CHADEMA yashindwa vibaya Arusha

Ndio mana nahoji hao wa kwenu wako wapi manake hawakuonekana kabisa wakati wao ndio makamanda
 
...buku saba ruzuku limited,from lumumba inatangaza nafasi za kazi,sifa kuu unatakiwa kuwa mnafiki na mlamba miguu...
 

Kama huelewi hoja bora unyamaze mimi nahoji walikoenda wazee wa people's power sio ccm wala cuf
 

Hizi ndio pumba kabisa wala hazihusiani na hoja yangu kama huna upeo si unyamaze tu
 
We sio mtaalam wa research, take it as a sample of the universe....
 

umenikumbusha ccm hv JK alishindwa kwa kura ngapi vile kati ya waliojiandikisha!?
 
Mwisho wa woga ni ujasiri.Itafikia kipindi mabom yatakuwa kitu cha kawaida, waache waendelee kutukomaza.
 
umenikumbusha ccm hv JK alishindwa kwa kura ngapi vile kati ya waliojiandikisha!?

JK sio people's power naulizia walikopotelea makamanda labda kama unajibu hoja nyingine tofauti
 
Utategemea vipi watu wajitokeze kwa wingi katika mazingira ambapo maaskari wamejaa vituoni na silaha nzito kana kwamba tuko vitani?
 
naona leo CCm kimya, hakuna cha HAMMY-D wala nani. hiyo ndiyo CDM utaipenda... Subirini 2015.
 
Hiyo udhauri inapatikana wapi?
Naomba niwape ushauri wa bure CDM wanachokifanya sio vizuri hata kidogo,mim CCM ndiye niliyekuvisha nepi nikakuonyesha mjini,leo hii umeamua kunifanyia haya.Mungu atakulipa kwa kitendo ulichonifanyia,ungejua lini siasa wewe kama sio mimi,ungetoa wapi wagombea kama sio mimiCCM,uwe na hata haya wewe.Heshimu wakubwa zako hata kidogo basi
 
Utategemea vipi watu wajitokeze kwa wingi katika mazingira ambapo maaskari wamejaa vituoni na silaha nzito kana kwamba tuko vitani?

Sasa people's power maana yake nini au ni kupiga tu mlunzi
 

Kweli wewe ni JF senior expert member wa ukweli!! hata ujishangai kuandika kitu kama hicho?
kwani hao Che-Che-Mea walikuwa hawautaki shindi! kwa nini hawakutoka?
duh some brains lack gray matter!
 
Kweli wewe ni JF senior expert member wa ukweli!! hata ujishangai kuandika kitu kama hicho?
kwani hao Che-Che-Mea walikuwa hawautaki shindi! kwa nini hawakutoka?
duh some brains lack gray matter!

Unaijua mantiki ya people's power au unabwabwaja tu? hao chechemea wanaitumia? if mine brain lacks grey matter definetely yours lacks white matter
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…