Vipofu wameanza kuona
Roho imeniuma yamepataje ivo vijiji vi4 tukaze butu mapambano yanaendelea ilitakiwa matokeo yawe 11CDM-MAGAMBA 0 inawezekana yani wasipumue.
mkuu kuwaita vipofu watu washinyanga ni kuwakosea adabu mwamko uliko pale shinyanga ni wajuu mno..yaani hawa takikusikia kitu kinaitwa ccm na mdudu dhaifu..
ngoja kwanza nitoroke ofisini, nikajipongeze walau kwa kiroba cha konyagi! People Power bwana!!
Habari kama hizi zinafanya moyo wangu utabasamu. hakika nguvu ya m4c inaonekana. Safi sana chadema. Mia
Vipofu wameanza kuona
Nyahende upo humu tata,mbona nshomile wanatajana humu harafu mula wewe kimya.
ngoja kwanza nitoroke ofisini, nikajipongeze walau kwa kiroba cha konyagi! People Power bwana!!
Mkuu Omutwale, hiyo kwa kanuni zetu za JF ni name callling.Wa Kagera wenzangu nilio wa-tag: (bakuza, Bigaraone, Chaimaharage, English Learner, evoddy, Gagnija, Hagga, Jaji, james chapacha, Kagalala, Kaitampunu, kanyagio, Kibera, Lonestriker, Mkomamanga, MPIGA ZEZE, MUGUNDA, naivasha, Ngeleshi, PrN-kazi, Qixima mQiqa, RUBERTS, Rwamarungu, Rweza, sangija, Seneta,mukama talemwa,
Speedy, timbilimu, Tukundane, Yakuza, Tata)
Mnapata picha na somo gani kutoka hapa?
Wa Kagera wenzangu nilio wa-tag: (bakuza, Bigaraone, Chaimaharage, English Learner, evoddy, Gagnija, Hagga, Jaji, james chapacha, Kagalala, Kaitampunu, kanyagio, Kibera, Lonestriker, Mkomamanga, MPIGA ZEZE, MUGUNDA, naivasha, Ngeleshi, PrN-kazi, Qixima mQiqa, RUBERTS, Rwamarungu, Rweza, sangija, Seneta,mukama talemwa,
Speedy, timbilimu, Tukundane, Yakuza, Tata)
Mnapata picha na somo gani kutoka hapa?