CHADEMA yavunjavunja ngome ya CCM Same

CHADEMA yavunjavunja ngome ya CCM Same

Baba C

Senior Member
Joined
Mar 15, 2012
Posts
125
Reaction score
55
Baadaya kuzuiliwa na polisi hatimaye CDM kupitia makamanda wake LEMA NA OLLE MILLYA kuhutubia umati wa watu Same katika jimbo la Same Magharibi. Shughuli katika mji wa same zilisita na wimbo wa kila mtu ni PEOPLES POWER TU.Zaidi ya wanachama 300 wamehamia na kupewa kadi.Hizi ni salamu tosha kwa David Mathayo ambaye ama kwa hakika ameshaona mwisho wake 2015.
 
Yuko wapi james aliyetuahidi picha na hata video?au bado mkutano unaendelea?
 
CCM hii kitu wanaita ''kutugawa kikanda'', no one to stop M4C, wameshindwa usalama+CCM leo wataweza CCM peke yao
 
Good job wakuu. Watazua kila lugha ya uchochezi lakini watu akili kichwani.
 
from karatu to dar!tic tic tic tic........ october 2015
 
M4C will put them down , one region after another
 
M4C Haizuiliki hata wakiomba wanajeshi marekani! CDM watafute kijana anayekubalika achukue hilo jimbo kilainiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kweli CDM imeanza kwa kuajiri vijana!
 
Hakuna namna ya kuzuia hili wimbi la mageuzi, cha msingi ndugu zangu wana gamba muanze kujifunza kupelekana nao la sivyo wimbi litawabeba.
 
Wanaujua moto Wa makamanda Wa Chadema,wanauheshimu hata PM Mizengo Pinda anaujua na tunamshukuru alishatangaza kuogopa mapema.Peopleessssssssss!!!!!
 
Chadema kwa sasa ndio roho/tumaini pekee la Watanzania wote.
 
Chadema kwa sasa ndio roho/tumaini pekee la Watanzania wote.

We siku nyingine usihusishe watanzania wote na hao wahuni wa Chadema. Sema Chadema ni tumaini lako na mke wako na watotot wenu tu.
.
"MADARAKA HUMBADILISHA MTU, YAPATE KWANZA NDIPO TUIJUE TABIA YAKO".
 
Wewe fisadi,hajasema ninyie amesema ni watanzania,wanyonge walioibiwa mali zao waliodhalilishwa kwa kuitwa taifa masikini ndani ya utajiri unaoodhiwa na wachache.
 
We siku nyingine usihusishe watanzania wote na hao wahuni wa Chadema. Sema Chadema ni tumaini lako na mke wako na watotot wenu tu.
.
"MADARAKA HUMBADILISHA MTU, YAPATE KWANZA NDIPO TUIJUE TABIA YAKO".

Sasa utapingana na sauti ya Mungu? Akisha amua ameamua ngoja vijana wasonge mbele utawakubali pale utakapo waona wameingia ikulu nndipo utakaposema hakika Mungu ni muweza
 
Back
Top Bottom