Chalamila: Mwendokasi ina mabasi 60 tu, mara ya kwanza yalikuwa takribani 200"

Chalamila: Mwendokasi ina mabasi 60 tu, mara ya kwanza yalikuwa takribani 200"

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amefanya ziara kituo cha mwendokasi Kimara na kukuta changamoto ya uendeshwaji mbovu wa huduma, ikiwa idadi ya mabasi yanayofanya kazi ni 60 kati ya mabasi 200 yaliyoletwa mara ya kwanza.


 
😁😁😁😁😁 nchi ya vichekesho hi,juzi tu alitoka hapo waziri mkuu na kukuta mabac mengine yamejaa matope ndani na yamepak tu na hakukuwa na mabadiliko yyt ....😀😀,,Leo mkuu wa mkoa ,naye akiondoka hapo hkn mabadiliko ,kesho atakuja rais na Bado changamoto haitatulikii🤔🤔🤔🤔
 
😁😁😁😁😁 nchi ya vichekesho hi,juzi tu alitoka hapo waziri mkuu na kukuta mabac mengine yamejaa matope ndani na yamepak tu na hakukuwa na mabadiliko yyt ....😀😀,,Leo mkuu wa mkoa ,naye akiondoka hapo hkn mabadiliko ,kesho atakuja rais na Bado changamoto haitatulikii🤔🤔🤔🤔
Ndio ujinga tulio nao kesho atakuja mwingine atasema amekuta mabasi 20
 
Tandika reli njia ya mwendokasi, weka kichwa kidogo cha treni na behewa za kutosha.

Saa kumi na moja alfajiri treni ya kwanza, saa kumi nambili ya pili, saa moja kamili trip ya tatu halafu inapaki yanaanza mabasi kuokota okota.

Ikifika saa kumi jioni treni tena trip tatu unapaki kuyaachia mabasi.
 
Tandika reli njia ya mwendokasi, weka kichwa kidogo cha treni na behewa za kutosha.

Saa kumi na moja alfajiri treni ya kwanza, saa kumi nambili ya pili, saa moja kamili trip ya tatu halafu inapaki yanaanza mabasi kuokota okota.

Ikifika saa kumi jioni treni tena trip tatu unapaki kuyaachia mabasi.
Ujinga mtupu
 
Akili kubwa sana hii, kifupi zinaitwa metro.....nikienda nchi fulani nikakuta hizo kila kona zinakatiza
Tandika reli njia ya mwendokasi, weka kichwa kidogo cha treni na behewa za kutosha.

Saa kumi na moja alfajiri treni ya kwanza, saa kumi nambili ya pili, saa moja kamili trip ya tatu halafu inapaki yanaanza mabasi kuokota okota.

Ikifika saa kumi jioni treni tena trip tatu unapaki kuyaachia mabasi.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amefanya ziara kituo cha mwendokasi Kimara na kukuta changamoto ya uendeshwaji mbovu wa huduma, ikiwa idadi ya mabasi yanayofanya kazi ni 60 kati ya mabasi 200 yaliyoletwa mara ya kwanza.


Inamana mabasi 140 yamekufa Toka mwendo Kasi uanze harafu Kuna tajiri ana eache zake kabla hata mwendo Kasi hazijaja na mpka Leo zipo barabarani ooh tumekumisi Jiwe pumzika kwa aman
 
Serikali ilishindwa kuendesha UDA isingeweza mwendokasi. Wawaachie daladala wafanye kazi. Mwendo kasi iwepo na daladala ziwepo
 
CCM kila mtu analalamika sio watawala n wanainchi wote sw. Na Hii yote kwa sababu ni wala rushwa na mafisadi.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Tandika reli njia ya mwendokasi, weka kichwa kidogo cha treni na behewa za kutosha.

Saa kumi na moja alfajiri treni ya kwanza, saa kumi nambili ya pili, saa moja kamili trip ya tatu halafu inapaki yanaanza mabasi kuokota okota.

Ikifika saa kumi jioni treni tena trip tatu unapaki kuyaachia mabasi.
Tungeweka trams zile na tracks zake hazisumbui kujenga upya kama treni na reli yake.
 
mabus yanasomba watu tangu saa 10 usiku hadi saa nane usiku wanaendaga wapi? tunafanyakazi saa ngapi? mtu anatoka kimara kununua dela kariakoo, bus lina engene 410hp lina beba abiria 50 wanalipa nauli 700 kila mmoja, yaani kimara gerezani bus linaingiza elfu 35 kweli? hii engene ya howo akipiga less imekula lita 5 za diesel, lisaa inakula litre 100, logically huu mradi hasara tupu, nauli ilipaswa iwe elfu 5,
 
Back
Top Bottom