CHADEMA yashindwa kulipia pango ya ofisi Kasulu

CHADEMA yashindwa kulipia pango ya ofisi Kasulu

utaifakwanza

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
14,193
Reaction score
2,815
Ofisi ya Chama cha demokrasia na maendeleo jimbo la kasulu mjini inashikiliwa na mwenye nyumba kwa miezi kadhaa hivi sasa baada ya chama hicho kushindwa kulipa kodi ya pango.

Akiongea kwa masikitiko makubwa mmiliki wa jengo hilo (jina limehifadhiwa) ameeleza kuwa hadi mwezi wa sita anaidai chadema tshs 600000 na kwamba kina lema walipofika kigoma na chopa hivi karibuni katika ziara yao waliahidi kulipa deni hilo lakini cha kushangaza hadi leo kimya na hakuna kinachoendelea.

Amesema kuwa anashikilia samani za chama hicho ikiwamo viti,meza,bendera na mihuri pamoja na kuitia kufuli hadi atakapolipwa fedha zake na endapo washindwa kulipa hadi mwisho wa mwezi huu atakiburuza chama hicho mahakamani.

hatua ya kushikilia samani imekuja baada ya kuzungushwa kwa muda mrefu na kwamba wale viongozi aliokuwa anawafahamu wamehamia A.C.T Tanzania hivyo ameona njia pekee ya yeye kupata haki yake ni kushikilia mali zao.

my take. Chama kipeleke ruzuku mikoani
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    647.6 KB · Views: 190
  • image.jpg
    image.jpg
    683.5 KB · Views: 116
Tumaini makene mzee wa makanusho anahusika apa
 
Nani atoe laki sita! Watu wanamalizia nyumba zao maana ubunge mwakani hauna uhakika sana wa kupatikana.
 
Teh teh teh afu hawa jamaa CHADEMA hawajaacha tu kupanga kwenye frame kama pale mtaa wa ufipa maana office zote ni frame za duka.

Kulipa hawalipi wao wanatumbua ruzuku tu kwa kukopeshana Slaa na Mbowe


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Uharo mtupu ndio maana mafic ya lumumba yanaushangilia!
 
hayo ni matunda ya uongozi wa Dr slaa na Mbowe!

Msijali pango litalipwa Slaa na Mbowe wakitoka madarakani.
 
Duh majanga...simple logic tu.
mwenye nyumba apige mnada tu hizo samani ajilipe pesa zake hakuna wa kutuma pesa huko. Wafadhili wamestuka na so far chama kiko busy ku bargain na mawakili ili wafungue kesi dhidi ya msajili ili mbowe aendelee kuwa mwenyekiti.
 
Uharo mtupu ndio maana mafic ya lumumba yanaushangilia!
Mkuu pale mlipo toa mamilion kujikopesha Slaa kwa nini msitoe lakI sita kulipa pango? Au kwanIni ofisi ya kasulu isikopeshwe kwa alivyokopeshwa Dr slaa
 
Duh majanga...simple logic tu.
mwenye nyumba apige mnada tu hizo samani ajilipe pesa zake hakuna wa kutuma pesa huko. Wafadhili wamestuka na so far chama kiko busy ku bargain na mawakili ili wafungue kesi dhidi ya msajili ili mbowe aendelee kuwa mwenyekiti.
Kwa hiyo Mbowe ni Kama mfalme? Duu kweli mzee Mtei ana angalia haya yote? Au na yeye anapenda ufalme wa Mbowe?
 
Ofisi ya Chama cha demokrasia na maendeleo jimbo la kasulu mjini inashikiliwa na mwenye nyumba kwa miezi kadhaa hivi sasa baada ya chama hicho kushindwa kulipa kodi ya pango.

Akiongea kwa masikitiko makubwa mmiliki wa jengo hilo (jina limehifadhiwa) ameeleza kuwa hadi mwezi wa sita anaidai chadema tshs 600000 na kwamba kina lema walipofika kigoma na chopa hivi karibuni katika ziara yao waliahidi kulipa deni hilo lakini cha kushangaza hadi leo kimya na hakuna kinachoendelea.

Amesema kuwa anashikilia samani za chama hicho ikiwamo viti,meza,bendera na mihuri pamoja na kuitia kufuli hadi atakapolipwa fedha zake na endapo washindwa kulipa hadi mwisho wa mwezi huu atakiburuza chama hicho mahakamani.

hatua ya kushikilia samani imekuja baada ya kuzungushwa kwa muda mrefu na kwamba wale viongozi aliokuwa anawafahamu wamehamia A.C.T Tanzania hivyo ameona njia pekee ya yeye kupata haki yake ni kushikilia mali zao.

my take. Chama kipeleke ruzuku mikoani

Tumaini makene mzee wa makanusho anahusika apa

Na hii ni stori ya kuijenga ACT?
 
Duh majanga...simple logic tu.
mwenye nyumba apige mnada tu hizo samani ajilipe pesa zake hakuna wa kutuma pesa huko. Wafadhili wamestuka na so far chama kiko busy ku bargain na mawakili ili wafungue kesi dhidi ya msajili ili mbowe aendelee kuwa mwenyekiti.

Vipi umeshapata mchumba? Au Ma-CCM wote wanapita tu?!
 
Ofisi ya Chama cha demokrasia na maendeleo jimbo la kasulu mjini inashikiliwa na mwenye nyumba kwa miezi kadhaa hivi sasa baada ya chama hicho kushindwa kulipa kodi ya pango.

Akiongea kwa masikitiko makubwa mmiliki wa jengo hilo (jina limehifadhiwa) ameeleza kuwa hadi mwezi wa sita anaidai chadema tshs 600000 na kwamba kina lema walipofika kigoma na chopa hivi karibuni katika ziara yao waliahidi kulipa deni hilo lakini cha kushangaza hadi leo kimya na hakuna kinachoendelea.

Amesema kuwa anashikilia samani za chama hicho ikiwamo viti,meza,bendera na mihuri pamoja na kuitia kufuli hadi atakapolipwa fedha zake na endapo washindwa kulipa hadi mwisho wa mwezi huu atakiburuza chama hicho mahakamani.

hatua ya kushikilia samani imekuja baada ya kuzungushwa kwa muda mrefu na kwamba wale viongozi aliokuwa anawafahamu wamehamia A.C.T Tanzania hivyo ameona njia pekee ya yeye kupata haki yake ni kushikilia mali zao.

my take. Chama kipeleke ruzuku mikoani

jamani tunawaambia wahisani wamegoma kutoa hela hamsikiii! ndio siasa za ujanja ujanja
 
Saccos ua Ufipa ipo kwa ajili ya kununuwa Mafuso chakavu kwa millioni mia sita na kujengea majumba ya kifahari mahawara, Slaa kamjengea Josefina jumba la kifahari huko Mabwepande kwa fedha za chama aka za walipa kodi.

Lakini kodi ya pango la ofisi ambayo haifiki hata millioni kwa mwaka, inawashinda. Huo si ufisadi huo ndio uongozi bora.

Halafu mpewe nchi? Duh!
 
wameshituka huko hawana chao hao, ndo maana wanaendelea kuwekeza kule kwao. sidhani hata kama kuna pikipiki moja iliyokuja huko. zote zimeishia rombo na hai.

Ofisi ya Chama cha demokrasia na maendeleo jimbo la kasulu mjini inashikiliwa na mwenye nyumba kwa miezi kadhaa hivi sasa baada ya chama hicho kushindwa kulipa kodi ya pango.

Akiongea kwa masikitiko makubwa mmiliki wa jengo hilo (jina limehifadhiwa) ameeleza kuwa hadi mwezi wa sita anaidai chadema tshs 600000 na kwamba kina lema walipofika kigoma na chopa hivi karibuni katika ziara yao waliahidi kulipa deni hilo lakini cha kushangaza hadi leo kimya na hakuna kinachoendelea.

Amesema kuwa anashikilia samani za chama hicho ikiwamo viti,meza,bendera na mihuri pamoja na kuitia kufuli hadi atakapolipwa fedha zake na endapo washindwa kulipa hadi mwisho wa mwezi huu atakiburuza chama hicho mahakamani.

hatua ya kushikilia samani imekuja baada ya kuzungushwa kwa muda mrefu na kwamba wale viongozi aliokuwa anawafahamu wamehamia A.C.T Tanzania hivyo ameona njia pekee ya yeye kupata haki yake ni kushikilia mali zao.

my take. Chama kipeleke ruzuku mikoani
 
Hii nayo thread kweli nyie si filosofa,unataka tueleze mlivyoshindwa kupaka rangi ofisi zote za ccm hapa tz,huku mkichukua bil 80 kwa mwezi kama ruzuku,unataka nikuambie jinsi m/ kiti wako wa ccm wilaya moja hapa alivyoshindwa hata kununua makuti tu ya laki moja kuezeka ofisi ya ccm kata,ambayo mzee alijitolea kuwajengea?. Ccm ya 1977 si ya 2014 ,hii ni wezi wakubwa hawana uchungu na chama.Tujadili hoja za elimu,kilimo,afya, nishati na madini,na maji yaliyowashindeni kutupatia pamoja na tabia yenu ya kutufanya tuendelee kuwa tegemezi si mambo ya kushindwa kulipia pango si uwapige tafu!!
 
Back
Top Bottom