Chalinze inazidi mikoa ifuatayo

Chalinze inazidi mikoa ifuatayo

Yaan We Ndio Mjinga Kweli Tupe Utafit Rasmi sio Kuandika andika tuuu
 
Hamjawazidi chochote zaidi ya kuangalia mabasi yakipita kwenda mikoani, nyie vijana wa chalinze acheni kufikiri biashara ni umachinga wa mananasi , filimbi za mbao na visu kwa abiria wa mabasi ya mikoa, wake up fikirini nje ya box. Dunia inaenda kasi zaidi ya hayo mabasi yanayopita hapo chalinze
 
Ndoto za mchana
Kwa mzuguko wa fedha,majengo,maendeleo mji wa chalinze unazidi makao makuu ya mikoa ifuatayo
1.Shinyanga
2.Kigoma
3.Lindi
4Mtwara
5.Singida
6.Kagera(Bukoba)
7.Mara(Musoma)
8.Simiyu(Bariadi)
Kazi kwenu wavulana wa mikoani
 
Location ndo inayoibeba pwani ,maana hiyo mikoa ina watu kiasili wavivu wa kazi kuliko maeneo yote nchini ispokuwa dodoma. Iwe Ofsini au site ni wavivu tu
 
we ndio una upupu kichwani ,unalinganisha makao makuu ya mikoa halafu unaitaja chalinze,kwahiyo chalinze ni makao makuu ya mkoa gani hapa tanzania
We ni kilaza,ndio ushangae sasa Chalinze sio makao makuu ya mkoa lakini inawapiga fimbo kwa mbali,sasa nikiwashindanisha na makao makuu ya mkoa (Kibaha)nitakuwa ninawaonea.
 
Kwa mzuguko wa fedha,majengo,maendeleo mji wa chalinze unazidi makao makuu ya mikoa ifuatayo
1.Shinyanga
2.Kigoma
3.Lindi
4Mtwara
5.Singida
6.Kagera(Bukoba)
7.Mara(Musoma)
8.Simiyu(Bariadi)
Kazi kwenu wavulana wa mikoani
KWA KIGEZO GANI?
 
we ndio una upupu kichwani ,unalinganisha makao makuu ya mikoa halafu unaitaja chalinze,kwahiyo chalinze ni makao makuu ya mkoa gani hapa tanzania
Duh kwa kweli ubongo umejaa kutu,hujaelewa mantiki ya kulinganisha Chalinze ni kamji kakuu ka mkoa wako ako.
 
Kwa mzuguko wa fedha,majengo,maendeleo mji wa chalinze unazidi makao makuu ya mikoa ifuatayo
1.Shinyanga
2.Kigoma
3.Lindi
4Mtwara
5.Singida
6.Kagera(Bukoba)
7.Mara(Musoma)
8.Simiyu(Bariadi)
Kazi kwenu wavulana wa mikoani
Wavulana Wa mikoani ndo akina nani
 
Nakuona bro unavyoiponda bukoba kisa wahaya walikuzidi mbali
Write your reply...
kwa bukoba nakuunga mkono
bukoba imechakaa hasa ukisikia mbwembwe za wahaya kumbe nothing,fika kule kagondo,kashai uone
bukoba mjin vijumba vina mabati yamechakaa vipo mjini mfano kata ya kitendaguro,stand yao ni kituko tosha kijistendi kimebabukaa utadhan wanachezea dansi
magofu mengi unayakuta mjini maajabu
 
Nakuona bro unavyoiponda bukoba kisa wahaya walikuzidi mbali
Write your reply...
kwa bukoba nakuunga mkono
bukoba imechakaa hasa ukisikia mbwembwe za wahaya kumbe nothing,fika kule kagondo,kashai uone
bukoba mjin vijumba vina mabati yamechakaa vipo mjini mfano kata ya kitendaguro,stand yao ni kituko tosha kijistendi kimebabukaa utadhan wanachezea dansi
magofu mengi unayakuta mjini maajabu
 
Unaongelea hii Chalinze ya Wakwele wanaocheza ngoma na shule hawajui wakawazidi Maprofessor wa Bukoba? Hawa wnaonalala kwenye vibanda, nenda Kagera tena migombani huone majumba, Lini Chalinze kielimu wameanza kwenda shule? Ebu acha utani
Mkuu kusoma sio tatizo. suala hapa huo usomi umesaidia nini Kagera yako? hata stand ni vumbi tupu sasa unawezaje kujisifia elimu hapa
 
Back
Top Bottom