Chagulani: Wenje ni chanzo cha migogoro Mwanza

Chagulani: Wenje ni chanzo cha migogoro Mwanza

Mamluki waliopandwa CDM watajitokeza tu. Joto la CDM linawaunguza na wataandika mengi mwaka huu. Pole sana Mwenyekiti Bavicha Mwanza!!! Hii njia uliyopitia haina mashiko, tafuta nyingine. Pole.
 
Chadema wameonyesha udhaifu wa hali ya juu katika masuala ya utawala katika Jiji la Mwanza, wakazi wa Mwanza waliwapa kura kwa imani mtaijenga Mwanza kinyume chake ni ufisadi tu na vita vya kugombea madaraka.
kwa hiyo CCM imeonesha ukomavu wa kisiasa nchi nzima maana walimu wanalipwa vyema,madaktari hawana tatizo lolote hakuna ufisadi miundombinu saafi nchi ya pili kwa utajiri duniani AU VIPI RITZ
 
Nimewahi kusema kwamba,kwenye msafa wa Mamba,Kenge nao wapo!!!.Chagulani ni mtu wa kumwangalia sana,ni mtu hatari,anavuruga CHADEMA.Kama ni matatizo ya ndani,malizeni ndani kwa ndani,huna haja ya kuleta kwenye JF,hivi ukiwa na ugomvi kwenye familia yako utaleta pia JF?.Hayo ni majungu na inaonyesha jinsi wewe sio mtu reliable.
 
Huu ni unafiki na upumbavu sana na tunawajua hawa ni mapandikizi yametumwa,haiwezekani mambo ya kuongelea kwenye vikao unaleta JF na facebook ili iweje?Cdm ni chama kubwa na hakika hamtafanikiwa kwa unafiki wenu....
 
Salvatory Magagu Patrick Sanson
Nimesoma makala yako kwa makini na kudadavua mambo machache
1. Ujumbe wako umejaa usanii na tamaa ya uongozi
2. Hukufanya utafiti wa mambo unayozungumzia bali mawazo yako binafsi
3. unaonyesha una chuki na viongozi wako vinginevyo ungetoa ushauri kwao kabla hujaja kwenye forum discussion
 
Back
Top Bottom