CHADEMA yasambaratika mkoani Kigoma

CHADEMA yasambaratika mkoani Kigoma

wewe kwa sasa uko wapi,chadema ndiyo wako mstari wa mbele kutangaza vita na vurugu katika jamii inataka watu wapigane na watengane kwa misingi ya ukanda kwa hiyo inabidi ikemewe sana mithiri ya shetani.
Naona Mwigulu ndio anafanya hivyo. Sijaona Chadema wakifanya kitu kama hicho zaidi ya propaganda zenu.
 
quote_icon.png
By Lizaboni

zitto zubeir kabwe kutogombea 2015
kwenye red ndio kilichomponza kwenye chama chake, hayo majina hayatakiwi huko
Wenzako wanafanya UDINI kwa kujificha, wewe utaifakwanza umeshindwa kujificha na umejitokeza wazi. Propaganda yenu ni kutaka waislamu waliomo chadema wajione wanatengwa.

Ni propaganda ya UDINI ambayo ni mtaji wa kisiasa wa CCM.
 
Last edited by a moderator:
Wewe sema unachuki na zitto na wivu wa kijinga ndio uliokujaa. Najiuliza kama zitto ndie ambae amejimilikisha pesa ya ruzuku ml 140 za chadema, kama ndie angeomba kulipwa milioni 11 kwa mwezi kama katibu mkuu wa chadema, kama yeye angekutwa na anamiliki kadi ya ccm huku ni kiongozi wa chadema, angetoa vyeo vya viti maalumu kwaupendeleo tena kindugu na kirafiki, angetoa siri za ofisi mtandaoni kama alivyofanya Dr.W.Slaa et al ambayo yote ni maovu confimed sijui angekuwa bado nwanachama wa cdm? Ni kwanini watu mnahoji ukaribu wake na watu wa ccm wakati Slaa anaukaribu mpaka na usalama wataifa na hili hamlihoji? Ni kwanini mnamshambulia mtuhumiwa zitto na mnamuacha mhalifu dr Slaa? Yote haya na mengine yanatupa ujasiri wa kuwa nyinyi mnalakwenu na si vingine. Zitto fate yake Mungu ndie aliyempangia na kuhangaika kwenu kwote kutaishia katika aibu kubwa. Oneday he will a big hero you are going to be a big looser! Pathetic looser.

mrs.zitto umelia kwa uchungu sana,chukua tishu.Mwenye ukaribu na mkuu wa usalama wa taifa/ccm ni zitto na ushahidi ulishawekwa hadharani,zitto alishakufa kisiasa siku nyingi na aliyemuua ni jk alipomteua kwenye kamati ya madini,nani anamhitaji zitto akiwa na mtu kama mnyika???kasoma alama kaona umaarufu wa mnyika unaongezeka na yeye kadharauliwa sababu ya usaliti wake.Kamwambie zitto wako atuwekee majina ya walioficha hela uswiss!!!!hawezi sababu kashanunuliwa.
 
Wenzako wanafanya UDINI kwa kujificha, wewe utaifakwanza umeshindwa kujificha na umejitokeza wazi. Propaganda yenu ni kutaka waislamu waliomo chadema wajione wanatengwa.

Ni propaganda ya UDINI ambayo ni mtaji wa kisiasa wa CCM.

kwa sababu nyie mmemtenga waziwazi kwa sababu hiyo ndio mana nami naweka wazi mjue kwamba tunajua mnayopanga huko kwenye siri. uzuri ni kwamba sio wote hawampendi ndio mana wanaamua kuumbua. jiulize kwann alipotangaza kugombea urais mlitokwa povu?? kwann alipoamua kuacha siasa mmefurahi??
 
This is simply, a foolish wishful thinking and extremely self deception.
 
kwa sababu nyie mmemtenga waziwazi kwa sababu hiyo ndio mana nami naweka wazi mjue kwamba tunajua mnayopanga huko kwenye siri. uzuri ni kwamba sio wote hawampendi ndio mana wanaamua kuumbua. jiulize kwann alipotangaza kugombea urais mlitokwa povu?? kwann alipoamua kuacha siasa mmefurahi??
Nani alitokwa na povu? lete ushahidi. Umbea mbaya sana.
 
kifo kingine cha chadema kinakuja maswa kwa mzee shibuda na hili lipo wazi.
shibuda naye kabaguliwa sana kutokana na usukuma wake.
 
juzi tu wamekamatwa na polisi kwa kuandaa vurugu kule iringa.
Polisi ni kama taasisi ya CCM, inaacha wauza unga na kila kukicha iko na CHADEMA. Eti wamezidisha muda. CCM wanazidisha muda mara nyingi tu kwenye mikutano yao lakini hakuna kukamatwa mwana CCM. Hata wakiwa na bastola wazi kwenye mikutano ya siasa hamna shida.

Kuzidisha muda dakika 5 ndio kuandaa vurugu? Halafu niambia hapo nani mwenye siasa za chuki?

Kama una akili ungeshtuka, kwa kuwa wananchi wamezidi kuichukia CCM kwa kubebwa na polisi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom