CHADEMA yazidi kumeguka...!

CHADEMA yazidi kumeguka...!

Hilo ni kama tone tu kati ya wale waliokwisha jitambua!! Kuna kipindi cha mwaka 2011 na 2012 ilikuwa kama mvua ya wanachama kujiunga na CDM!! CDM hatuna hofu yoyote na hao mnaowanunua kwa gharama kubwa!! Tegemeo la CDM ni kuandikisha wapiga kura hasa kwa vijana wengi ndo utaona moto moto moto!!
mfamaji hakosi kutapatapa, mtaji wa chama ni wanachama na kama wanapuputika mtaji utabaki ni majungu kwenda mbele.
 
CCM sio kama CDM huku hawaziki wanasiasa wachanga na wanaochipukia..,huku viongozi wetu hawahodhi madaraka kama chadema.,.wanatupa fursa na tunazitumia.
Huku hatukuja kwa ajili ziara.,tumekuja kutimiza malengo yetu kisiasa ambapo hakukupewa fursa hiyo chadema ambako kuna waroho wa madaraka na wapenda vyeo kupindukia ambao wanahodhi kila kitu ndani ya Chama, hawatoi nafasi kwa wanachama na viongozi wadogo kupata na kutumia fursa za kisiasa. ni watu waroho sana na wenye chuki na roho mbaya.

CCM imepitiliza na kuwa kama kumbakumba isiyo kuwa na chujio.
 
Ala mi nilijua ameondoka kwa hoja ya msingi KUMBE SHIDA YAKE NI NJAA.Nampa pole sana huyu kipofu wa kifikra HAJUI YA KUWA CCM MTAJI WAO NI SHIDA ZA WATU!
 
Hatima yake itakuwa nzuri tu maana mie SIKONGE ndiyo nitamchukua kutoka kwenye mikono ya Mwigulu......

From dat day, I won't let any Man touch my Sugar Bum Bum, Juliana Shonza


Mama katibu mwenezi wa kata nae unaita pigo kubwa !!!? Wewe subiri mwakani uone kazi. Yatakupata ya Arusha. Hofu yangu ni hatima yako baada ya mwaka2015 CCM itakapokuwa imezikwa rasmi maisha yako yatakuwaje, kaa chonjo saa mbaya.
 
Last edited by a moderator:
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.

CHADEMA kimepata pigo kubwa baada ya aliyekuwa Katibu Mwenezi wa chama hicho Kata ya Mkuza Abdallah Maja kuhama chama hicho na kujiunga na CCM.

Maja pamoja na wanachama wengine wa CHADEMA akiwemo Yusuph Komba walirudisha kadi za Chama hciho kwenye mkutano wa hadhara wa Mwenyekiti wa CCM Kibaha Mjini Maulid Bundala uliofanyika Mkuza Kibondeni wilaya ya kibaha wakati wa ziara yake inayoendelea kwenye mji huo kuangalia utekelezaji wa Ilani ya Chama.

Akizungumza mara baada ya kuhamia CCM, Maja alisema kuwa kule Chadema hakuna lolote kwani siasa zake ni za kibabaishaji. "kule hakuna lolote zaidi ya ujanja ambao hautaweza kuleta maendeleo kwa wananchi. Mimi nilipata matatizo lakini walishindwa kunisaidia hadi nikasaidiwa na CCM, nimeona kuwa chama cha ukweli ni Cha Mapinduzi pekee" Alisema Maja.

Source: Majira jumatatu septemba 30, 2013. Ukurasa wa 10:

Baada ya Habari hiyo ya kusisimua napenda kumpa pole ya dhati kabisa Mwenyekiti wa Chadema Taifa Bw. Freeman Aikaeli Mbowe kwa kufiwa na Ndugu yake Grace Aikaeli Mbowe, ambaye amefariki katika ajali ya Gari iliyotokea eneo la Kabuku Jana.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana Lihimidiwe. Pole mara mbili Mheshimiwa.

Juliana -
That you are a politician must be quite an accomplishment for a person of your calibre. Your childish utterances are merely political verbal diarrhea from a most foul , immature, insensitive turn-coat.
Grow up! Juliana Shenzi is more likely than ever a fitting accolade you ought to revert to.
What is marked red is a punch under the belly so typical of bonkers like you. A very ugly rant.
 
... we July huyo jamaa ni mchumia tumbo kama wewe, angalia kauli yake eti "nilipata matatizo wakashindwa kunisaidia mpaka nikasaidiwa na ccm" unategemea mtu kama huyu atakaa chadema..!!?? sisi tunasaidia chama sio chama kugawa misaada, kwani imekuwa ccm ? yaani huyu asingetoka mwenyewe tungemtimua kama tulivyokufanya wewe...

wewe Gefu inaonekana hauijui chadema unaisoma magazetini. ungeijua usingetoa kejeli kama hii. au siku ukifikwa na tatizo halafu ukasaidiwa na watu usiowategemea badala ya chadema ndo utaelewa. kwa sasa endeleza uzuzu wako
 
nashukuru kwa maneno yako yenye kutia faraja.,hawa watu ni wa ajabu sana..,haya ni matatizo ya kutumia vinywaji vyenye vileo vikali kisha wanaandamana kwenye jua kali..akili zao ni za hovyo sana.

Wewe ndo una akili isiyo ya hovyo? I thought you had better brain to stop being used like co.ndom...... Grow up young lady. By the way when did you attain your menarche??
 
Hicho kifo ni majibu ya Mungu kwa CCM Bwana alitoa hakutwaa, CCM ndiyo iliyotwaa. Sasa tekelezeni Plan B.

Unaimiss sana Chadema? Kama ulikwenda kujiuza CHADEMA wameshakufukuza. Kwa wewe, Mwigulu Nchemba Atosha lala naye muda wote tuache tulale na bundi wetu.

Shibuda je? Amemtosa?
 
Njaa mbaya kwelikweli!

Tunawaomba wote ambao wamekuja CHADEMA ili kutafuta ulaji au kusaidiwa matatizo yao ya kiuchumi wajitoe mapema watuachie chama chetu.

Wakati sisi tunatoa hela zetu mifukoni kujenga chama,nyie mnawaza kutajirika kupitia hicho hicho chama!
Tupisheni na wasalimieni majangili,wezi,magaidi na mafisadi wenzenu wote wa ma-CCM.

SHAME ON YOU!
 
Kila mda unafikilia kulala. Vipi bundi wa ccm pia huwa unalala nao?
 
mkutano wenyewe hata watu mia hawakufika,nlivyosikia kuna mkutano wa maganda nkamua niende nikashudie kama wanakubalika nenda pale nusu ya wahudhuriaji ni viongozi na walio hama toka cdm kwenda ccm hata watano hawazidi,cjui huko ndo kudhoofika kwa cdm.
 
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.

CHADEMA kimepata pigo kubwa baada ya aliyekuwa Katibu Mwenezi wa chama hicho Kata ya Mkuza Abdallah Maja kuhama chama hicho na kujiunga na CCM.

Maja pamoja na wanachama wengine wa CHADEMA akiwemo Yusuph Komba walirudisha kadi za Chama hciho kwenye mkutano wa hadhara wa Mwenyekiti wa CCM Kibaha Mjini Maulid Bundala uliofanyika Mkuza Kibondeni wilaya ya kibaha wakati wa ziara yake inayoendelea kwenye mji huo kuangalia utekelezaji wa Ilani ya Chama.

Akizungumza mara baada ya kuhamia CCM, Maja alisema kuwa kule Chadema hakuna lolote kwani siasa zake ni za kibabaishaji. "kule hakuna lolote zaidi ya ujanja ambao hautaweza kuleta maendeleo kwa wananchi. Mimi nilipata matatizo lakini walishindwa kunisaidia hadi nikasaidiwa na CCM, nimeona kuwa chama cha ukweli ni Cha Mapinduzi pekee" Alisema Maja.

Source: Majira jumatatu septemba 30, 2013. Ukurasa wa 10:

Baada ya Habari hiyo ya kusisimua napenda kumpa pole ya dhati kabisa Mwenyekiti wa Chadema Taifa Bw. Freeman Aikaeli Mbowe kwa kufiwa na Ndugu yake Grace Aikaeli Mbowe, ambaye amefariki katika ajali ya Gari iliyotokea eneo la Kabuku Jana.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana Lihimidiwe. Pole mara mbili Mheshimiwa.

Ukiona mtu anatoka Chama cha upinzani na kujiunga na CCM huyo hakuwa mpinzani ila njaa ndo ilikuwa yamsumbua. Juliana Shenzi na akili zako zote na wewe uanataka kujiita mwana mageuzi na unashabikia watu watoke upinzani kwenda magambani kwa maisha yapi? Jitambue unadharaulika sana
 
mods hii inadhalilisha Jukwaa..,kama mnafikiri inanidhalilisha mimi tu endeleeni kuwaacha hawa watu kisha mtaona mwisho wake. Ondoeni hawa wapuuzi humu.

Hii inakudhalilisha wewe mwenyewe mbona kila siku wamuita Dr.Slaa Babu kwa kumdhalilisha ukiwa humaanishi lini umemwita , JK , Msekwa , Kinana , Wassira na wengine kibao Babu ? Na hao ndiyo mababu hasa lakini hawakai na wajukukuu nyumbani .
 
Hv juliana umeacha kuuza k?hata post zako inaonyesha,pamoja na familia kukukuweka chini,inaonekana kujiuza ww ni inborn!
 
Hv juliana umeacha kuuza k?hata post zako inaonyesha,pamoja na familia kukukuweka chini,inaonekana kujiuza ww ni inborn!

Duh !!! Makubwa haya na huko nako yuko ? Nilimuona UK kabla ya kutimliwa akiwa anatanua ila sikujua kama ilikuwa ni mambo haya .
 
JULIANA SHONZA nimekuuliza hapo awali,je, katiba ya CDM ina cheo cha KATIBU MUENEZI KATA au huyo kibaraka wako anajipachikia cheo kisichotambulika kikatiba ilimradi tu isemekane ni kiongozi wa CDM? Naomba jibu plz....
 
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.

CHADEMA kimepata pigo kubwa baada ya aliyekuwa Katibu Mwenezi wa chama hicho Kata ya Mkuza Abdallah Maja kuhama chama hicho na kujiunga na CCM.

Maja pamoja na wanachama wengine wa CHADEMA akiwemo Yusuph Komba walirudisha kadi za Chama hciho kwenye mkutano wa hadhara wa Mwenyekiti wa CCM Kibaha Mjini Maulid Bundala uliofanyika Mkuza Kibondeni wilaya ya kibaha wakati wa ziara yake inayoendelea kwenye mji huo kuangalia utekelezaji wa Ilani ya Chama.

Akizungumza mara baada ya kuhamia CCM, Maja alisema kuwa kule Chadema hakuna lolote kwani siasa zake ni za kibabaishaji. "kule hakuna lolote zaidi ya ujanja ambao hautaweza kuleta maendeleo kwa wananchi. Mimi nilipata matatizo lakini walishindwa kunisaidia hadi nikasaidiwa na CCM, nimeona kuwa chama cha ukweli ni Cha Mapinduzi pekee" Alisema Maja.

Source: Majira jumatatu septemba 30, 2013. Ukurasa wa 10:

Baada ya Habari hiyo ya kusisimua napenda kumpa pole ya dhati kabisa Mwenyekiti wa Chadema Taifa Bw. Freeman Aikaeli Mbowe kwa kufiwa na Ndugu yake Grace Aikaeli Mbowe, ambaye amefariki katika ajali ya Gari iliyotokea eneo la Kabuku Jana.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana Lihimidiwe. Pole mara mbili Mheshimiwa.

Haya yote wewe mke mdogo wa savimbi umejitakia mwenyewe usaliti wako ndio umekuponza leo hii unaona tamaa jinsi CDM inavyo paa anga sasa inakubidi upambane uwezavyo kuleta habari hata kama haina tija kwa wana jf ila wewe unacho angalia upate buku 7,000/= pole sana na kufika 2014 na 2015 ndio umekwisha kisia wewe na savimbi ndio kakutema baada ya kuona mzigo hauna radha subiri kutumika na mizee ya magamba ila CDM itazidi kuwa imara daima.
 
shonza mamaa.. utajutia sana kuhama chadema na nakueleza huo ndo mwisho wako wa siasa.
 
Back
Top Bottom