chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 903
Jana Chadema wamefanya mkutano wao wa Mkoa wilayani Ngara na baadaye kuunda vikosi nane ambavyo vimepetapanywa wilaya nzima ili kufanya Mikutano ya hadhara. Vikosi hivyo vimepelekwa maeneo ya Shanga, Rusumo ,Murusagamba, Kabanga,Kobero ,Benacco, Rulenge na Mabawe. Baadaye leo jioni KULITARAJIWA VIKOSI VYOTE VIRUDI MJINI NGARA na kumalizia mkutano Mkubwa wa hadhara ambapo makisio ya chini ya kikao hicho yalilenga kupata wanachama 2000 wapya.
Redio Kwizera iliombwa itangaze mkutano huo mkuu
Redio Kwizera iliombwa itangaze mkutano huo mkuu