Saccos ua Ufipa ipo kwa ajili ya kununuwa Mafuso chakavu kwa millioni mia sita na kujengea majumba ya kifahari mahawara, Slaa kamjengea Josefina jumba la kifahari huko Mabwepande kwa fedha za chama aka za walipa kodi.
Lakini kodi ya pango la ofisi ambayo haifiki hata millioni kwa mwaka, inawashinda. Huo si ufisadi huo ndio uongozi bora.
Halafu mpewe nchi? Duh!
Acha upashikuna lete ushahidi hapa ni lini,wapi kiongozi huyo alinunua kiwanja cha hawala na kumjengea nyumba,unao ushahidi au ndoo tabia yenu ya kuropoka Kama Nape kuwa chadema imeingiza fedha chafu na mungiki huky kwa maneno yake akiidhalilisha taaluma ya Rashid Othman ya usalama wa taifa!