Wapi Nape atoe kauli kuwa ni OIL CHAFU hao. Dah raha sana, yaani mtu unafungwa magoli wewe unaendelea kucheka tuu kuwa ni oil chafu, haya Nape endelea kutukana wapiga kura.
Upande wa pili wa shilingi mimi nadhani Nape anafanya makusudi kabisa kuua ccm na inawezekana ni shushushu wa CDM
Upande wa pili wa shilingi mimi nadhani Nape anafanya makusudi kabisa kuua ccm na inawezekana ni shushushu wa CDM