1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 603
Hizi kwa sisi wenyewe uelewa mdogo,tunazichukulia kama ni kauli za uoga na kujilinda,watawala chini ya CCM wanaelewa ni kwa kiasi gani CHADEMA wameshaingia na kuteka hisia za mamilioni ya Watanzania!uungwaji mkono wa CHADEMA umekua mkubwa katika kila idara hata zile za ulinzi na usalama!ni ukweli usiofichika kua,consequencies za kuifuta CHADEMA itakua ni kubwa mno kuliko kuindoa CCM kwenye sanduku la kura!ilo lipo wazi hata lipingwe vipi!hata huyo Tendwa analielewa ilo,labda amekupa hayo maneno Pasco ili kuifuraisha nafsi yake tu!bad enough ni Judge gani ambae anakaa pembeni/kijiweni na mtu binafsi na akaanza kujengea hoja kitu kilichopo mahakamani,kukitolea uamuzi na maamuzi atakayochukua yeye kama msajili?hiki ni kichekesho sana!