Chakula gani ulikula mara moja na kwa mara ya kwanza hadi leo hutaki tena kukila?

MCHICHA siupendi tangu nikiwa tumboni kwa mama, mama yangu leo akiona nasema siupendi uwa anacheka sana, anasema niliuchukia tangu nipo kwake, alikuwaga ad anazidiwa akinusa harufu ya mchicha

Sent from my Pixel 2 XL using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom