ni kwa nini alikaa peke yake!? ...ndio ajue sasa kuwa maisha ni watu na wale anaokutana nao kwa ajili ya vyeo vyao sio 'wenzie' maana vyeo vikiisha hatawaona bali wale watu wa kawaida ndio wanafanya maisha yawe ya furaha na wengi wao ndio hao anaotaka kukifuta chama chao - CHADEMA! Na kama kweli anaingia JF ni kwa nini asiingie na ID iliyo wazi tukajua sote kuwa tuko nae badala ya huo unafiki wa kuingia na ID fake!Siku ya leo jioni, nilikutana na Msajili wa vyama, Jaji John Tendwa, nikamsalimu, na akanikaribisha alipokuwa amekaa peke yake, hivyo nikamjoin kwa maongezi tuu, na sio mazungumzo!.
Ni rahisi kumuondoa Kikwete madarakani kuliko kuifuta Chadema na kama anabisha ajaribu ...kwa wenye akili timamu tunajua nini kinacho endelea ...wanaoption nyingi sana mezani dhidi ya Chadema na hawajui ipi hasa itakayo wasalimisha huku wakichek dirishani 2015 nayo hiyooo...
TUKO tatizo laMipango ya Mungu sio mipango ya Tuko wala ya Ze Marcopolo...
Kwani Mfalme Daudi alianza kutawala miaka mingapi baada ya kutiwa mafuta?
.....Nikadadisi zaidi, iwapo hayo kwa Chadema, yatathibitika kuwa kufanywa na CCM, jee nacho, atakifuta bila huruma?!. Msajili kwanza alisita kidogo na kusema kama ni CCM, kwa vile hiki ni chama tawala, kikithibitika kufanya makosa hayo, hakiwezi kufutwa right away kwa sababu huko kutakuwa ni kuvunja serikali iliyopo madarakani, bali atakipeleka Mahakama Kuu ili mahakama itoe utaratibu wa nini cha kufanya endapo chama tawala kitapoteza sifa ya kuwa chama cha siasa wakati kingali madarakani!. Hii inamaanisha as of now, hatuna sheria yoyote ya kuibadili serikali nje ya balot box!, hata kama serikali hiyo itakuwa ni dhalimu kiasi gani!, na chama tawala, kikishashika madaraka, hata kivunje sheria vipi, kitaendelea kuwepo madarakani no matter what!........
Wasalaam.
Pasco
Safarini Dodoma.
Mkuu Ze Marco, kuwa bonafide genuine ni one thing!, addmissibility as evedence before the court of law is something else and establishing 'actus reus' na 'mens rea' is something else and finally proving beyond reasonable doubt is quite another! and its not that simple kama establishing the bonafide genuine kwa macho tuu!.
Pasco