Chalinze inazidi mikoa ifuatayo

Chalinze inazidi mikoa ifuatayo

Write your reply...
kwa bukoba nakuunga mkono
bukoba imechakaa hasa ukisikia mbwembwe za wahaya kumbe nothing,fika kule kagondo,kashai uone
bukoba mjin vijumba vina mabati yamechakaa vipo mjini mfano kata ya kitendaguro,stand yao ni kituko tosha kijistendi kimebabukaa utadhan wanachezea dansi
magofu mengi unayakuta mjini maajabu
 
ila JAMANI watanzania tuzingatie MIPANGO MIJI, hata chalinze iweje bila mipango miji ni takataka, sehemu nyingine ni MBEYA , MLIMA NYOKA, wenyeviti wa mitaa au madiwani waambieni watu au jipangeni kuacha nafasi ya baabara ! NYUMBA YAKO hata kama umepiga MSOUTH halafu hakuna njia ni kazi bure ! UONGOZI WA JIJI LA MBEYA LIFANYIENI KAZI SUALA LA MLIMA NYOKA, nyumba zinaota kama uoga halafu hakuna anaejali kuacha njia, uongozi jipangeni mtu akinunua aache njia mita 3.. JAMANI tuko kwenye zama na sisi tuonekani watu jamani.. hali kadhalika CHALINZE viongozi jitahidini sana kuancha nafasi za barabara hata kama serikali haijafanya. hii ni kwa faida yako mkazi na wala si faida ya serikali
Mbeya ni Moja ya miji inayokera sana umefinyana Finyana angalau wangejifunza Kwa wenzao sumbawanga
 
Write your reply...
kwa bukoba nakuunga mkono
bukoba imechakaa hasa ukisikia mbwembwe za wahaya kumbe nothing,fika kule kagondo,kashai uone
bukoba mjin vijumba vina mabati yamechakaa vipo mjini mfano kata ya kitendaguro,stand yao ni kituko tosha kijistendi kimebabukaa utadhan wanachezea dansi
magofu mengi unayakuta mjini maajabu
Upo sahihi.
 
Kwa mzuguko wa fedha,majengo,maendeleo mji wa chalinze unazidi makao makuu ya mikoa ifuatayo
1.Shinyanga
2.Kigoma
3.Lindi
4Mtwara
5.Singida
6.Kagera(Bukoba)
7.Mara(Musoma)
8.Simiyu(Bariadi)
Kazi kwenu wavulana wa mikoani
Chalinze ipi?Hii tuijuayo au ni ipi?
Chalinze ile kwa sababu ya wauza vitu kwenye mabasi au ina nini?
Hii kweli unaweza kusema ina nini kilicho cha maana kinachoweza kuizidi Ikwiriri,Dumila,Mlandizi,Mnazi Mmoja,Nanyamba,Kibiti,Chimala,Makambako,Gairo,Kibaigwa,Ilula?Nimeitaja miji midogo tu kwa sababu ndiyo hadhi yake Chalinze kuipambanisha. Nimeepuka Miji mikuu ya Wilaya kubwa kama Bunda,Tarime,Masasi kwa sababu haifikii hata robo. Ukiondoa Highway ambako kuna vurugu za wauza vitu madirishani,kuna nini kingine? Mji mdogo una barabara moja ambayo ni highway,mji mwembamba kufuata highway,hauna offset distance kutoka barabara kuu kufika hata kilometa 3,iwe na hadhi ya mji wa Kigoma,mtoa mada hauko serious.
Na kwa Mtwara kwa mfano,hata robo hauwez kuufikia.
Network za barabara tu za mji wa Kigoma au Mtwara,Chalinze hawana. Assets kama Bandari,Airport na hata Revenue Collection Chalinze haina chochote.
Kwa vurugu za barabarani za Wamachinga kama ndo kigezo cha mji sawa.
 
Mkuu, kama upoupo tu kizembezembe wala hutembei na mikoa mingi ya watu unafanya kuisikia tu basi achana na hzo tafiti zako,

Naomba hyo Mtwara huiondoe Mara moja.. Acha ukazuzu uliotukuka..
Nimetembea mikoa zaidi ya 10 Tz bara hii...huwezi fananisha kimji cha chalinze na mji wa pesa kama Mtwara
 
Mkuu, kama upoupo tu kizembezembe wala hutembei na mikoa mingi ya watu unafanya kuisikia tu basi achana na hzo tafiti zako,

Naomba hyo Mtwara huiondoe Mara moja.. Acha ukazuzu uliotukuka..
Nimetembea mikoa zaidi ya 10 Tz bara hii...huwezi fananisha kimji cha chalinze na mji wa pesa kama Mtwara
Mtoa mada ni ama hajatembea au kaamua kwa makusudi ili kuanzisha debate. Yaani kweli mtu na akili zake,anaweza kufananisha Chalinze na Mtwara? Tena mtu timamu kabisa! Chalinze hadhi yake ni Mji mdogo wa Nanyamba,Mahuta,Ikwiriri(tena Ikwiriri iko vizuri zaidi),Mlandizi,Dumila,Gairo,Ilula nk. Siyo tu haina ubavu hata robo kupambana na Mtwara bali hata Masasi,kwa sababu Masasi hupambana na Njombe,Korogwe,Bunda,Tarime,Nzega na hata Kahama au Geita.
Mtwara sasa inakula sahani moja na Moshi,Morogoro,Iringa nk.
 
Mtoa mada ni ama hajatembea au kaamua kwa makusudi ili kuanzisha debate. Yaani kweli mtu na akili zake,anaweza kufananisha Chalinze na Mtwara? Tena mtu timamu kabisa! Chalinze hadhi yake ni Mji mdogo wa Nanyamba,Mahuta,Ikwiriri(tena Ikwiriri iko vizuri zaidi),Mlandizi,Dumila,Gairo,Ilula nk. Siyo tu haina ubavu hata robo kupambana na Mtwara bali hata Masasi,kwa sababu Masasi hupambana na Njombe,Korogwe,Bunda,Tarime,Nzega na hata Kahama au Geita.
Mtwara sasa inakula sahani moja na Moshi,Morogoro,Iringa nk.
Ndo hapo sasa mkuu... Huyo jamaa naona yupoyupo kjjn alikozaliwa so anasikiaga tu miji ya watu
 
duh! Chalinze inaizidi Shinyanga? ngoja niamke kutoka ndotoni
 
Back
Top Bottom