Chama cha Kilaghai Tanzania...

Chama cha Kilaghai Tanzania...

1. Wale ambao ni bendera fuata upepo. Katika kundi hili kuna watu wa aina tatu:

i) Wale ambao wamedanganyika na propaganda kuwa chadema ni chama cha kikabila au cha kikanda na kwa vile wao wanatoka kwenye kanda hizo basi wanajisikia ukaribu zaidi na chadema. Hapa utaona kuwa propaganda za kukichafua chama kuwa ni cha kikabila au cha kikanda kimeweza kuwaongezea chadema nguvu katika maeneo inayoshutumiwa kuyapendelea.

ii)Wale ambao wamelaghaika na propaganda za kuwa chadema ni chama cha udini. Kuna waumini wengi wameviunga mkono vyama vya chadema na CUF kwa sababu tu wamekuwa wakisikia kuwa vyama hivyo vinashabiiana na dini zao. Hawa ni bendera fuata upepo ambao hawachuji ukweli wa taarifa na hawajiulizi chama kinaweza kuwanufaishi vipi kama waumini wa dini husika.
Unaposema kuna ambao wamedanganyika na kuhadaika na propaganda, bila shaka unalenga kutuambia kuwa kuna walaghai fulani walifanikiwa kufanya kazi ya kulaghai, na wadanganyifu fulani waliofanikiwa kudanganya.

Hao walaghai na wadanganyifu ni akina nani?

Kama wameweza kulaghai Watanzania kuwa Chadema ni chama cha kidini, na kudanganya watanzania kuwa Chadema ni chama cha kikabila, na wewe kila siku unaonekana kuwaunga mkono hao wadanganyifu na walaghai, ni nini kitatufanya tukuamini hata haya unayoandika kama si UDANGANYIFU na ULAGHAI?

Umevutwa nini kuwa upande wa wadanganyifu na walaghai?
 
yes umeongelea sana mapungufu ya cdm na umekuwa ukifanya hivyo kila siku. Lakini ajabu ni kwamba hujawahi kulalamika kuhusu wananchi kukosa huduma bora za matibabu, umekuwa ukibeza juhudi za wabunge kama mh mnyika za kudai maji kwa wote, unachekacheka tu ukiambiwa akina mama wanalala wanne wanne wakati wa kujifungua. Hujaonyeshwa uchungu wala kuguswa na watoto 240,000 walopata div 0 na ambao future yao haijulikani na serikali haijasema lolote hadi sasa watoto hao watasaidiwa vipi kwa future yao na ya tanzania.

View attachment 86579
hujawatetea hawa watu, je watu hawa kuendelea kulala wengi wodini hadi kuambukizana magonjwa na wengine kufariki au kupoteza vichanga vyao ni jambo dogo kuliko jambo la dr slaa kujikopesha hizo fedha unazosema??
Je kukosekana huduma hospitali ni jambo dogo kuliko chadema kutokuwa na ofisi mpanda?? Kwa nini nyie masalia huwa hamuongelei matatizo halisi ya mtanzania? Ni kwa kuwa mmelipwa na ccm kuwasaliti watanzania wenzenu kwa kujaribu kuzuia ukombozi

kunawatz wenye akili timamu bwana.
 
Huu uzi umejibiwa kisomi na si Kinazi kama ulivyoletwa.
majibu ambayo yamemvua nguo mleta uzi

Naona umeamua kujifariji na kujiliwaza.

Huu uzi ni mpini wa maana hakuna wa kuupanguwa kila anayekuja kujibu anaishia kuporomosha matusi.

Mleta mada katuonyesha mapungufu mengi ya Chadema ambayo yapo wazi.
 
Unaposema kuna ambao wamedanganyika na kuhadaika na propaganda, bila shaka unalenga kutuambia kuwa kuna walaghai fulani walifanikiwa kufanya kazi ya kulaghai, na wadanganyifu fulani waliofanikiwa kudanganya.

Hao walaghai na wadanganyifu ni akina nani?

Kama wameweza kulaghai Watanzania kuwa Chadema ni chama cha kidini, na kudanganya watanzania kuwa Chadema ni chama cha kikabila, na wewe kila siku unaonekana kuwaunga mkono hao wadanganyifu na walaghai, ni nini kitatufanya tukuamini hata haya unayoandika kama si UDANGANYIFU na ULAGHAI?

Umevutwa nini kuwa upande wa wadanganyifu na walaghai?
Mtu wa Shamba,
Unapoongea na watu makini inabidi ujipange na uwe mwangalifu na maneno yako.
Unaniuliza hao walaghai ni kina nani, halafu hapohapo unaniambia kuwa ninawaunga mkono walaghai.
Hapa unaonyesha kuwa unawafahamu hao walaghai mpaka ukafahamu kuwa mimi "nawaunga mkono kila siku". Basi tutajie ni kina nani hao walaghai.

Siku nyingine ukiwa na swali, uliza halafu usubiri jibu. Unaweza kujifunza mengi ukijenga tabia ya usikivu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, mapendekezo yapo mengi tu. Chukua muda soma attachment niliyokuwekea utaona mapendekezo yenye mantiki.

Tunazungumzia matokeo ya form four 2012. File ulilotuma lina mambo yasiyohusiana na matokeo ya form four ya 2012.
Kilichopendekezwa na chadema kuhusu matokeo mabaya ya form four 2012 ni maandamano ambayo yamepangwa kufanyika tarehe 25 March Jumatatu siku ya kazi na masomo kwa wanafunzi.
 
Naboreka sana na hoja ndefu za lawama zisizokuwa na vitendooo. Wewe unafanya nini usianzishe chama chako ukatushawishi wanaume wenzako tukajiungaaaaaaaaaa!!!!!!! Kuna watanzania wangapii ambao sio wanachama wa CCM wala CHADEMAA!!!!>???? Idadi ni kubwa mno so there plenty of fish in the sea why talk about CHADEMA and CCM only!!!!???? Kila siku hadithu zilezile nothing new. UMETAJA CHADEMA CHADEMA CHADEMA CHADEMA CHADEMA MARA THELATHINI NA NANE!!!!!????? REALLY ARE SERIOUS!!!!!!!!!!!!????? TIMES 38!!!!????????
Hao unaowataja kina kisandu, kafulila, mwampamba and the like..... kama ni wazuri kiasi hichooo waonyeshe ubora wao huku waliko why kila siku wamaindama chadema tuu!!! if chadema is not there what will be they talk!!!!?????
Vijana wa siku hizi ni aibu tupuuu wewe umefukuzwa na chama hawakutakii kila siku oh oh chama cha kidini ohh chama cha kikabila!!! mbona ulipokuwa ndani ya mfumo wa hicho cha hatukuyasikia hayooo!!!!!
Tunachotaka kusikia kutoka kwa vijana wenzetuu wanafanya kazi mambo yanafungukaa michongo inaoneka na sio kila siku kukaa na kuomba mungu heri ya chama kimoja kweliiiii!!!! kwa hiloo u pich my nerve nasiwezi nikakuacha uende hivi hivi.
Mimi ni mtanzania and am pro Tanzania kama wewe na hao uliowataja mna uwezo wa kukaa pamoja mkafanya kazi mkatuletea chama kizuri chenye kuleta matumaini ya upande wa pili na kitakachoiondosha CCM au kuifanya iwajibike well n good fanya kazi tuione.
Chadema nawaheshimu sanaaa hasa Zito, Mbowe na wengineo wote waliotumikia hiki chama kwa nguvu zao ili kukijenga kikafikia hapo kilipo. Thats is hard work and mans work..... period... kama huoni hilo wewe si mchapa kazi na kama vipi anzisha na wewe chama utuonyeshe kazii za mikono yako. CHADEMA ina mapungufuu lakini yanazibwa uchapaji kazi wa vijana wao na NATURE of enemy they are fighting against BILA kusahau is very little kid to CCM. CCM imekuwepo miaka mingi and dont tell me CCM love challanges and want to see Oposition parties making any marked successess!!??
BILA KUMUMUNYA MANENO WATANZANIA TUNAHITAJI CHECK AND BALANCED SYSTEM, CCM PEKE YAKE PILA UPINZANIA NI JANGA LA KITAIFA.. MAMBO MENGINE VITAJIFUNZA JINSI VINAVYOKUA....
 
Ndugu zangu wanachadema, nimefuatilia michango ya watu wengi sana ninaoamini ni mashabiki/wanachama wachadema lakini sijaona ukamilifu wa majibu ya hoja husika,


Hoja iliyombo kwaharaka ni kama ya kipumbavu vile lakini kwajicho la tatu inahitaji busara na umakini mkubwa wakuijibu.

Mwalimu wangu alinifunza kuwa hakuna upumbavu ulio upumbavu mtutupu.

Mimi bado natafakari nitakuja kujibu kama mwanachama wa chama makini cha chadema.
 
Ndugu zangu wanachadema, nimefuatilia michango ya watu wengi sana ninaoamini ni mashabiki/wanachama wachadema lakini sijaona ukamilifu wa majibu ya hoja husika,


Hoja iliyombo kwaharaka ni kama ya kipumbavu vile lakini kwajicho la tatu inahitaji busara na umakini mkubwa wakuijibu.

Mwalimu wangu alinifunza kuwa hakuna upumbavu ulio upumbavu mtutupu.

Mimi bado natafakari nitakuja kujibu kama mwanachama wa chama makini cha chadema.

Kwenye ukweli, uongo hujitenga...
 
quote_icon.png
By ZeMarcopolo


1. Wale ambao ni bendera fuata upepo. Katika kundi hili kuna watu wa aina tatu:

i) Wale ambao wamedanganyika na propaganda kuwa chadema ni chama cha kikabila au cha kikanda na kwa vile wao wanatoka kwenye kanda hizo basi wanajisikia ukaribu zaidi na chadema. Hapa utaona kuwa propaganda za kukichafua chama kuwa ni cha kikabila au cha kikanda kimeweza kuwaongezea chadema nguvu katika maeneo inayoshutumiwa kuyapendelea.

ii)Wale ambao wamelaghaika na propaganda za kuwa chadema ni chama cha udini. Kuna waumini wengi wameviunga mkono vyama vya chadema na CUF kwa sababu tu wamekuwa wakisikia kuwa vyama hivyo vinashabiiana na dini zao. Hawa ni bendera fuata upepo ambao hawachuji ukweli wa taarifa na hawajiulizi chama kinaweza kuwanufaishi vipi kama waumini wa dini husika.
Unaposema kuna ambao wamedanganyika na kuhadaika na propaganda, bila shaka unalenga kutuambia kuwa kuna walaghai fulani walifanikiwa kufanya kazi ya kulaghai, na wadanganyifu fulani waliofanikiwa kudanganya.

Hao walaghai na wadanganyifu ni akina nani?

Kama wameweza kulaghai Watanzania kuwa Chadema ni chama cha kidini, na kudanganya watanzania kuwa Chadema ni chama cha kikabila, na wewe kila siku unaonekana kuwaunga mkono hao wadanganyifu na walaghai, ni nini kitatufanya tukuamini hata haya unayoandika kama si UDANGANYIFU na ULAGHAI?

Umevutwa nini kuwa upande wa wadanganyifu na walaghai?
Mtu wa Shamba,
Unapoongea na watu makini inabidi ujipange na uwe mwangalifu na maneno yako.
Unaniuliza hao walaghai ni kina nani, halafu hapohapo unaniambia kuwa ninawaunga mkono walaghai.
Hapa unaonyesha kuwa unawafahamu hao walaghai mpaka ukafahamu kuwa mimi "nawaunga mkono kila siku". Basi tutajie ni kina nani hao walaghai.

Siku nyingine ukiwa na swali, uliza halafu usubiri jibu. Unaweza kujifunza mengi ukijenga tabia ya usikivu.
Mkuu usikwepe hapa. Kuna swali la msingi sana.

Yeyote aliyekusoma katika nyuzi mbalimbali humu JF, itikadi yako iko wazi na chama unachokiunga mkono ni CCM na daima umekuwa ukikitetea, hata mahali pasipo na misingi ya kutetea.

Wakati huo huo unatamka wazi kuwa WATANZANIA WAMEDANGANYWA KUWA CHADEMA NI CHAMA CHA KANDA (tunawasikia akina NAPE wakisema hivyo wazi wazi) kwa hiyo CCM ndiye mdanganyifu.

Umesema pia kuwa WATANZANIA WAMELAGHAIWA KUWA CHADEMA NI CHAMA CHA KIDINI (Hili pia tumewasikia pro-CCM wa humu JF na viongozi kama akina NAPE) wakisema hayo.

Kwa nini upo upande wa WALAGHAI na WADANGANYIFU?
 
Huyu jamaa hii makala ndefu sana inaonyesha kuwa yupo kazini katumwa na Magamba[fisadi].Sasa ngoja nikupe ushauri ndugu.Nimefuatilia maelezo yako yote.Nimeona unaomba wananchi wawahurumie CCM[Magamba].Alafu hii style hii propaganda ni style ya zamani.Najua ulienda kusomea propaganda ulaya ya mashariki.Sasa nakuomba ndugu yangu uwende tena shule ili uende na wakati kwani elimu ile ya propanda imepitwa na wakati.Na watu wanajua kila kitu,Dunia imekuwa kijiji.kila kitu kinachofanywa sehemu fulani kinafuatiliwa kwa ukaribu na Watanzania hivi sasa.Sasa ushauri wangu kwako nenda shule tena ili uende na wakati sasa hivi.Najua unatafuta chochote kwa watoto[njaa] wako,lakini inabidi ujiandae vizuri kuweka post hapa.
 
pole sana uliyetoa hoja nadhani siko tayari kukujibu kwa kuwa hoja zako ni za kitoto sana nikitumia elimu yangu kukujibu wewe nitakuwa nimefanya makosa kwani huo muda ningeweza kuutumia kuwaelimisha watanzania wengine sera, itikadi na madhumuni ya chadema hiyo ingekuwa tendo jema sana kwani wangeelewa na kujiunga na chadema thanx bt this is politics let us go on
 
Tunazungumzia matokeo ya form four 2012. File ulilotuma lina mambo yasiyohusiana na matokeo ya form four ya 2012.
Kilichopendekezwa na chadema kuhusu matokeo mabaya ya form four 2012 ni maandamano ambayo yamepangwa kufanyika tarehe 25 March Jumatatu siku ya kazi na masomo kwa wanafunzi.
Matokeo ya Form IV ni symptom ya tatizo kubwa zaidi, ambalo ni mfumo wa Elimu. Kwenye bandiko hilo kuna uchambuzi wa udhaifu wa mfumo wa Elimu na mapendekezo ya namna ya kukabiliana nalo. Huwezi kuongelea matokeo ya Form IV bila kuchambua mfumo mzima wa Elimu Tanzania.

Kwa nchi ya kidemokrasia, maandamano ni namna halali ya wananchi kueleza hisia zao za kuunga mkono au kupinga jambo fulani, na ni haki ya kikatiba. Katika nchi ya kidikteta ndipo maandamano huchukiwa na watawala iwapo yana lengo la kuwakosoa.
 
Chadema pitieni para 11.

Pesa za M4C ambazo mnawachangisha walala hoi mbona imekuwa siri kubwa wafuasi wenu hawajui chochote watangazieni kiasi cha pesa mlichokusanya.
 
Matokeo ya Form IV ni symptom ya tatizo kubwa zaidi, ambalo ni mfumo wa Elimu. Kwenye bandiko hilo kuna uchambuzi wa udhaifu wa mfumo wa Elimu na mapendekezo ya namna ya kukabiliana nalo. Huwezi kuongelea matokeo ya Form IV bila kuchambua mfumo mzima wa Elimu Tanzania.

Kwa nchi ya kidemokrasia, maandamano ni namna halali ya wananchi kueleza hisia zao za kuunga mkono au kupinga jambo fulani, na ni haki ya kikatiba. Katika nchi ya kidikteta ndipo maandamano huchukiwa na watawala iwapo yana lengo la kuwakosoa.

Wewe kumbe unakurupuka tu bila kujua kinachozungumziwa.

Hoja iliyopo mezani ni kwamba kiwango cha kufeli cha mwaka 2012 ni kikubwa mno tofauti na miaka mingine kwa hiyo kisayansi tatizo linaloweza kusababisha hali hiyo ni tatizo jipya ambalo halikuwepo mwaka wa 2011,2010,2009 na miaka mingine.

Sasa unapotumia nadharia za mwaka 2010 kuelezea kwanini wanafunzi wamefeli mwaka 2012 kuliko 2011 unakuwa kama mganga wa kienyeji.
 
Njaa mbaya sana,kuandika ujinga huu wote posho haizidi buku mbili.

Nilikua na uhakika mbumbumbu kama molemo hutakua na jipya la kujibu beter unyamaze cuz hoja hujibiwa na hoja kumwambia mtu analipwa bukumbili ni kutufahamisha kama ww ndo wale wa div 0
 
Chadema pitieni para 11.

Pesa za M4C ambazo mnawachangisha walala hoi mbona imekuwa siri kubwa wafuasi wenu hawajui chochote watangazieni kiasi cha pesa mlichokusanya.

Naboreka sana na hoja ndefu za lawama zisizokuwa na vitendooo. Wewe unafanya nini usianzishe chama chako ukatushawishi wanaume wenzako tukajiungaaaaaaaaaa!!!!!!! Kuna watanzania wangapii ambao sio wanachama wa CCM wala CHADEMAA!!!!>???? Idadi ni kubwa mno so there plenty of fish in the sea why talk about CHADEMA and CCM only!!!!???? Kila siku hadithu zilezile nothing new. UMETAJA CHADEMA CHADEMA CHADEMA CHADEMA CHADEMA MARA THELATHINI NA NANE!!!!!????? REALLY ARE SERIOUS!!!!!!!!!!!!????? TIMES 38!!!!????????
Hao unaowataja kina kisandu, kafulila, mwampamba and the like..... kama ni wazuri kiasi hichooo waonyeshe ubora wao huku waliko why kila siku wamaindama chadema tuu!!! if chadema is not there what will be they talk!!!!?????
Vijana wa siku hizi ni aibu tupuuu wewe umefukuzwa na chama hawakutakii kila siku oh oh chama cha kidini ohh chama cha kikabila!!! mbona ulipokuwa ndani ya mfumo wa hicho cha hatukuyasikia hayooo!!!!!
Tunachotaka kusikia kutoka kwa vijana wenzetuu wanafanya kazi mambo yanafungukaa michongo inaoneka na sio kila siku kukaa na kuomba mungu heri ya chama kimoja kweliiiii!!!! kwa hiloo u pich my nerve nasiwezi nikakuacha uende hivi hivi.
Mimi ni mtanzania and am pro Tanzania kama wewe na hao uliowataja mna uwezo wa kukaa pamoja mkafanya kazi mkatuletea chama kizuri chenye kuleta matumaini ya upande wa pili na kitakachoiondosha CCM au kuifanya iwajibike well n good fanya kazi tuione.
Chadema nawaheshimu sanaaa hasa Zito, Mbowe na wengineo wote waliotumikia hiki chama kwa nguvu zao ili kukijenga kikafikia hapo kilipo. Thats is hard work and mans work..... period... kama huoni hilo wewe si mchapa kazi na kama vipi anzisha na wewe chama utuonyeshe kazii za mikono yako. CHADEMA ina mapungufuu lakini yanazibwa uchapaji kazi wa vijana wao na NATURE of enemy they are fighting against BILA kusahau is very little kid to CCM. CCM imekuwepo miaka mingi and dont tell me CCM love challanges and want to see Oposition parties making any marked successess!!??
BILA KUMUMUNYA MANENO WATANZANIA TUNAHITAJI CHECK AND BALANCED SYSTEM, CCM PEKE YAKE PILA UPINZANIA NI JANGA LA KITAIFA.. MAMBO MENGINE VITAJIFUNZA JINSI VINAVYOKUA....
 
Back
Top Bottom