Chadema yatikisa ngara wanachama 2000 wajiunga

Now they mean business, viva peoples power!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.Whenever there is a will, there is a way.
 
Ni wazi nchi imeshaanguka mikononi mwa chadema, lakini tutazilinda kura zetu dhidi ya wezi wa kura (ccm) ili kulikamilisha hili?? Tafakari
viva chadema pipoooooz pawwwwwwwwwwaa
 
Mamia ya wakazi wa mji wa Ngara na vitongoji vyeke jana walijitokeza kuhudhuria mkutano wa hadhara ulioandaliwa na Chadema mjini Ngara

Kabla ya kuanza kw amkutano huo maandamano yaliyoshirikisha vyombo mbalimbali vya usafiri kuanzia, baiskeli pikipiki hadi magari yalizunguka maeneo mbalimbali huku wakihamasisha mkutano huo
Mkutano huo unaelezwa kukusanya idadi kubwa zaidi ya wakazi wa wilaya ya Ngara ambayo haijawahi kuonekana katika miaka ya hivi karibuni

Kama ilivo ada kwa wafuasi wa chadema, mavazi ya kaki maarufu kama kombati yalikuwa yametawala katika viwanja hivyo vya posta ya zamani mjini Ngara

Aidha jeshi la Polisi kw aupande wake lilikuwa limejiandaa kuimarisha ulinzi,ambapo landcruiser yenye askari wa kutosha wakiwa tayari kuimarisha usalama kiwnajani hapo
Awali mwenyekti wa chadema wa wilaya bw Hosea Chiza alieleza kuw achama hicho kimepata zaidi wananchama 400 NCCR mageuzi na CCM wamejiunga kattika mikutano mitano uiliyofanyika katika maeneo mbalimbali
Akitoa salaam katika mkutano huo kada wa Chaedma kutoka wilaya ya chato bw Crispin kagoma alisema wananchi wanapaswa kusoma alama za nyakati kama njia ya kuboresha maisha yao
Alisema gharama za maiasha zinazidi kuongezeka kila kukicha hali inayowaathiri wananchi na kuongeza wakati umefika wa kuchagua chama ambacho kitaboresha maiasha yao
Kada mwingine Bw Fred Sali Lukaga kutoka Mwanza alisema wananchi wa Ngara waige wenzao wa Mwnza ambao wameamua kuichagizi chadema
Amesema hata ya maisha ya wananchi wa tanznaia iko mikonojni mwao kwa kufanyya uchaguzi sahihi
Baadhji ya viongozi walioshiriki ni mwneyekiti wa mkoa bw Wilfred lwakatere, katbu wake Bi Konchesta Lwamlaza, mbunge Biharamulo magharibi Dr Anthony Mbasa, mwenyekiti wa wilaya ya karagwe w achedma Bw Gregory kabone na mwenyekiti wa chedma manisa ya Bukoba Bw Victor Sherejei

Aidha kuna tetesi kuwa wabunge maarufu wa chadema wamekataa kuhudhuria mikutano hiyo ya kuimarisha chama wilayani Ngara ikidaiwa kwamba walitaka kulipwa pesa za mafuta ili wasafiri kufika huko



Mamia ya wakazi wa mji wa Ngara na vitongoji vyeke jana walijitokeza kuhudhuria mkutano wa hadhara ulioandaliwa na Chadema mjini Ngara
Kabla ya kuanza kw amkutano huo maandamano yaliyoshirikisha vyombo mbalimbali vya usafiri kuanzia, baiskeli pikipiki hadi magari yalizunguka maeneo mbalimbali huku wakihamasisha mkutano huo
Mkutano huo unaelezwa kukusanya idadi kubwa zaidi ya wakazi wa wilaya ya Ngara ambayo haijawahi kuonekana katika miaka ya hivi karibuni
Kama ilivo ada kwa wafuasi wa chadema, mavazi ya kaki maarufu kama kombati yalikuwa yametawala katika viwanja hivyo vya posta ya zamani
Aidha jeshi la Polisi kw aupande wake lilikuwa limejiandaa kuimarisha ulinzi,ambapo landcruiser yenye askari wa kutosha wakiwa tayari kuimarisha usalama kiwnajani hapo
Awali mwenyekti wa chadema wa wilaya bw Hosea Chiza alieleza kuw achama hicho kimepata zaidi wananchama 400 NCCR mageuzi na CCM wamejiunga kattika mikutano mitano uiliyofanyika katika maeneo mbalimbali
Akitoa salaam katika mkutano huo kada wa Chaedma kutoka wilaya ya chato bw Crispin kagoma alisema wananchi wanapaswa kusoma alama za nyakati kama njia ya kuboresha maisha yao
Alisema gharama za maiasha zinazidi kuongezeka kila kukicha hali inayowaathiri wananchi na kuongeza wakati umefika wa kuchagua chama ambacho kitaboresha maiasha yao
Kada mwingine Bw Fred Sali Lukaga kutoka Mwanza alisema wananchi wa Ngara waige wenzao wa Mwnza ambao wameamua kuichagizi chadema

Amesema hatma ya maisha ya wananchi wa tanznaia iko mikonojni mwao kwa kufanyya uchaguzi sahihi
Baadhji ya viongozi walioshiriki ni mwneyekiti wa mkoa bw Wilfred lwakatere, katbu wake Bi Konchesta Lwamlaza, mbunge Biharamulo magharibi Dr Anthony Mbasa, mwenyekiti wa wilaya ya karagwe w achedma Bw Gregory kabone na mwenyekiti wa chedma manisa ya Bukoba Bw Victor Sherejei

Aidha kuna tetesi kuwa wabunge maarufu wa chadema wamekataa kuhudhuria mikutano hiyo ya kuimarisha chama wilayani Ngara ikidaiwa kwamba walitaka kulipwa pesa za mafuta ili wasafiri kufika huko
 
Hawachelewi kusema uvunaji huu wa members ni kwamba tunagawa nchi kikanda, yule babu Mwenyekiti wa UVCCM mashavu yamemshuka sana aisee
 
Nape, Ritz, Rejao, Ribosome eta el kwa nini kila siku watu wanabadili Jiografia ya Tz,? CDM ni chama cha kikanda (Kaskazini mwa Tz). Please keep that spin rolling!
Na bado kitabaki kuwa chama cha kaskazini. Nasari aliileza nia ya Chadema vizuri sana. Viva CDM, viva rais wa kaskazini bwn Nasari
 
CHADEMA TUTUMIE 'OPERESHENI VUA GAMBA VAA GWANDA' KUKAMATA UONGOZI MASHINANI KWA ZAIDI YA ASILIMIA 80 % KABLA YA 2015

CDM, malengo ya 'Operesheni Vua Gamba Vaa Gwanda' yawe ni kushika asilimia 80% ya
(1) Uwenyekiti wa viti vya vijiji,

(2) Viti vya Udiwani pamoja,na

(3) Ubalozi wa Nyumba 10 kote nchini.

Pindi tutakapofikia malengo magumu kama hayo ndipo tutakapoweza kusema tukiwa kifua mbele kwamba CDM Nguvu ya Umma kweli kwa kuegemea malengo yanayopimika kisayansi kama hayo hapo juu.

Hakika tukifikia malengo hayo hapo juu basi kwa njia hii, hata MAFISADI wafanyeje 2015 lazime tuwashike.

Isitoshe, malengo haya ni ya muhimu sana kwetu kuweza kuweka pamoja nguvu ya umma kuandika KATIBA MPYA YA WANANCHI na kukataa hayo mabadiliko ya kuweweseka ambayo CCM kinaonekana kuanza kupendekeza kwenye vikao vyake hivi sasa.
 
mbona mgoma, kanazi, kumtana, mkafigiri na mkarehe hamjapeleka watu? mi naona hili zoezi lirudiwe tena.
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom