JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,309
- 5,464
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hawatashiriki kwenye Chaguzi Ndogo za Madiwani katika kata 14 zilizotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzii hii leo Jumatano Juni 14, 2023.
Inaweza ikatokea hivyo,na wakahudumu hadi 2025.Sitashangaa kusikia kuwa kuna "wanachama" wa Chadema wamepitishwa kugombea na mamlaka husika.
Amandla...
Mbowe na Lisu wamelamba billion 2.9 za ruzuku kimyakimya alafu wanawazuia wenzao fursa ya kugombea?
Ni nyumbu tu atakayekubali huu ubinafsi.
Mungu ibariki ChademaChama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema, hawatashiriki kwenye chaguzi ndogo za madiwani katika kata 14 zilizotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzii hii leo Jumatano Juni 14, 2023.
View attachment 2657416
View attachment 2657418
Mkuu,kitendo cha serikali kuitisha uchaguzi ambao utasimamiwa na kuamuliwa na watu ambao mahakama mbili tayari zimewataja kuwa batili ni kigezo tosha cha kuufanya uchaguzi wenyewe kuwa batili, na kushiriki uchaguzi huo ni kitendo cha kuunga mkono ubatili,mbona rahisi tu?Hakuna chama cha upizani Tanzania..kuna makampuni..Lema katulia kwenye hili swala la bandari ni ishara ya kulamba asali...wapo kimaslahi manyanga'u hawa.
.
Mbowe kaenda kutoa mlio mbali..mnafiki tu..njooni uwanjani musimame jukwaani mpinge swala la bandari
Maridhiano yamefeli?Mungu ibariki Chadema
Wanakwepa aibu ya kugaragazwaaaaChama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema, hawatashiriki kwenye chaguzi ndogo za madiwani katika kata 14 zilizotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzii hii leo Jumatano Juni 14, 2023.
View attachment 2657416
View attachment 2657418
Hawa jamaa wana msimamo aiseeChama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema, hawatashiriki kwenye chaguzi ndogo za madiwani katika kata 14 zilizotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzii hii leo Jumatano Juni 14, 2023.
View attachment 2657416
View attachment 2657418
Haki kwa haki uwezi kumgalagazaWanakwepa aibu ya kugaragazwaaaa
Vimitego vidogo hivi hatuwezi kunasa. Tumeshavuka hiyo levelChama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema, hawatashiriki kwenye chaguzi ndogo za madiwani katika kata 14 zilizotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzii hii leo Jumatano Juni 14, 2023.
View attachment 2657416
View attachment 2657418
Hata kama ni kuuza Ziwa mojaHawa jamaa wana msimamo aisee
Hii inaonesha kuwa lengo lao ni Tanzania iliyo maridhawa kwa watu wote.
Sisi huku CCM tunachoangalia ni KUSHIKA DOLA kwa mbinu yeyote hata kama ya kuchomoa roho chache
Kale asali na wewe kama unadhani rahisiHakuna chama cha upizani Tanzania..kuna makampuni..Lema katulia kwenye hili swala la bandari ni ishara ya kulamba asali...wapo kimaslahi manyanga'u hawa.
.
Mbowe kaenda kutoa mlio mbali..mnafiki tu..njooni uwanjani musimame jukwaani mpinge swala la bandari
magufuli lilikuwa jambaz la kura na pesa za umma saiv mamayenu amepokea share kwenye uuzwaji wa milele wa bandari huku chongolo akizuga kwa ziara fake ili kula mabillion ya ruzuku ila mazumbukuku ya sukuma gang yanaamini mbowe amelamba billion 2.9.Mbowe na Lisu wamelamba billion 2.9 za ruzuku kimyakimya alafu wanawazuia wenzao fursa ya kugombea?
Ni nyumbu tu atakayekubali huu ubinafsi.
mbowe akitoka tunaweka chuma lissu ili kuwanyoosha nguruwe wa ccm.Chadema inaitaji mwenyekiti mwingine mbowe anazingua xnaa ila watu hawaon ilo
Serikali yapewa agizo na Mahakama ya Afrika kuitundika hukumu hii ya kihistoria katika tovuti, mitandao, ofisi za umma za sheria kote Tanzania ili raia waisome hukumu hii