tuu kwenye siasa.

Sawa mlaghaiwa.
 
Uko sahihi kwa kutetea ulaghai wa JK na dola yake. Mimi ni mkulima nalima kwa jembe la mkono; wanangu wamefeli elimu sekondari siyo kwa kukosa akili bali kwa ulaghai wa JK na dola yake. Ni kweli tunasikia serikali imefanya lile au kile hata kama havituhusu. Suala la maji linatuhusu lakini barabara ya lami imepita kijijini kwetu wakati mazao ya shamba la jembe la mkono yanatosha kujikimu tu na wala si ya biashara.

HUO NDIO ULAGHAI SI ULAGHAI WA KUWAFUKUZA WAHUJUMU WA CDM, AU MAKOSA YA JINAI YA VIONGOZI WA CDM AMBAYO HATUJASIKIA WAMEHUKUMIWA ZAIDI YA POROJO

Mkuu kama unalima kilimo cha kijungu jiko trekta la nini?
 
Nashangaa sana kuona chadema kinatajwa chama cha kikaghai. tukumbuke watanzania tumejaliwa kua na kila kitu sio madini,arthi nzuri, milima na chochote utakachitaja kwa ajili ya maendeleo ya jamii yoyote.Tukumbuke chadema haijawahi kupata dola ili uipime. but chama kilichopo madarakani ndicho chanzo cha hali mbaya ya maisha ya mtanzania.
 
Back
Top Bottom