Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,661
- 68,638
Kabichi na madude fulani hivi yanaitwa beetroot sijui daah sitaki kuyakumbuka.
Beetroot changanyia na juice zingine
Kabichi na madude fulani hivi yanaitwa beetroot sijui daah sitaki kuyakumbuka.
Wee acha masiharaa wewee sausageeFinally!
Somebody said it!!
HohoBiringanyaa...Pili pili hoho na Maziwa ya Ng'ombe fresh.. sitaki hata kuviona
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Yaah si huwa inatumika kama kiungo kwenye mboga.Hoho
Acha uongo wali marage ata upikweje unalikaChakula kinategemea na upikwaji wake.
Hata huo wali maharage kuna mpishi akiupika hauwezi kuula.
Nimeshangaa maana mi napenda sana hoho.
Acha uongo wali marage ata upikweje unalika
Mtindi napiga aiseeNimeshangaa maana mi napenda sana hoho.
Kwahiyo maziwa mtindi pia hunywi?
NakaziaUrojo wa Zanzibar!
Yaani maharage yanahitaji chumvi tu..matamu balaaAcha uongo wali marage ata upikweje unalika
Hayakupikwa vizuriMAJANI YA KUNDE, yan lol sijui kama Mungu aliiweka kwa matumizi kama mboga
Kwa kweli hata Mimi ilinishinda hii supuSupu ya Kongolo