CHADEMA yazidi kusuasua Arusha

CHADEMA yazidi kusuasua Arusha

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
38,562
Reaction score
48,911
Imefikia mahali kulazimisha kupandisha bendera zao katika vijiwe vya mjini Arusha ili kuonekana kua bado wanakubalika, huku in reality wananchi wamechoshwa na kauli zisizo na tija na utendaji mbovu wa mbunge wao.

Wapo wanaoapa kua hawana hamu ya kuona wala kukisikia tena chama hiki, kutokana na kupoteza mikataba minono ya kibiashara na wageni wa nje, wakihofia hali mbaya ya usalama kutokana na maandamano na kauli tata za mbunge wa Arusha zinazochochea maandamano yenye vurugu.

Siku za CHADEMA zinahesabika mpaka tufikie uchaguzi 2015.
 
wewe magamba huna jipya unatumika kama condom ccm haina ubavu wa kuichukua arusha
 
Kanda ya Kasikazini, Kanda ya Ziwa, Kanda ya Magharibu, Kanda ya Kusini -- CCM msahau milele.

Uhai wenu kiasi umebakia Tabora, Singida, Dodoma, Morogoro na Pwani.
 
Kanda ya Kasikazini, Kanda ya Ziwa, Kanda ya Magharibu, Kanda ya Kusini -- CCM msahau milele.

Uhai wenu kiasi umebakia Tabora, Singida, Dodoma, Morogoro na Pwani.
Tatizo lenu mnafikiria ni CCM tu, Arusha inaweza kubebwa na mwingine sio lazima CCM
 
Kanda ya Kasikazini, Kanda ya Ziwa, Kanda ya Magharibu, Kanda ya Kusini -- CCM msahau milele.

Uhai wenu kiasi umebakia Tabora, Singida, Dodoma, Morogoro na Pwani.

Chadema ni kama vile msimu wa mvua, soon kitakuja kiangazi, tutakisahau milele
 
habari ya mjini ni nauli za daladala mabasi treni kupanda bila mishahara ya wafanyakazi kupanda
 
By mwezi ujao tutakuwa na uchaguzi wa madiwani katika kata 4 hapa arusha mjini na hapo ndio mtajua kuwa chadema huwa hatuhitaji kupamba kwa bendera bali vitendo vya nguvu ya umma vitaongea.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
CHADEMA ni chama cha matusi, yawezekana Mwigulu akawa ni mwanachama wa CDM, Lusinde nae ni CDM. Mtoa uzi nahisi hakufanya research bali kaandika mawazo yake na uhitaji wake. But the reality wala hakuhitaji kuumiza kichwa saana, CCM Arusha ni sawa na kupeleka UDP Zanzibar! Ni mawazo yangu tu ndugu yangu Stroke!
 
nlitegemea hii hoja inatoka kwa neutral person kumbe mkuu stroke unatoka ccm

sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote, ninachokuambia amini ndivyo hali halisi kwa sasa mkoani arusha, chadema ipo hoi
 
Kama lilivyo jina lako stroke hata ubongo wako pia ni stroke. Mbona hamuitishi uchaguzi wa madiwani kama kweli CHADEMA imechokwa hapa Arusha?? tangazeni uchaguzi wa madiwani ndipo mpate cha kusema, otherwise jifungie chumbani kwako na mumeo umpatie kiburudisho chake upate akili.
 
Fikra za alinacha, wafuatiliaji wazuri wa siasa wsnajua bila shaka kwamba, fujo zote na mauaji yote yanayotokea kwenye mikutano ya Chama kubwa Chadema yanaratibiwa na chama kinachokwenda kufa Ccm. Hapo mlipo mko Icu. Kama mnabisha tusiandikie mate, waambieni hao watendaji wenu wa Ccm tume ya uchaguzi watangaze uchaguzi wa madiwani hapo mtaelewa kama Chadema no mvua ya msimu au ni upepo wa sunami, jaribuni kwa hilo ndo muongee.
 
Lakini mbona Lema ameanza kustaarabika? Msimuangushe jamani, nendeni nae hivyo hivyo mpaka ajirekebishe kabisa. Siku hizi ameibukia mropokaji mpya, mzee Slaa.
 
Tatizo lenu mnafikiria ni CCM tu, Arusha inaweza kubebwa na mwingine sio lazima CCM


Eeeeeh, umeona kuwa kumbe CCM hakuna kitu, binafsi nakubaliana na wewe, si lazima CDM, ila kikichukua chama kingine nje ya CCM, powa tu! hapa kikubwa ni kuondokana na huu mzimu CCM, ingawa kwa Arusha nadhani bado ni mapema mno kusema kuwa 2015 CDM itafutika pale
 
Fikra za alinacha, wafuatiliaji wazuri wa siasa wsnajua bila shaka kwamba, fujo zote na mauaji yote yanayotokea kwenye mikutano ya Chama kubwa Chadema yanaratibiwa na chama kinachokwenda kufa Ccm. Hapo mlipo mko Icu. Kama mnabisha tusiandikie mate, waambieni hao watendaji wenu wa Ccm tume ya uchaguzi watangaze uchaguzi wa madiwani hapo mtaelewa kama Chadema no mvua ya msimu au ni upepo wa sunami, jaribuni kwa hilo ndo muongee.
Kwani Lwaka na Ludo ni wanaCCM? wao si ndio masniper wa CDM.
 
Kipimo cha ukweli wa unachosema ndugu stroke ni uchaguz wa madiwani.
 
Eeeeeh, umeona kuwa kumbe CCM hakuna kitu, binafsi nakubaliana na wewe, si lazima CDM, ila kikichukua chama kingine nje ya CCM, powa tu! hapa kikubwa ni kuondokana na huu mzimu CCM, ingawa kwa Arusha nadhani bado ni mapema mno kusema kuwa 2015 CDM itafutika pale
Mimi binafsi naona ni sawa tu wapinzani kuchukua AR,cha muhimu kiwe chama cha amani na sio wapenda fujo kama CDM.
 
Kwani Lwaka na Ludo ni wanaCCM? wao si ndio masniper wa CDM.

Na yule kandarasi diwani aliyesababisha vifo vya zaidi ya watu 20 pale Dar ni CDM? yule diwani wa huko Kagera mwenye kikundi cha mauaji bila shaka naye mtasema anatoka CDM kwa jinsi mlivyo na fikra mgando. Rama wa magogoni naye ni CDM, si ndo manake?? hata yule chizi mkenya mnaweza kumpatia kadi ya CDM ili mhalalishe uozo wenu wa kukipaka matope CDM. Mtakesha sana kuiombea CDM matatizo lakini mwisho wa siku mtaishia kupata aibu.
 
Naona unajifariji baada ya kuona nchi inayoyoma mwaka 2015, CCM haina jipya zaidi ya propaganda kama hizi zisizo na msingi.
 
Kanda ya Kasikazini, Kanda ya Ziwa, Kanda ya Magharibu, Kanda ya Kusini -- CCM msahau milele.

Uhai wenu kiasi umebakia Tabora, Singida, Dodoma, Morogoro na Pwani.

zanzibar na pemba bado kuna harufu ya ccm ila kufika 2015 wakuwa wameshabadilika
 
Back
Top Bottom