CHADEMA yazidi kumeguka...!

CHADEMA yazidi kumeguka...!

Sababu za kuachwa na Mwigulu safari Marekani ni siri ya Julian na Mwigulu, ingawa tetesi kutoka chanzo kinachoaminika kilicho karibu sana na Mwigulu kimeweka bayana sababu ya huyu bibie kuachwa na Mwigulu.
 
Kuchangia Nyuzi nyingine ni Kuzeesha Keypad za Computer zetu aisee
 
Msako wa kimbunga ndumila kuwili wote lazima watoke. Ulivyo huna aibu unasema kilichowatoa ni njaa sawa na ulivyotoka wewe! Huwezi kimbilia miccm kama uko timamu, urafi unawaponza na njaa zenu za nguruwe. Simamieni haki tuikomboe nchi kutoka kwa wakoloni/magamba na haki ikitendeka mtaondokana na aibu ya kujikomba kwa wakubwa ili mpate kula.
 
Imekuaje Mwigulu ameenda US bila wewe Small House? Au ndio tuseme mara hii tu ameshakuchoka?
 
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.

CHADEMA kimepata pigo kubwa baada ya aliyekuwa Katibu Mwenezi wa chama hicho Kata ya Mkuza Abdallah Maja kuhama chama hicho na kujiunga na CCM.

Maja pamoja na wanachama wengine wa CHADEMA akiwemo Yusuph Komba walirudisha kadi za Chama hciho kwenye mkutano wa hadhara wa Mwenyekiti wa CCM Kibaha Mjini Maulid Bundala uliofanyika Mkuza Kibondeni wilaya ya kibaha wakati wa ziara yake inayoendelea kwenye mji huo kuangalia utekelezaji wa Ilani ya Chama.

Akizungumza mara baada ya kuhamia CCM, Maja alisema kuwa kule Chadema hakuna lolote kwani siasa zake ni za kibabaishaji. "kule hakuna lolote zaidi ya ujanja ambao hautaweza kuleta maendeleo kwa wananchi. Mimi nilipata matatizo lakini walishindwa kunisaidia hadi nikasaidiwa na CCM, nimeona kuwa chama cha ukweli ni Cha Mapinduzi pekee" Alisema Maja.

Source: Majira jumatatu septemba 30, 2013. Ukurasa wa 10:

Baada ya Habari hiyo ya kusisimua napenda kumpa pole ya dhati kabisa Mwenyekiti wa Chadema Taifa Bw. Freeman Aikaeli Mbowe kwa kufiwa na Ndugu yake Grace Aikaeli Mbowe, ambaye amefariki katika ajali ya Gari iliyotokea eneo la Kabuku Jana.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana Lihimidiwe. Pole mara mbili Mheshimiwa.

Wananchi wameshawachoka acha wavune walichokipanda.
 
Wajinga ndio waliwao..,wamesema waswahili na hawakukosea. Josephine aka mama junior anakausha hazina ya CDM kila kukicha kwa route zisizo za ajabu na kulala kwenye mahoteli ya kifahari bila title wakati wanaopiga kazi huko kwenye kata wanakufa njaa..

...tena waacha mama junior akae five star hotel maana kazi zao na kujitoa kwao kwenye chama kuna mchango wa kutukuka, mmmmh..! sikumbuki hata kama uliwahi kufungua hata tawi moja kwa juhudi zako binafsi,but look at what this family has done to this country, mafisadi wanahanyahanya, wezi watembo chali,wauza unga,mianya ya majambazi ya chamachako chaliii, wao na wapambanaji wenzake wana deserve a five star hotel accomodation,wamebadili muelekeo wa nchi na taifa kwa ujumla...
 
wewe Gefu inaonekana hauijui chadema unaisoma magazetini. ungeijua usingetoa kejeli kama hii. au siku ukifikwa na tatizo halafu ukasaidiwa na watu usiowategemea badala ya chadema ndo utaelewa. kwa sasa endeleza uzuzu wako
...hahaahaaaa mkuuu acha assumtion bhana, haka sijui kamatendaji ni kachumia tumbo tu kama mamaa shonza,in anyway huwezi kukituhumu chama kwa kutoshughulika na ishu zako binafsi, ndo kwaanza tumeanza vita dhidi ya mkoloni mweusi aliyejificha ndani ya "amani na utulivu"....
 
kweli wakati wa kufa nyani miti yote huteleza.yaani ccm imefikia hatua ya kujadili suala la kiongozi wakata kuwa big deal hata baada ya kukaa madarakani kwa zaidi ya miaka hamsini.ccm jiandae kuondoka madarakani.
 
...tena waacha mama junior akae five star hotel maana kazi zao na kujitoa kwao kwenye chama kuna mchango wa kutukuka, mmmmh..! sikumbuki hata kama uliwahi kufungua hata tawi moja kwa juhudi zako binafsi,but look at what this family has done to this country, mafisadi wanahanyahanya, wezi watembo chali,wauza unga,mianya ya majambazi ya chamachako chaliii, wao na wapambanaji wenzake wana deserve a five star hotel accomodation,wamebadili muelekeo wa nchi na taifa kwa ujumla...

Ufisadi ni neno pana sana, hata hao unaodhani ni wapinga ufisadi ni mafisadi wakubwa, ufisadi hauko Tanzania tu, bali duniani kote, china kila siku wananyonga watu kwa ufisadi, Rais Bill CLINTON alikumbwa na kashfa ya ufisadi na yule secretary wake, yule Rais wa IMF naye hivyo hivyo. Kwa hiyo watanzania wameshagundua hilo na wanaridhika na jinsi serikali inavyopambana na tatizo na ndiyo maana siyo mtaji tena kwa CHADEMA inashangaza wewe bado uko nyuma ya wakati. Wimbo wanaoumia hivi sasa unaitwa KATIBA, na muda ukifika watanzania watagundua janja ya CHADEMA watawabwaga tena na watakuwa hawana la kusema. Nakubaliana na SHONza KUWA chadema kinakufa kimyakimya.
 
Hivi huyu Shoza ana elimu gani? naomba wanaojua watujuze tafadhali...ili nisimshambulie kabla sijajua kiwango chake cha elimu na in msaidiaje/
 
Eti CDM wamepata pigo?

Yani mijinga mingine ni tabu kweli kweli.

CHADEMA ni kama maji vile kwa namna moja ama nyingi lazima utumie.

Soma alama ya nyakati.
 
kweli wakati wa kufa nyani miti yote huteleza.yaani ccm imefikia hatua ya kujadili suala la kiongozi wakata kuwa big deal hata baada ya kukaa madarakani kwa zaidi ya miaka hamsini.ccm jiandae kuondoka
madarakani.
Nyumba inajengwa kuanzia kwenye msingi na msingi wa chama chochote ni matawi , na matawi yako kwenye kata.
 
Naona makubwa jinga mnapeana matumaini.

Sisi hatuna haha yakupeana matumaini maana nchi imo mikononi mwetu,tunatekeleza ilani kwa maendeleo ya wote
Nyie mnaoota ndoto za mchana zakuchukua nchi
ndio mnaojifariji ,
Nchi hii itabaki kuongozwa na ccm,kibwetere ataishia kuisikia redioni
 
Back
Top Bottom