MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,432
Last edited by a moderator:
Kwa matokeo haya kikwete lazima aifute green gurd kwani haina faida, kazi yao ni kula pesa za mafisadi tu
Mkuu Pelekete, huwezi amini, kuna type fulani ya watu wachache wa aina yangu ambao kwetu ukuu wa wilaya sio deal kabisa!. Kwa ukaribu nilionao na hozo top corridors, ingekuwa U DC kwangu ni deal, ningeshakuwa siku nyingi!, ningeanzia tuu na kukata kadi ya CCM, mengine yote yangefuatia!, maskini Pasco mimi, hata kadi ya CCM sina, leo ukuu wa wilaya upi ninaupumulia?!.Pasco umebaki muda mfupi tu kabla ya chadema haijakabidhiwa nchi huo ukuu wa wilaya unaoutafuta utausikia kwa wenzako kwa muda uliobaki,lkn pia una fikra kwamba chadema bado changa ok! .
"Mlilala hundingwa ndingwa, mwemacho haambiwi tule", 2015 inakuja, chakula kinawekwa mezani, subiria sasa kujua aliyelala ni nani na aliye macho ni yupi!. Atakayecheka mwisho ndio atakayecheka zaidi na atakae lia mwisho ndie atakaye lia sana!. Sisi wote tupo humu, subiria 2015 ni nani atacheka na nani atalia mwisho, tutakumbushana!.CCM haijengi flyover ni kodi za wananchi wote, hata rapid transport ni kodi zetu, CCM yako inatoka wapi Mzee wa bonafide genuine?
peoplesssssssssss