kilele pori
JF-Expert Member
- Aug 6, 2013
- 232
- 30
Kwa hili utasubiri sana ,CDM ipo imara zaidi ya unavyodhania.
akigombea tu ndiyo basi tena hamtamuona tena.....................
Kutokana na mvutano unaoendelea ndani ya Chama cha demokrasia na maendeleo na Chadema imesababisha Chama hicho kusambaratika na kupoteza mvuto mkoani kigoma, sababu hasa inaonekana ni kutengwa kwa kijana wao zitto kabwe ndani ya chama hicho, na hata tetesi zinazoongelewa katika vijiwe vya siasa mkoani kigoma, aliye kuwa mgombea wa chama cha chadema Mwaka 2010 Ally mlee akakihama Chama muda wowote kuanzia sasa. Hali ni mbaya mkoani hapa, kila kijiwe kinaongelea ubaguzi ndani ya chama hicho.
Kila heri....
kwa sasa chadema kimezidi kwa ubaguzi mpaka kinakela sana wanakuwa kama kagame bwana.
Nasikia habari za mama yake tu!.. Kumbe baba yake ni MCHAGA?kwani zito siwalisema kwa bab ni mchaga inakuwaje tena jamani,
watabaguana mpaka basi kwa vile ubaguzi ndani ya chadema ni jadi yao na bado kazi inaendelea.
Kutokana na mvutano unaoendelea ndani ya Chama cha demokrasia na maendeleo na Chadema imesababisha Chama hicho kusambaratika na kupoteza mvuto mkoani kigoma, sababu hasa inaonekana ni kutengwa kwa kijana wao zitto kabwe ndani ya chama hicho, na hata tetesi zinazoongelewa katika vijiwe vya siasa mkoani kigoma, aliye kuwa mgombea wa chama cha chadema Mwaka 2010 Ally mlee akakihama Chama muda wowote kuanzia sasa. Hali ni mbaya mkoani hapa, kila kijiwe kinaongelea ubaguzi ndani ya chama hicho.
Kila heri....
wacha wasambaratike tu kwani hawana faida katika nchi hii
:A S 2152::A S 2152:Tehe tehe tehe....! wakati chadema wanatumia nguvu nyingi kuitafuta nafasi ya kuingia Ikulu basi CCM wanacheza na Pychology na kutumia akili kuwa maliza
chama cha kukusanya pesa hakina maana kwa taifa ila kwa kabila fulani tu.
Mmetumwa kupandikiza udini na ukabila.. Silaha hii haitaiokoa CCM wala kuibomoa CDM wala CUF... CCM itaanguka tu!mmeanza kubagua mpaka damu zenu kazi mnayo kweli.
Sasa kama mpendwa wako ZITTO ameshindwa kuijenga CHADEMA mkoani kwake tu vipi angekabidhiwa CHADEMA TAIFA? Alipotaka kugombea uenyekiti taifa ilikuwa ni mpango wa kuisambaratisha CHADEMA bahati mbaya kwake na wapambe wake wakashitukiwa mapema!! CHADEMA mkoani Kigoma inasambaratishwa na ZITTO mwenyewe kwa sababu ya UJUAJI NA TAMAA ZAKE!! The guy has got self interests na hakuna aliyemtenga bali amejitenga yeye mwenyewe!! Pamoja na elimu yake lakini anasumbuliwa na USWAHILI!!!
Ni kipi alichofanya kuindeleza CHADEMA mkoani Kigoma na mikoa jirani? Tueleze mafanikio yake kisiasa mkoani humo: Je tangu awe mbunge na hizo sifa mnazompa amefanikiwa kuongeza madiwani na wabunge wangapi? Kama wewe siyo MGANGA NJAA natumaini utakuja na majibu ya maswali yangu!!
Kutokana na mvutano unaoendelea ndani ya Chama cha demokrasia na maendeleo na Chadema imesababisha Chama hicho kusambaratika na kupoteza mvuto mkoani kigoma, sababu hasa inaonekana ni kutengwa kwa kijana wao zitto kabwe ndani ya chama hicho, na hata tetesi zinazoongelewa katika vijiwe vya siasa mkoani kigoma, aliye kuwa mgombea wa chama cha chadema Mwaka 2010 Ally mlee akakihama Chama muda wowote kuanzia sasa. Hali ni mbaya mkoani hapa, kila kijiwe kinaongelea ubaguzi ndani ya chama hicho.
Kila heri....
wacha wasambaratike tu kwani hawana faida katika nchi hii
:A S 2152::A S 2152:Tehe tehe tehe....! wakati chadema wanatumia nguvu nyingi kuitafuta nafasi ya kuingia Ikulu basi CCM wanacheza na Pychology na kutumia akili kuwa maliza
chama cha kukusanya pesa hakina maana kwa taifa ila kwa kabila fulani tu.
mmeanza kubagua mpaka damu zenu kazi mnayo kweli.
dhambi ya ubaguzi haitaishia hapo, watazidi kusigishana sana tu.
akigombea tu ndiyo basi tena hamtamuona tena.....................
maelezo yake yanajitosheleza kwani inaonekana yuko eneo ya tukio na anashuhudia mambo yanavyokwenda mrama.
UDINI NA UKABILA UTAIANGAMIZA CCM.. Leo kwa unafiki wenu mko CCM 2015 sura yenu halisi itaonekana tu.Mdharau mwiba miguu huota tenda, sasa CHADEMA ubaguzi wao utawatafuna sana.
chama cha kukusanya pesa hakina maana kwa taifa ila kwa kabila fulani tu.
Nyuzi kama hizi magamba yanakomaa!!mkitaka kujua akili zenu zinashikwa na nepi angalieni majibu yenu...Mdharau mwiba miguu huota tenda, sasa CHADEMA ubaguzi wao utawatafuna sana.
Kigoma ndo ngome kuu ya CHADEMA KAMA HAUJUI
Kutokana na mvutano unaoendelea ndani ya Chama cha demokrasia na maendeleo na Chadema imesababisha Chama hicho kusambaratika na kupoteza mvuto mkoani kigoma, sababu hasa inaonekana ni kutengwa kwa kijana wao zitto kabwe ndani ya chama hicho, na hata tetesi zinazoongelewa katika vijiwe vya siasa mkoani kigoma, aliye kuwa mgombea wa chama cha chadema Mwaka 2010 Ally mlee akakihama Chama muda wowote kuanzia sasa. Hali ni mbaya mkoani hapa, kila kijiwe kinaongelea ubaguzi ndani ya chama hicho.