sitashangaa nyie ni hodari wa kuunganisha picha kama ilivyotamkwa na Kamanda Chagonja! CDM ni janga la taifa, mwisho wake ni 2014 uchaguzi wa serikali za mitaa
Mapungufu ni:
1. Chama kutokuwa na uongozi wa kuchaguliwa wilayani TMK
2. Chama kutokuwa wazi kuhusiana na fedha za ruzuku na michango toka Uingereza na Ujerumani
3. Viongozi wa chama katika matawi kupatikana kwa njia za zimamoto
4. Ukabila kutawala katika uongozi ngazi zote; Mianzini kuwekewa wachaga kama viongozi
5. Kampeni kuratibiwa kutokea BAR
peleka lumuba taarifa hizi upate buk 7 zako za week end
"Nikianike kikao chenu cha tathmini (video)....?"
Huyu bwana kashaijabutege ana maswali magumu sana....
Sasa unategemea mh. Mtoa mada ajibu nini?? Tusipende kuwaweka wenzetu kwenye mazingira magumu hivyo.......unataka thread yake aione chungu
KAMANDA hawana pa kutokea. Inawauma kuona wana viongozi katika zaidi 2400 lakini wamepata kura 1000 pamoja na kuhonga. Mjumbe mmoja alitamka wazi kuwa ushindi huo si wa kujivunia. Sasa hivi wako sakasaka ya kujua ni nani aliwasaliti."Nikianike kikao chenu cha tathmini (video)....?"
Huyu bwana kashaijabutege ana maswali magumu sana....
Sasa unategemea mh. Mtoa mada ajibu nini?? Tusipende kuwaweka wenzetu kwenye mazingira magumu hivyo.......unataka thread yake aione chungu
<br />By MAFILILI<br />
sitashangaa nyie ni hodari wa kuunganisha picha kama ilivyotamkwa na Kamanda Chagonja! CDM ni janga la taifa, mwisho wake ni 2014 uchaguzi wa serikali za mitaa
<br />
Chagonja ndio reference point yako, umechoka BIG TIME.
Ukikosa cha kuandika kuhusu Chadema huwa una tabia ya kurudia matapishi. Kwani huu uchaguzi ulifanyika lini na ni mara ngapi hili umelisema? Shule ikiwa ndogo kweli ni tatizo.Katika kile kinachoashiria anguko la kisiasa mkoani DSM, CHADEMA kimejikuta kikipoteza wafuasi, wanachama na wafadhili ndani ya kata ya Mianzini ambako waliambulia kura chache katika uchaguzi mdogo wa udiwani, uliohitimishwa kwa mgombea wa CCM, Mheshimiwa Mbwana kuibuka kidedea. Pigo takatifu kwa CHADEMA limeambatana na kufungwa kwa tawi la chama lililokuwa eneo la KAKONKO bar Majimatitu; Wiki mbili zilizopita bango la utambulisho wa ofisi ya chama lilionyesha OFISI YA CHADEMA kata ya Mianzini, hivi leo limebadilika na kuwa OFISI YA CCM tawi la Maji Matitu, POLENI akina Mwita &CO; CCM yasonga mbele kwa kasi kubwa huku CHADEMA ikirudi nyuma kwa kasi ya ajabu
Kikwete ni zaidi ya Dr Slaa + Mbowe + Selasini
Huko maji matitu Ni sawa na Chake Chake Tu, ilimu dunia imegoma kabisa. Ndio maeneo maccm mnatamba kwa kuwa mtaji wenu ni ujinga wa watanzania.
Kama mwenye nyumba kaamua kuwapangisha CCM kuna ubaya gani, ishu si kodi tu. CDM watapanga kwingine sioni stori hapo
Ni pigo kubwa kwa Chadema sasa huyu Mwita Maranya, alikuwa anajisifu kuwa kata ya Mianzini wameikamata sijui atawambiaje Pro-Chadema wenzake.