Kuchasoni Kuchawangu
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 623
- 378
Source ni Vijiweni: Vijiwe vipo vingi, vya kahawa, vya bangi, vya udaku n.k
ccm na cuf wanampenda sababu wanajua ni pandikizi lao ndani ya cdm,na kwa sababucdm kumejaa watu wenye weledi wa kutosha mradi wake umekwama,2015 ccm watampa chuo cha kufundisha and most likely ni UDOM.Mwambie aje atuambie kwa nini alinunuliwa na barick hadi kafungwa mdomo!!!!
mtu ana utajiri wa kutisha(hummer,vogue)
Nasikia sikia habari za ubaguzi lakini mimi sijaona mfano halisi wa ubaguzi kwenye uzi huu wala katika uhalisia wake ndani ya chama - hebu leteni mifano hai. Tusidanganyane, mimi sitoki Arusha wala Moshi, Chadema hakuna ubaguzi, hii ni propaganda iliyokwisha kushindwa tayari.
Una ushahidi kuwa Slaa anabagua na anasimamia wanachadema tu?
Je una ushahidi wa hiyo chuki na kinyongo? Je una ushahidi wa wazi dhidi ya ubaguzi wa dini kabila na kanda?
Je Slaa alipokuwa mbunge bungeni, alimbagua nani? Una mifano gani ya kukosa uzalendo kwa Dr. Slaa na viongozi wengine wa CHADEMA?
Umeongelea siasa za chuki. Nadhani wanasiasa wanaoeneza chuki wanajulikana. Unasemaje juu ya aina ya siasa za Shonza, Mwampamba, Nape na Mwigulu? Nassari alipigwa na nani na kwa nini wakati wa uchaguzi Mdogo wa madiwani hivi karibuni? Hizo ndizo siasa za upendo? Kesi za kubambikiziwa ambazo zinazidi kushindwa mahakamani ndizo siasa za upendo?
Nyuzi zinazoanzishwa na Hamy-d, zemarcopolo, mwanadiwani, shelui sizisomi kwa kuwa zipo kwenye ignore list yangu kwa kuwa hazina ukweli ni propaganda tupu.Unauliza ushahidi gani wewe? Humu ndani nyuzi kibao zimeletwa ushahidi umewekwa halafu unataka kunisumbua. I don have such dirtytime. If you are in need of evidence pass through different topics entitled Dr slaa you will have it. Tena akiwa amekubali kuwa ndio kafanya.
Ndio maana mnashinda mitandaoni kupambana na CDM chama mnachokiita dhaifu? Mbona hamtaji NCCR?CDM hawana chao Mikoa mingi na kanda ya magharibi hawawezi pata kitu na wao wanajua Hilo. Nguvu zao zote wanapeleka Arusha na Moshi maana hata Mwanza hawana chao na Wenje hawezi rudi tena. Kwa hiyo ndoto zao za urais hazina mantiki na tija. Tutayaoona mengi sana come 2015. :kev::tape:
Hujajibu swali langu narudia:So simple zitto ni mtanzania mwenye uchungu na watanzania. Anasimamia watanzania wala sio wanachadema. Ni mtu asiye na chuki, kinyongo, sio mbaguzi wa dini,kabila wala kanda. Anajiweka wazi ni kiongozi wa kuwatumikia wanyonge. Siasa huwa kwake zinaishia kwenye uchaguzi after anawatumikia watanzania bila kujali chama. Anapendwa na watu wa ccm,cuf, et al kwakuwa anaweka maslahi ya taifa mbele. Sinahaja kuandika sana ila zitto ni kuwa mzalendo.
Kitaendelea? Kwani kimeshaanza?kifo cha chadema kitaendelea kutokea sehemu zote nchini yote haya mtayashuhudia kwa mda mfupi sana.
Ndio maana mnashinda mitandaoni kupambana na CDM chama mnachokiita dhaifu? Mbona hamtaji NCCR?
zitto zubeir kabwe kutogombea 2015