CHADEMA yasambaratika mkoani Kigoma

uchaga na ukaskazini ndio muhimili mkuu wa siasa za chadema

tusipende kuwabeza sana wachagga.kama watanzania walikuwa na utamaduni wa kuiga mazuri ya wachagga nchi hii ingekuwa iko mbali sana.hawa watu wana vipaji vingi sana.kwanza wana uzalendo sana na """inji""" yao.hata watusi waliojipenyeza kwenye sehemu nyeti za maamuzi za 'inji' yetu wanaangalia mchagga yuko wapi na kumsambaratisha.wanajua mchagga atawafumania katika agenda zao za siri.
 
February 2-6 2013, Zitto akiwa Kigoma

Zitto Kabwe Ang'uruma Ujiji, Bitale, Mahembe, Mwandiga na Kasulu Kigoma Maelfu Wajitokeza






61694_536432743044094_1139246990_n.jpg

542599_536431943044174_41777157_n.jpg

529069_536432556377446_1006896199_n.jpg

Picha Juu ni Sehemu ya Umati Mkubwa wa Wana Kasulu Wakimsikiliza kwa Makini Mbunge wa Kigoma kaskazini na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zitto Kabwe
481565_536432176377484_107761772_n.jpg

Mbunge wa Kigoma Kaskazini na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zitto Kabwe akihutubiaa Maelfu ya Wanachama wa Chadema
150950_536432399710795_13706423_n.jpg

BCO37bMCMAAYIPc.jpg+large.jpg

Sehemu ya umati wa wananchi Kasulu Jana kwenye mkutano wetu wa hadhara baada ya kikao Cha Kamati ya mashauriano mkoa
69639_532877213399647_783703335_n.jpg

71876_532877996732902_2117724461_n.jpg

Mbunge wa Kigoma Kaskazini na Naibu Katibu Mkuu Chadema Zitto Kabwe Akiunguruma Mbele ya Maelfu ya Wanachama wa Chadema Kasulu.Picha Zote na Kabwe Zitto(MB)


---
Nimehitimisha ziara yangu mkoani Kigoma kwa kufanya kikao cha Kamati ya Mashauriano ya Mkoa wa Kigoma cha CHADEMA na baadaye mkutano wa hadhara Kasulu mjini. Tumekubaliana na wananchi umuhimu wa kuendelea kuifanya Kigoma ngome ya siasa za mageuzi nchini kupitia CHADEMA.

Nimewakumbusha wana Kigoma kwamba wao ndio mkoa wa Kwanza kukubali mageuzi nchini tangu vyama vingi.

Zitto Kabwe(MB)


 
Shelui we ni ----- kati ya mabwege....huna maana yeyote kwenye hii dunia

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Propro zisizo na kichwa wala miguu zitashindwa!!! Hebu kuweni wazalendo pambana na wezi wa rasilimali zetu CCM na mafisadi wao!!!
 
Kigoma ndo ngome kuu ya CHADEMA KAMA HAUJUI

Kigoma imekuwa na mbunge wa kwanza kupitia CHADEMA mwaka 1995 DR. Amani Kaburu ambaye sasa ni mwenyekiti wa CCM mkoa Kigoma....
Hata hvyo CHADEMA haiwezi kusambaratika kwa sababu ya kiongozzi yeyote yule!
Kitakachoifanya CHADEMA izidi kupeta na ukanjanja wa CCM...
 
Kigoma ninayoijua mimi, ni Kigoma ambayo CCM ndicho chama kisichopendwa.

Sababu za Kutopendwa CCM Kigoma

Kuthamini Wenye fedha.

Hili lilijitokeza tangu mwanzo kabisa wa siasa za vyama vingi. Wakati huo Kigoma kulikuwa na watu wanaopendwa, waungwana na walio na karama za uongozi. Mfano ni Amaan Walid Kabourou na Rajab Kakolwa Mbano, ambaye kaka yake Marehemu Rajab Omar Mbano aliwahi kuwa mbunge kabla ya vyama vingi. CCM kwa kuthamini wenye fedha iliwaweka kando hawa na kumteua Azim Suleiman Premji kuwa mgombea wa CCM Kigoma mjini. Huyu hakuwa na mvuto kwa watu zaidi ya kuwa alikuwa tajiri. Alikuwa anamiliki Gereji ya Magari (Kigoma Auto Garage) na alikuwa anaendesha kwa kukodi Hotel ya kitalii iliyokuwa inamilikiwa na Railways (Kigoma Railways Hotel - Kwa sasa Lake Tanganyika Beach Hotel). Yaani alikuwa na uwezo wa kununua maamuzi ya vigogo wa CCM. Matokeo yake ni kuwa watu wa Kigoma wakasema EKAYEEE! (=NO). Wakamwambia Kabourou ajiunge na CHADEMA na wakamchagua Kabourou miongoni mbunge wa kwanza wa CHADEMA, na kati ya wabunge wachache sana wa upinzani 1995. Premji baadaye alikuwa Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Kigoma.

Kama hiyo haitoshi akajitokeza tajiri mwingine Kigoma. Huyu ni mmiliki wa Kigoma Hilltop Hotel, na Sheni's Commercial Ltd inayojishugulisha na uwindaji wa kitalii (tembo wetu). Huyu habari zake zimeandikwa sana mitandaoni na kwinginepo.
Muhsin Abdullah (Shen) Ameinunua This Country?


MOHSIN “SHENI” ABDALLAH AT IT AGAIN ; Where Have All the Elephants Gone?


Huyu Kada anaitwa Mohsin Abdallah, kuna yeyote mwana JF atupe Background yake ?


Mjue Kada wa CCM Mohsin Abdallah

Tanzania/Kenya - Where Have All the Elephants Gone? - Foreign Correspondent - ABC

Huyu pia alitaka kuingia kwenye siasa. Japo alikuwa hakubaliki kwa wanachama alikingiwa kifua na makao makuu, na kuwa mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa. Huyu Kada yumo katika list ya matajiri wahusika wa madawa ya kulevya. Kwa sasa amemaliza muda wake wa ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa. Analalamika kuwa yeye na Premji wamebaguliwa kwa rangi yao.

Kuna kada mwingine wa CCM wilayani kibondo kwa jina la Jamal Tamim. Huyu anatoka kijiji cha Mabamba wilayani Kibondo katika jimbo la uchaguzi la Muhambwe. Pale Mabamba shughuli anazofanya Jamal hazijulikani, lakini Jamal ni tajiri kupindukia. Mwaka 2007 walipafanya kura za maoni za kufichua wanaofanya biashara za viungo vya albino, Jamal aliongoza kwa kutajwa na wengi wilaya ya Kibondo. Licha ya hayo, Jamal anatuhumiwa kuwa na kikundi cha ujambazi ambacho pamoja na mambo mengine, huteka mabasi, na kufanya matukio mengine ya wizi wa kutumia nguvu. Pamoja na shutuma zote hizi kuwa wazi, CCM ilimpitisha Jamal kuwa mgombea ubunge kiti cha Muhambwe. Pingamizi la kwanza lilitoka mkoani Kigoma kwenye kamati ya Maadili ya CCM. Simbakalia na Kastico walionyesha wazi kuwa huyu Jamal hauziki, lakini kwa influence ya Rostam Aziz na JK, alipitishwa. Kastico (Katibu wa CCM Mkoa wakati huo) aliondolewa Kigoma Oktoba 2010 wakati wa kampeni kwa sababu aliweka pingamizi, na aliondolewa na JK mwenyewe alipofanya ziara ya dharura Kigoma Oktoba 2010.

Matokeo yake wana CCM wengi Kigoma walivunjika nguvu hata kupiga debe kwa wagombea wao. Uchaguzi uliopita, CCM ilishinda kiti cha Kigoma Mjini (kwa kuchakachua), Manyovu na Buyungu. Kati ya viti hivyo vyote Buyungu tu ndio wanaweza kusema kuwa waliwekewa mgombea wanayemtaka (Waziri Christopher Chiza) - ambaye hata mimi namkubali. Ni viti vitatu kati ya vinane. Ni mkoa wa bara ambao asilimia ya wawakilishi (wabunge) wa CCM ni ndogo kuliko popote Tanzania.

mkigoma, Shelui, Simiyu yetu, CHAMVIGA, utaifakwanza, Lizaboni, SONGEA ONE, njoni na hoja zinazoonesha mnaijua vizuri Kigoma na siasa zake.

Sisi watu wa Kigoma tuna mpango wa kuendelea kuikataa CCM na hatujali anayeingiea ni CHADEMA, CUF au NCCR, sisi hatuitaki CCM.

Muha akishasema NTIBHISHOBHOKA, harudi nyuma. Nyie endeleeni kupiga propaganda.
Wakuu mkigoma, Shelui, Simiyu yetu, CHAMVIGA, utaifakwanza, Lizaboni, SONGEA ONE, mbona hii post mnairuka bila kuisoma?
 
kuna wabunge wangapi wa cdm kigoma? Hebu kuwa reasonable iwe ngome kuu? Na arusha, shinyanga ziweje?

Idadi ya wabunge si kigezo pekee cha kuwa ngome hasa hapa Tanzania!
Hebu angalia matokeo ya kura za Urais 2010 mkoani Kigoma na utwambie kwa nini mgombea wa NCCR-Mageuzi alizidiwa na J.M.Kikwete wakati wabunge walioshainda ni wa NCCR-Mageuzi?!
Unaweza kutuambia kwa nini CHADEMA ilipata kura nyingi za urais katika majimbo ambayo haikupata mbunge hata mmoja na kura chache za Urais katika jimbo ilikopata mbunge(ZITTO KABWE)?
Politics is the matter of dynamics ndugu yangu!
NB: Matokeo ya wagombea wengine nimeyaondoa kwa sababu ya nafasi kubana....

Constituency
KUGA PETER MZIRAY (APPT - MAENDELEO)
KIKWETE JAKAYA MRISHO (CCM)
SLAA WILLIBROD PETER (CHADEMA)
LIPUMBA IBRAHIM HARUNA (CUF)
RUNGWE HASHIM SPUNDA (NCCR-MAGEUZI)
MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT (TLP)
Rejected Votes
Total Votes
KIGOMA MJINI
116
0.27%
30,402​
70.44%​
10,891
25.23%
827
1.92%
123​
0.28%
11
0.03%
782
1.81%
43,161
District Totals
116
0.27%
30,402​
70.44%​
10,891
25.23%
827
1.92%
123​
0.28%
11
0.03%
782
1.81%
43,161
KASULU MJINI
343
1.00%
13,480
39.47%
18,336
53.69%
457
1.34%
538
1.58%
66
0.19%
882
2.58%
34,152
KASULU VIJIJINI
583
1.19%
22,219
45.46%
22,698
46.44%
702
1.44%
1,132
2.32%
136
0.28%
1,315
2.69%
48,877
MANYOVU
603
1.27%
17,506​
36.93%​
27,224
57.43%
431
0.91%
368​
0.78%
75
0.16%
1,106
2.33%
47,402
District Totals
1,529
1.17%
53,205
40.79%
68,258
52.33%
1,590
1.22%
2,038
1.56%
277
0.21%
3,303
2.53%
130,431
BUYUNGU
512
1.52%
15,609​
46.27%​
15,521
46.01%
300
0.89%
319​
0.95%
58
0.17%
1,320
3.91%
33,734
MUHAMBWE
685
1.51%
20,394
45.08%
20,981
46.38%
621
1.37%
708
1.56%
101
0.22%
1,650
3.65%
45,242
District Totals
1,197
1.52%
36,003
45.59%
36,502
46.22%
921
1.17%
1,027
1.30%
159
0.20%
2,970
3.76%
78,976
KIGOMA KASKAZINI
244
0.51%
30,370​
62.98%​
14,783
30.66%
1,694
3.51%
86​
0.18%
26
0.05%
996
2.07%
48,220
KIGOMA KUSINI
562
0.98%
33,872
58.87%
18,458
32.08%
2,093
3.64%
1,086
1.89%
83
0.14%
1,272
2.21%
57,541
District Totals
806
0.76%
64,242​
60.74%​
33,241
31.43%
3,787
3.58%
1,172​
1.11%
109
0.10%
2,268
2.14%
105,761
3,648
1.02%
183,852​
51.31%​
148,892
41.55%
7,125
1.99%
4,360​
1.22%
556
0.16%
9,323
2.60%
358,329
 
Hilo hasa ndilo linawasumbua ninyi mpaka mnaleta nyuzi kama hizi. Mara nyingi mnajaribu kufanya kwa mafumbo, lakini hapa umetokeza wazi bila aibu.

Ajenda zenu ni kuwagawa watu kwa DINI zao.

Wewe mpiga debe wa CCM hapa unatanguliza dini kwanza. Waislamu waliomo ndani ya CHADEMA hawajalalamika. Wewe unapolalamika kwa niaba yao wamekutuma?

Wewe na wenzako ndio mnaotazama mambo kwa miwani ya dini. Zitto mnampenda kwa sababu ya dini yake na Slaa mnamchukia kwa sababu ya dini yake.

UBAGUZI HUU NA KUWAGAWA HUKU WATANZANIA kutalimaliza taifa letu. Ninyi si wazalendo.

Ili uwe mdini lazima uwaze kidini kwahiyo nachelea kusema na wewe ni huyohuyo. Hapo juu umejaribu kusafisha chama ila umeruka mkojo ukakanyaga mavi. Nani asiejua zito anakitetea chama chake dhidi ya ubaguzi uliopo ndani ya chama kutokana na mapenzi yake kwa chama na taifa? Huyu ndio mzalendo mwenyewe. Wengine ni waaigizaji tu.
 
Ili uwe mdini lazima uwaze kidini kwahiyo nachelea kusema na wewe ni huyohuyo. Hapo juu umejaribu kusafisha chama ila umeruka mkojo ukakanyaga mavi. Nani asiejua zito anakitetea chama chake dhidi ya ubaguzi uliopo ndani ya chama kutokana na mapenzi yake kwa chama na taifa? Huyu ndio mzalendo mwenyewe. Wengine ni waaigizaji tu.
Hakuna chochote kwenye post yangu kinachoonesha mimi mdini bali nafichua udini wako na wenzako walioanzisha uzi huu.

Ungekuwa kweli unapinga udini kwa dhati na unasimamia maslahi ya Taifa ungemkemea huyu hapa kwanza

Kanisa lamuandalia tuzo Lowassa

Filikunjombe, Ligola wajitosa kambi ya Lowassa, wamnadi kanisani Iringa. | Dullonet Tanzania

Mzee wa Mshitu: Lowassa ashiriki harambee ya kanisa Akyeri Meru

Mbeya Yetu: LOWASSA ACHANGIA MILIONI 10 KANISA LA EAGT TUNDUMA MBEYA

Lowassa ajiweka mbali na kampeni Arumeru,ajikita kanisani..


Msamaa.

LOWASSA AMWAGIA FEDHA KANISANI ~ Mwanafasihi Mahiri

Lowassa kuongoza Harambee ya Kanisa Nyakato Mwanza | Fikra Pevu | Kisima cha busara!

MH. LOWASSA AONGOZA HARAMBEE YA KUNUNUA BASI LA KWAYA LA KANISA LA KKKT,MSASANI JIJINI DAR ~ Father Kidevu

WAZIRI MKUU AWAMU YA NNE ACHANGISHA SH100 KANISANI DAR ES SALAAM. ~ JUMA MTANDA

habarimpya.com - Kanisa lazidi kumtumia Lowassa katika harambee

Lowassa aendesha harambee Kanisa la Moravian Mbezi Beach Dar | Blog ya habari Tanzania | Online Newspaper | Thehabari.com

Lakini hauko kwa maslahi ya Taifa uko kimaslahi ya chama. Na kwenye vyama vingine unaviangalia ukiwa umevaa miwani ya Dini.

Zitto mwenyewe hajalalamika, je amekutuma umsemee?
 
Kuna kipindi niliwahi kutabiri yafuatayo
1. Si muda mrefu Zk ataachana na CDM
2. Na akiachana na chadema yafuatayo yanaweza kujitokeza ama kusemwa naye au na watu wengine wa karibu;
(a) kuna ubaguzi sana CDM
(b) CDM ni chama cha wachaga
(c) CDM ni chama cha kidini
(d) CDM cha kaskazini
(e) Wamemtenga kwa sababu ya DINI yake!
(f) Kuna watu wachache wamefanya CDM kama NGO yao
(G) CDM ni chama cha fujo( h) CDM haifai kabisa katika nchi
(I) BORA TAWALA kuliko CDM

3. Kakika nasema ipo siku anaweza kurudi TAWALA!
4. Na Akirudi TAWALA wanampa cheo!
5. Kuna ushawishi utafanyika kuwaondoa wananchama wengi wa CDM ama warudi TAWALA au waende hata SISIR mageuzia.

HAYA yatatokea natabiri tena
 
Ila unatoka mbulu ndo wale wale chai ya rangi sles kavu!

Ni UPUMBAVU kwa zama hizi kuongelea ubaguzi kwa muktadha finyu kiasi hiki....
UBAGUZI kama huu hapa chini uliiupigia na ukashinda haki kwa kura ngapi?!
1. Wahamiaji haramu kuwa watu weusi peke yao...Je, wahindi wote wana vibali halali vya kuishi nchini?
2. Wakuu wa mikoa na wilaya wote kuwa CCM....Inamaana wao ndiwo wenye akili kuliko watanzania wengineo?
3. Miundombinu kadhaa kuelekezwa mijini....Inamaana watanzania wa vijijini wana nusu ya uraia?
4. Mitaa ya MASAKI, OYSTERBAY, MBEZI BEACH kutokatiwa umeme na maji kama ilivyo Manzese, Tabata, Makuburi....inamaana hawa hawaoni kiu?
5. Watu wenye viwango sawa vya elimu hulipwa mishahara na posho tofauti....inamaana wanaolipwa kidogo wanaishije?
6. Watuhumiwa wa dawa za kulevya wanaokamatwa ni wale wasambazaji....Inamaana wao ndiyo watengenezaji?
Ni kwa nini tunakuwa wajinga hadi kushindwa kujua kwamba adui yetu ni serikali iliyoishiwa maono?
Mlaaniwe wote mnaotetea uovu wa watawala kwa propaganda za udini, ukabila na ukanda....
Wewe ni mmojawao.
 
5. Kuna ushawishi utafanyika kuwaondoa wananchama wengi wa CDM ama warudi TAWALA au waende hata SISIR mageuzia.

HAYA yatatokea natabiri tena

Mimi si kati ya wajinga wanaoweza kupanda gari la shetani.....
Siwezi kuwa mwana CCM!
 
Wakuu mkigoma, Shelui, Simiyu yetu, CHAMVIGA, utaifakwanza, Lizaboni, SONGEA ONE, mbona hii post mnairuka bila kuisoma?

Akili ya kusoma hawana hao!
Wana-post walichoandikiwa kwenye memo....
Akili ya kuambiwa huwa haina nyongeza....
Waache wafe kwa kujifariji...!
Zitto ni mtu mkubwa ndani ya CHADEMA sawa LAKINI mimi namini CHADEMA ni kubwa kuliko Zitto...
Kwa wale waliofuatilia makala zake ndani ya Tanzania Daima(Tujenge misingi siyo watu) watakubaliana nami kwamba Zitto alikuwa akijua kwamba CHADEMA ipo na itaendelea kuwepo...
Na kwa wale wenye kuchungulia matumaini ya kusambaratika kwa CHADEMA niwape pole...
Nawapa pole kwa sababu CHADEMA ilikuwepo kabla ya Zitto na itaendelea kuwepo baada ya Zitto..
 
Sasa kama mpendwa wako ZITTO ameshindwa kuijenga CHADEMA mkoani kwake tu vipi angekabidhiwa CHADEMA TAIFA? Alipotaka kugombea uenyekiti taifa ilikuwa ni mpango wa kuisambaratisha CHADEMA bahati mbaya kwake na wapambe wake wakashitukiwa mapema!! CHADEMA mkoani Kigoma inasambaratishwa na ZITTO mwenyewe kwa sababu ya UJUAJI NA TAMAA ZAKE!! The guy has got self interests na hakuna aliyemtenga bali amejitenga yeye mwenyewe!! Pamoja na elimu yake lakini anasumbuliwa na USWAHILI!!!

Ni kipi alichofanya kuindeleza CHADEMA mkoani Kigoma na mikoa jirani? Tueleze mafanikio yake kisiasa mkoani humo: Je tangu awe mbunge na hizo sifa mnazompa amefanikiwa kuongeza madiwani na wabunge wangapi? Kama wewe siyo MGANGA NJAA natumaini utakuja na majibu ya maswali yangu!!

Kuna kipindi nilitoa observation yangu ya uwepo wa bendera nyingi za ADC jimboni kwake; akanijibu kuwa hata yeye hajui kwanini, anachojua mwandiga ni jimbo la mageuzi/mabadiliko.
 
Back
Top Bottom