Chadema yashinda 7 kwa 4, Shinyanga

Chadema yashinda 7 kwa 4, Shinyanga

Niagieni....niagieni ninakwenda kwa babayangu....sitarudi eeeee
 
saaaafi sana..njia yao inazidi kuwa nyembamba mwisho itafifia..na itakuwa ndio mwisho wao
 
Asante kwa taarifa yenye matumaini juu ya ukombozi wa taifa hili,ila tunaomba taarifa hizi ziwe za kweli!haipendezi kama taarifa hizi zitakuwa sio sahihi,hapa JF sio mahali pa kuleta mzaha,na ili kuhakiki,itanibidi nimpigie simu katibu wa mkoa wa CDM-Shilungu shela Nyangaki kupata ukweli wa jambo hili
 
Kidum cha chama cha mapinduzi hakijai mwisho kitatoboka.kidum chama cha mapnduzi mwisho pwaaaaaaaaaaa!!!
 
operation ya fukuza ccm manispaa ya shinyanga imeleta mafanikio makubwa sana baada ya ccm kupigwa kama mbwa mwizi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika juzi mjini shinyanga.

miongoni mwa kata ambazo ccm imeshuhudia zikidakwa na cdm ni pamoja na
1. Magadula.
2. Ndembezi.
3. Bugweto.
4. Lubaga
5. Kitangili.
6. Luhende.
7. Mwamala.
8. Bugimbagu


kwa habari za juu juu (ambazo bado hazijathibitishwa) ccm inaelekea imekosa hata kata moja
kwa ujumla hali ni mbaya sana kwa magamba ndani ya manispaa hii hali inayopelekea masele kutokua na chake 2015
my take
ccm itegemee kuzikwa totally 2014 maeneo mengine

hizo ni salamu tosha kwa mjomba shibuda gamba sugu ambalo cdm wanalitafutia dawa!
 
Operation ya fukuza ccm manispaa ya shinyanga imeleta mafanikio makubwa sana baada ya ccm kupigwa kama mbwa mwizi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika juzi mjini shinyanga.

Miongoni mwa kata ambazo ccm imeshuhudia zikidakwa na CDM ni pamoja na
1. Magadula.
2. Ndembezi.
3. Bugweto.
4. Lubaga
5. Kitangili.
6. Luhende.
7. Mwamala.
8. Bugimbagu


Kwa habari za juu juu (ambazo bado hazijathibitishwa) ccm inaelekea imekosa hata kata moja
Kwa ujumla hali ni mbaya sana kwa magamba ndani ya manispaa hii hali inayopelekea MASELE kutokua na chake 2015
my take
CCM itegemee kuzikwa totally 2014 maeneo mengine

Kwa sisi wanachama wafu wa CCM hii ni dalili nzuri kwani muda wa wale mafisadi na wafanyabiashara uchwara, walioingia kwenye chama kutafuta madaraka ili wachume, kuondoka sasa umewadia. Wakitoka tu tunafufua kadi zetu na kutangaza siasa za UJAMAA na KUJITEGEMEA na kurudisha misingi ya AZIMIO LA ARUSHA kwa nguvu zaidi, ari zaidi na kasi zaidi.

Hakuna chama kitakachopambana na CCM itakayoundwa upya kwa misingi hii kwani vyama vyote kwa sasa ni makuwadi wa soko huria kwa sera na vitendo vyao.
 
Asante kwa taarifa yenye matumaini juu ya ukombozi wa taifa hili,ila tunaomba taarifa hizi ziwe za kweli!haipendezi kama taarifa hizi zitakuwa sio sahihi,hapa JF sio mahali pa kuleta mzaha,na ili kuhakiki,itanibidi nimpigie simu katibu wa mkoa wa CDM-Shilungu shela Nyangaki kupata ukweli wa jambo hili
mkuu ungepiga sm kwanza na wewe ndo upost duh kweli JF inakaribia FB
 
Kwa sisi wanachama wafu wa CCM hii ni dalili nzuri kwani muda wa wale mafisadi na wafanyabiashara uchwara, walioingia kwenye chama kutafuta madaraka ili wachume, kuondoka sasa umewadia. Wakitoka tu tunafufua kadi zetu na kutangaza siasa za UJAMAA na KUJITEGEMEA na kurudisha misingi ya AZIMIO LA ARUSHA kwa nguvu zaidi, ari zaidi na kasi zaidi.

Hakuna chama kitakachopambana na CCM itakayoundwa upya kwa misingi hii kwani vyama vyote kwa sasa ni makuwadi wa soko huria kwa sera na vitendo vyao.

Mkulu

Umeandika vitu vya kufikirisha sana...

Asante
 
salam tosha kwa mzee wa gombe aka wassira, Lukuvi na wengineo M4C is real! 2015 lazima tuwazike Ccm wezi wa mali ya umma
 
Mkuu mimi sijakuelewa vizuri. hiyo miji uliyo taja ni mitaa iliyopo huko. au ni kata ambazo chadema imepata nafasi kwenye uongozi wa serikali za mitaa. fafanua vizuri coz kata huongozwa na diwani. imekaaje mkuu?. pipoz power. Mia
 
ashibuda anategemea kuwania Urais 2015 Je wasukuma wenzake hao ameagana nao?????? kwa maana anatukana mamba kabla hajavuka mto siku hizi hata kuchangia Bungeni hataki laana invyomnyemeleaaaaaaaaaaaaaaa shibuda, chadema imekushika mkono wakati magamba walishakutosa kwa huruma ya chama makini anaanza kuleta Umagamba wake ona Salaamu za wana shinyanga ndio hizooooooooo Peoples power..................kaza Buti. Mujwahuzia
 
Back
Top Bottom