takataka hizi mshikaji umetoa wapi? Yani taharifa yako haina kichwa wala mkia. Mi nilishawaambiaga mafisadi waccm na especially nyie mnaojiita vijana, hakuna kazi ngumu hapa duniani kama kujaribu kuisafisha ccm, hapo bado kuisafisha. Chama hiki kikongwe kimeoza from the head to the toes.
Uozo wa ccm mpaka wale kunguru weusi kutoka zanzibar ukiwauliza wanajua, ukitamka tu ccm wanakimbia.
Kuna mambo ya msingi ambayo sisi wananchi tunahitaji kuyasikia na kuyajadili kwa kina; Uwajibikaji wa serikali na viongozi wa ccm, and second, katiba mpya.
Otherwise, ndugu yangu zemacopolo, usitupotezee masaa hapa, you better not waste you time and good energy, kwa sababu the same energy you put kuichafua CDM ndo the same energy is expended kuimarisha CDM. This is according to the law of nature.
Kwanza unaonekana ni mtu ambaye bado haujaweza kuelewa siasa za upinzani, nikimaanisha CDM, halafu pia ni mtu ambaye haujafikia upeo wakukubali kwamba CDM kina nguvu kuliko ccm in TZ esp kanda za ziwa, kaskazini na Nyanda za juu kusini. Hizi sababu ulizozitoa za bendera fuata upepo ni dhaifu mno kama kikwete! Any standard seven students can come up with you observations. Ukitaka watu tujadili point zako kwa uadilifu, inabidi kwanza uaccept uwezo na nguvu ya chama hichi cha upinzani, na usidoubt uwezo wao walio udemstrate wa kuendesha nchi.
Halafu inaonekano pia haujue wananchi wa nchi hii wanamahitaji gani ya msingi, you are just making so many personal attacks.
Kamuuulize Lowasa na rafiki yake Mkapa nini kiliwatokea Arumeru, au kamuulize Obama nini kilimtokea Odinga kwenye mchuano wake na wale washitakiwa wa ICC, japo angalau inaweza kukusaidia kufungua akili yako.
I would like to tell you this as a conclusion, zile zama za zidumu fikra za mwenyekiti zimekwisha, people want to rule themselves and set their own destine, na siyo kuhamliwa mambo yao na wazinzi, waasherati, walevi, wezi, wajinga na mafirauni wachache walioko ndani ya ccm (am quiet sure even you you are not one of them) eti kwa sababu tu wao wanapesa au dola.