CHADEMA yazidi kusuasua Arusha

CHADEMA yazidi kusuasua Arusha

Sawa Tumekuisikia sasa wewe upo upande gani wale waliotoa Mil 10 au ule upande wa madui 11? yote tisa kumi kama hivyo ndivyo kwanini mnagwaya kuitisha uchaguzi wa madiwani?
 
Mimi binafsi naona ni sawa tu wapinzani kuchukua AR,cha muhimu kiwe chama cha amani na sio wapenda fujo kama CDM.

Wale policcm wanaoua watu kwenye maandamano ya AMANI ya CDM nao ni wanachama wa CDM? manake kama ni fujo huwa zinasababishwa na policcm. Mbona siku ile Mh Lema anarejea kutoka Dsm baada ya kushinda rufaa yakehakukuwa na fujo yoyote? chama chenye wapenda fujo sio kingine bali ni Chama Cha Majangili wanaotuulia tembo wetu
 
Kanda ya Kasikazini, Kanda ya Ziwa, Kanda ya Magharibu, Kanda ya Kusini -- CCM msahau milele.Uhai wenu kiasi umebakia Tabora, Singida, Dodoma, Morogoro na Pwani.
Nawewe utukome sngda labda tabora
 
Na yule kandarasi diwani aliyesababisha vifo vya zaidi ya watu 20 pale Dar ni CDM? yule diwani wa huko Kagera mwenye kikundi cha mauaji bila shaka naye mtasema anatoka CDM kwa jinsi mlivyo na fikra mgando. Rama wa magogoni naye ni CDM, si ndo manake?? hata yule chizi mkenya mnaweza kumpatia kadi ya CDM ili mhalalishe uozo wenu wa kukipaka matope CDM. Mtakesha sana kuiombea CDM matatizo lakini mwisho wa siku mtaishia kupata aibu.
Umesahau kuwataja na wafungwa wenye kesi za mauaji. Akili ni mali. watu wanajadili nini na wewe unaleta nini.
 
Imefikia, mahali kulazimisha kupandisha bendera zao katika vijiwe vya mjini arusha, ili kuonekana kua bado wanakubalika, huku in reality wananchi wamechoshwa na kauli zisizo na tija na utendaji mbovu wa mbunge wao, wapo wanaoapa kua hawana hamu ya kuona wala kukisikia tena chama hiki, kutokana na kupoteza mikataba minono ya kibiashara na wageni wa nje, wakihofia hali mbaya ya usalama kutokana na maandamano na kauli tata za mbunge wa arusha zinazochochea maandamano yenye vurugu, siku za chadema zinahesabika m paka tufikie uchaguzi 2015.

Nadhani unahitajikuja ukiwa na data kamili sio huu utoto uliotuletea hapa
 
Sio vibaya mtu kujipa moyo na nikweli sio kosa mtu kuota mchana kweupe
Ukitaka kuijua cdm vizuri mwambie tendwa aitishe uchaguzi wa madiwani arusha
 
Nadhani unahitajikuja ukiwa na data kamili sio huu utoto uliotuletea hapa

Data zipi zaidi ya hizo kupandikiza bendera kwa nguvu na ulaghai, ur days are numbered
 
Chadema Arusha wanaitaji kubadilika.
 
Stroke, hoja yako ingekuwa ya ukweli; uchaguzi wa Madiwani ungekuwa umeshaitishwa. Kinyume chake Serikali ya CCM inaogopa kushindwa kama ilivyokuwa Kata ya Daraja 2 kwenye uchaguzi wa mwaka jana.
 
Chadema Arusha wanaitaji kubadilika.
kuna mjumbe ameuliza ni lini mtaruhusu uchaguzi wa madiwani arusha?
Je kwa wale madiwani mliowadanganya wafungue kesi vipi kuwalipia faini?
 
Huyu anaesema chadema ni dhaifu arusha aitishe maandamano au aitishe uchaguzi wa madiwani.
 
Imefikia, mahali kulazimisha kupandisha bendera zao katika vijiwe vya mjini arusha, ili kuonekana kua bado wanakubalika, huku in reality wananchi wamechoshwa na kauli zisizo na tija na utendaji mbovu wa mbunge wao, wapo wanaoapa kua hawana hamu ya kuona wala kukisikia tena chama hiki, kutokana na kupoteza mikataba minono ya kibiashara na wageni wa nje, wakihofia hali mbaya ya usalama kutokana na maandamano na kauli tata za mbunge wa arusha zinazochochea maandamano yenye vurugu, siku za chadema zinahesabika m paka tufikie uchaguzi 2015.

Kutakuwa na uchaguzi wa madiwani kata tano, tutapima hiyo kauli yako kama ina ukweli wowote, mimi naishi Arusha, Chadema is stronger than ever hakuna mtu anajadili kuona CCM inarudi Arusha kama unavyodai wewe, na Kuhusu Lema ni mot wa kuotea mbali ukitaka ukosane na watu wa Arusha msema vibaya Lema!
 
Imefikia, mahali kulazimisha kupandisha bendera zao katika vijiwe vya mjini arusha, ili kuonekana kua bado wanakubalika, huku in reality wananchi wamechoshwa na kauli zisizo na tija na utendaji mbovu wa mbunge wao, wapo wanaoapa kua hawana hamu ya kuona wala kukisikia tena chama hiki, kutokana na kupoteza mikataba minono ya kibiashara na wageni wa nje, wakihofia hali mbaya ya usalama kutokana na maandamano na kauli tata za mbunge wa arusha zinazochochea maandamano yenye vurugu, siku za chadema zinahesabika m paka tufikie uchaguzi 2015.

Kweli mkuu, waambie basi wakuu wako wapeleke ile barua ya mkurugenzi wa jiji kule nec ili uchaguzi wa zile kata nne uitishwe, ukienda kwa mleza wa chama cha magamba arusha mzee tyson ukamwambia cdm imechokwa arusha unaweza pigwa makofi, maana anakumbuka pesa alizogawa daraja 2 halafu kilichotokea chaliiii miguu juuuu
 
Kutakuwa na uchaguzi wa madiwani kata tano, tutapima hiyo kauli yako kama ina ukweli wowote, mimi naishi Arusha, Chadema is stronger than ever hakuna mtu anajadili kuona CCM inarudi Arusha kama unavyodai wewe, na Kuhusu Lema ni mot wa kuotea mbali ukitaka ukosane na watu wa Arusha msema vibaya Lema!

ee aendelee na tabia zake za ugaidi kuhamasisha vijana kudhuru watu tena mbaya zaidi aliekua mwenyekiti wa chadema terat, ni mhanga wake mpya
 
Back
Top Bottom