kwa hiyo unatubu cdm ni chama cha wakristo!
Ni kweli chama cha wakristo.....kila mtu anajua
kwa hiyo unatubu cdm ni chama cha wakristo!
![]()
Kashaijabutege wewe iweke tu hiyo Video ndio tuupate ukweli maana vitu vingi vinajificha
CCM haigopi kitu wala hatishiwi mtu NYAU weka vitu hadharani
Kwa mwenye hekima na akili ni kilio shangaa kwa limbukeni ilivyo kicheko, ama kweli mtu mjinga hajui hatima ya maisha yake mpaka imemfikaKatika kile kinachoashiria anguko la kisiasa mkoani DSM, CHADEMA kimejikuta kikipoteza wafuasi, wanachama na wafadhili ndani ya kata ya Mianzini ambako waliambulia kura chache katika uchaguzi mdogo wa udiwani, uliohitimishwa kwa mgombea wa CCM, Mheshimiwa Mbwana kuibuka kidedea. Pigo takatifu kwa CHADEMA limeambatana na kufungwa kwa tawi la chama lililokuwa eneo la KAKONKO bar Majimatitu; Wiki mbili zilizopita bango la utambulisho wa ofisi ya chama lilionyesha OFISI YA CHADEMA kata ya Mianzini, hivi leo limebadilika na kuwa OFISI YA CCM tawi la Maji Matitu, POLENI akina Mwita &CO; CCM yasonga mbele kwa kasi kubwa huku CHADEMA ikirudi nyuma kwa kasi ya ajabu
Siku zote wana CDM hawataki kuambiwa UKWELI, habari ndiyo hiyo uchaguzi mdogo umeisha, CDM imepotea Mbagala! CDm ni chama cha msimu, wakati wa uchaguzi tu
nyie ni huko huko kaskazini bana sio huku kwa wajanja..
Huwa najiuliza hawa cdm kila wakiambiwa ukweli utaskia buku 7 hivi wao hawana njaa au ndio chama xha majambazi siku wakiitaji utaskia harambee ya jitijiti p! Zao sogeeni pembeni gari kubwa zipite zenu kelele na majungu tumezoea sana kanyaga twende lumumba oyeeeeeeeeeeeeeeeeee
nyie ni huko huko kaskazini bana sio huku kwa wajanja..
Uhai wa chama sio bendera. Chama kiko rohoni mwa watu. Huyo mmiliki wa Kakonko CCM imemfanyia mizengwe ya kumfungia biashara yake, akaamua kufunika kombe ili mwanaharamu apite. Wengi ndani ya CCM urafiki wao ni wa mashaka.
Mfano mzuri ni huu. Mianzini CCM ina wajumbe zaidi 980 bila kuhusisha familia zao, imekuwaje mkapata kura 1000 na wakati kila mjumbe alipewa Tzs 50, 000? Mbaya zaidi kila kura ya Mianzini mliyoipata thamani yake si chini ya Tzs 20, 000. Kumbuka kila mbunge wa CCM Dar amechanga milioni 3 na Mbwana kaweka rehani baa yake kwa Kisuma.
Katika tathmini ya CCM mmekubaliana kufungua akaunti ya uchaguzi kwa kila mtaa kwa ajili ya ucgaguzi wa serikali za mitaa mwaka kesho. Mmekubali kabisa kuwa uchaguzi wa Mianzini haukuwa mzuri kwenu na kwamba kama mgombea wa CUF angekuwa CHADEMA msingeshinda kata hiyo. Bahati nzuri mazungumzo yenu niliyanasa na ukibisha nitayaweka wazi mtandaoni.
Wakati tuna rais anayelindwa na mashetani ya Kiongozi wa dini fulani anaitwa marehemu shehe Yahya
Ccm bila rushwa,vitisho na mauaji siasa haiendi!
Wa.pu.mba.vu wakubwa maccm....ngojeni tar 14 mtajua :target:
aTarehe 14.07.2013 siyo mbali, adhabu yenu toka kwa wananchi.