Challenge ya kusave pesa UTT

Duu nimekuwa interested sana ngoja na mimi nianze kuwekeza kidogo kidogo
 
Hapo sawa ngoja niifatilie hii nikaweka huko hata kamillion 20 katanifaa uzeeni.

Naomba link ya hiyo Government bond na wapi hasa ofisi zao zipo niende for more information.🤝
 
Duu nimekuwa interested sana ngoja na mimi nianze kuwekeza kidogo kidogo
Hujachewa kiongozi ukifika makao makuu yao pale SUKARI HOUSE posta- Daslam utapata kiwewe zaidi😂😂😂

Yaani utatamani urudishe siku nyuma ufanye uwekezaji chapu kisha uzipeleke mbele kufika leo ili uone matunda ya uwekezaji wako🤝

#Information is Power!!!
 
UTT inapendwa kwa sababu inafanya Compounding interest,kitu ambacho hakifanyiki kwenye bond za serikali..wao watakupa gawio ambalo ni constant miaka yote 25..
 
UTT inapendwa kwa sababu inafanya Compounding interest,kitu ambacho hakifanyiki kwenye bond za serikali..wao watakupa gawio ambalo ni constant miaka yote 25..
Duh kama haina compaund hiyo hainifai maana pesa zangu za madafu mimi nataka COMPOUND TU!!!
 
Ngoja na Mimi nianze kuweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…