Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,410
CCM ndo kinapoteza kwani kumbuka kunacku nchi nzima ilikuwa chini yao. Sasa CHADEMA hata wakichukua kata moja anayepoteza ni ccm kwani anakuwa kanyang'anywa ni ccm.
CHADEMA big up. Kaza boot na chukua kata moja moja.
Na ikumbukwe chadema hawana chagonjwa, mwemwa wala kivu ila wanapita tu.
kumbuka wachaga wengi walondani ya polisi ndiyo watatumika na chadema kuvuruga kesi na ushahidi wa kesi mbalimbali lakini zao zinahesabika.