Shukrani sana kiongozi🙏Kuna wadau hapo juu wamekufafanulia vzr , moja kuna sheria ambayo inalinda hii mifuko na serikali haiwezi kuingilia wala kufanya chochote isipokuwa kutengeneza mazingira wezeshi tu ,pili uhakika wa kuendelea kupata faida - kwasababu wanawekeza kwenye biashara ambazo ni uhakika wa interest mfano bonds za benki kuu na bonds za mabenki.Ndio maana taasisi kama UTT ilianza toka mwaka 2003 hivi na leo ina miaka zaidi ya 22 sokoni , ila ajabu inapiga kazi miaka yote hiyo na hakuna ambaye amewahi kuripoti kuibiwa wala kutapeliwa.
Sawa, ila hizo fixed accounts ni kuhifadhi tu pesa mkuu, sio kutarajia faida kubwa labda kama unaweka walau 10M+ wakati hiyohiyo 10M kimtaamtaa kuna biashara hapo mtaani kwako inaingiza pesa mingi zaidi ya hizo accounts.-Mimi nashauri diversification kwenye investment, like Utt, mashamba, viwanja, biashara, hisa,
Baaaasi kwisha, mimi nimechagua nambari moja hapo.Ni kweli ila kuishika hela napo ni risky pia.
Nenda soma tabia za hela na utaona jinsi gani UTT ni mkombozi.
Kuna njia nyingi za kuzalisha hela uliyonayo au unayomiliki.
Njia yako ni njia pia ila wewe unaangalia faida zaidi hujaangalia upande wa hasara.
Kwa upande mwingine mimi nimeangalia hasara na nikaona bora kupata faida kidogo ila nikaepukana na hasara kubwa.
Zote hizo ni njia za uwekezaji na zote zina gain tofauti na hasara tofauti.
📍High gain(Faida kubwa)=High risk( Hasara kubwa)
📍Low gain(Faida ndogo)=Low risk(Hasara ndogo)
📌KUPANGA NI KUCHAGUA!!!
Michambo ya kishoga siwezani nazo, endelea na unavyoona sahihiKaka tumbili hebu funguka kama mwanaume mbona unarukaruka na unatoa mawazo yako kama mtu ambaye hajaelimika.
Andika vizuri na kwa kirefu unachotaka kukisema ili watu wakuelewa na ikiwezekana tukupinge kwa hoja.
Ndio maana bado masikiniBaaaasi kwisha, mimi nimechagua nambari moja hapo.
Faida kubwa=Hasara kubwa
Haya ungana na wenzako huko ignored list👋Michambo ya kishoga siwezani nazo, endelea na unavyoona sahihi
Acha stori za kijiweni braza biashara sio makalio,kwamba kila mtu anayo au ukifungua utawin, wakati UTT ni uhakika asilimia zaidi ya 98.Sawa, ila hizo fixed accounts ni kuhifadhi tu pesa mkuu, sio kutarajia faida kubwa labda kama unaweka walau 10M+ wakati hiyohiyo 10M kimtaamtaa kuna biashara hapo mtaani kwako inaingiza pesa mingi zaidi ya hizo accounts.
Hamna mtu hapo anafikiri wanaowekeza huko walikua hawapendi kupata hela nyingi Kwa mda mchacheAcha stori za kijiweni braza biashara sio makalio,kwamba kila mtu anayo au ukifungua utawin, wakati UTT ni uhakika asilimia zaidi ya 98.
Ila huko kwenye mabenki kubaliana na yote kuna watu wanalalamika hawaoni gawio pia,stress za hisa kupanda na kushuka UTT hamna kabisa.Umeongea point , mimi Utt niliifahamu toka mwaka jana mwezi wa nne - then nikaanza kufanya utafiti wangu nje ndani kwasababu waga sikurupukii vitu na ikanichukua miezi mitatu kuielewa vzr , then mwezi wa nane mwaka jana rasmi nikaanza ku invest , nimekimbiza mpaka mwaka huu mwezi wa nane nilikuwa na jumla ya shilingi 13Million , juzi nimetoa 7Million nimenunua hisa za CRDB kwahiyo mdogo mdogo nimeanza kufanya uwekezaji mseto nachanganya huku na huku
Niruhusu nitukane chief,,,,mamamaaaaaammaaakkkkkkeeeee duh mzigo mzito alafu unakuta mwamba anasubir gawio la mwaka anaenda kubadili ndinga,hapo gawio lake unajenga nyumba mpya na unamenya pira jipya la maana kila mwaka kila mwaka yaani ni humu tu🙌🙌🙌🙌🙌Duuh watu mnautajiri alafu mnauchezea , hiyo kwa kila mwezi unaingiza 200k - miezi 8 ungekuwa 1.6M faida sasahivi na maongezeko kibao. Cheki mfano huo hapo chini watu walivyo na hasira , mtu ana kamilioni tano kake ana maswali kibao anaona kama anaibiwa , cheki watu walivyo na salio chini hapo na hawazi kuibiwa , that why masikini ataendelea kuwa masikini na tajiri atazidi kuwa tajiri
Watu wengi wanatamaa ya pesa na hawajui kuwa to every gain their is a risk to take.Hamna mtu hapo anafikiri wanaowekeza huko walikua hawapendi kupata hela nyingi Kwa mda mchache
Na Cha ajabu miaka 15 itamkuta akiwa kapuku hivyo hivyo alichokifanya hakuna zaidi ya kubishana humuWatu wengi wanatamaa ya pesa na hawajui kuwa to every gain their is a risk to take.
Watu wa hivi unaweza chukua siki 365 unamfafanulia jambo ila hawezi kuelewa🥱
Mkuu nifafanulie hii hesabuWatu wengi wanatamaa ya pesa na hawajui kuwa to every gain their is a risk to take.
Watu wa hivi unaweza chukua siki 365 unamfafanulia jambo ila hawezi kuelewa🥱
Samahani kujenga nyumba Kwani ni anasaTuseme ukweli, mambo ya Bond au UTT tumeyajua tulipostaafu! Kama tungejua zamani naamini tusingejenga nyumba hizi zinazotugharimu sasa hivi
Sikuwa nazungumzia nyumba za kuishi bali za kupangisha (za kuongeza kipato); uzoefu unaonesha huwa hazirudishi hela unayoitumia kujengeaSamahani kujenga nyumba Kwani ni anasa
Sawa Sawa mkuu...Ila ni Uwekezaji mzuri piaSikuwa nazungumzia nyumba za kuishi bali za kupangisha (za kuongeza kipato); uzoefu unaonesha huwa hazirudishi hela unayoitumia kujengea