CHADEMA yaonywa na JWTZ 'Leave us alone" - Army

CHADEMA yaonywa na JWTZ 'Leave us alone" - Army

Ulichokiongea nikinyume chake

1. A) katibu ccm Y. Makamba Capt-Jeshi
B) katibu ccm A. Kinana Gen-jeshi
C) Mwekiti ccm J. Kikwete mjeshi
D) Balozi uchina A. Shimbo mjeshi

Swali hawa woote wanajeshi kunauhusianogan kati ya ccm na jeshi?

2. Chagonja aliibuka mbele ya vyombo vya habari kulitangazia Taifa wafuasi wa cdm wamemuuwa D. MWANGOSI.

a) Tangazo lake uliliamin kwa vigezogan ilhal alidanganya?

3. Omar Mahita alikiuwa CUF kwa uzushi akitumia nafasi yake ya ukuu wa polisi

kwanini tusiamini bandiko hilo iwapo wakuu wa majeshi kila uchaguzi hutumika kuzusha uwongo, kupotosha umma nakukibeba waziwazi ccm?

Mfano IGP Mahita, Chagonja na Gen A. Shimbo.

Wewe umedandia meli kwa mbele, ukipigwa na wimbi sijui utamlilia nani, soma kwanza coment zilizotangulia ndipo ukoment jambo, sio unanzia katikati tu.
 
tpdf_refuste1-aug15-2015.jpg

director of information and public relations in the tanzania people's defence forces (tpdf), colonel ngemela lubinga (c) stresses a point during a press conference in dsm yesterday.


political parties have been warned never to provoke the army, nor interfere with its operations, saying that political parties should do their job without dragging the army into their affairs.

the warning comes only a few days after the local media reported that chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) accused the army of ordering its rank and file to collect their biometric voters registration cards for the purpose of favouring one of the political parties.

tanzania people’s defence forces (tpdf) yesterday strongly denounced the chadema allegations, warning political parties to stop provoking it.

according to tpdf, the statement issued by chadema’s deputy secretary general - tanzania mainland, john mnyika; claiming that tpdf has confiscated the bvr cards from all its soldiers and staff, and was registering cards’ numbers with the aim of cheating in the coming general election was purely rubbish.

the army’s director of public information and communications col. Ngemela lubinga told a press conference in dar es salaam that tpdf has transparent responsibilities; adding that soldiers have constitutional and civil rights like any other tanzanian, hence, every army member deserves to vote for whoever she/he likes.

he, however, reminded the media that soldiers were neither allowed to be members nor followers of any political party; adding that tpdf works as professional state organ as it is known world-wide.

“whoever goes against the set arrangement, the army will not hesitate to take ethical actions against him or her. Thus, tpdf was saddened with the statement by chadema; but the army urges each side to perform its duties in accordance with the law and not to interfere with each other in any way,” said col. Lubinga.

he said that tpdf asked whoever with evidence on the chadema claims to come forward and present it; adding that political parties should also seek the truth before they issue provocative statements.

unfounded and provocative statements, according to tpdf, were nothing but aimed at triggering the breach of the national peace especially in this preparations period toward general election, set to take place in october, this year.

tpdf wanted politicians to recognise its endeavours towards encouraging their members to register and make sure they fully participate in the coming general election.

he added that political parties and the army were both building the same house, which is promoting peace in the country, thus, there was no need to scramble for building materials.

responding on what legal actions to be taken by the army against chadema’s claims and others alike, col. Lubinga said the matter was being discussed at the relevant ministry (defence and national service).

again, politicians had recently complained of setting up polling stations in the army camps; claiming that the practice was denying people the freedom to vote; but also col. Lubinga trashed those claims as well.

he said that people should not confuse the two; voters’ registration centres and voting stations; insisting that for many years now, voting within army camps has never happened.

the same claims (confiscating staff voting cards) were also directed to tanzania police force by politicians whereby the deputy inspector general of police (digp) abdulrahman kaniki denied the allegations but promised to seek the truth.



source: The guardian



mnyika aanaleta siasa za kichagga jeshini!
 
Ninyi mnafanya utani mpaka jeshini ccm wameichoka tatizo msitake watamke hadharani jeshi lina maadili yake ningeweza kuwapa mifano mingi lkn tambueni kwamba majeshi yetu yamechoshwa na ccm mnadhan wao ni mambulula hilo halipo.muwe na AMANI.
 
Nimesoma maelezo yote hapo ya huyo msemaji wa jeshi, hakuna mahali popote amejibu hoja ya msingi ya CHADEMA kuhusu mchezo mchafu unaoendelea katika kambi za majeshi kwa askari wote kuamriwa kupeleka taarifa za vitambulisho vyao vya kupiga kura.

Huyo msemaji ametoa vitisho vitupu badala ya kujibu hoja. Jeshi sio vitisho bali jeshi ni kanuni, sheria na Utaratibu. Ni ujinga na ushamba mkubwa kwa karne hii na dunia ya sasa kuwa na jeshi linaloamini kutishia watu badala ya kujenga urafiki na mahusiano mema na raia na taasisi.

Kwa namna IGP na huyu msemaji wa Jeshi la JWTZ walivyoshindwa kutoa majibu ya msingi katika hoja nzito zilizotolewa kwao, inaashiria kabisa wamepanic sana hususani baada ya hicho kichafu walichokuwa wanakificha sasa kimeanza kuwa hadharani.
Usiwe punguani JWTZ siyo chama cha siasa kama Chadema, CUF, CCM, waanze kujibishana na wanasiasa mnachezea sharubu za simba.
 
Usiwe punguani JWTZ siyo chama cha siasa kama Chadema, CUF, CCM, waanze kujibishana na wanasiasa mnachezea sharubu za simba.

JWTZ ni jumuiya ya ccm kama ilivyo uvccm na jumuiya ya wazazi ya chama hicho.

Hatujasahau uchaguzi wa 2010: tapeli moja kutoka jwtz, kwa jina la shimbo alivyotutishia wapenda mabadiliko. Baada ya tishio hilo, nasikia boss wa wacheza kigodoro kamzawadia ubalozi hukooo mbali kabisa.
 
Hivi ni kosa jeshi kujibu hoja kwa hoja badala ya vitisho.mbona polisi wamejibu tu kuwa walikuwa wanahakiki kama wote wamejisajili haaah haah ndo mpaka mchukue kadi?

Hata huyo MANGU hakuna cha maana alichojibu....sana sana kathibitisha shaka tuliyokuwa nayo hivi inaingia aikilini kweli eti...wanakagua km Askari wao wamejiandikisha...yaani hao Askari ni watoto hadi kila kitu wasimamiwe na IGP ni upuuzi
 
JWTZ ni jumuiya ya ccm kama ilivyo uvccm na jumuiya ya wazazi ya chama hicho.

Hatujasahau uchaguzi wa 2010: tapeli moja kutoka jwtz, kwa jina la shimbo alivyotutishia wapenda mabadiliko. Baada ya tishio hilo, nasikia boss wa wacheza kigodoro kamzawadia ubalozi hukooo mbali kabisa.
Inawezekana umri wako ni mdogo wanajeshi kuwa mabalozi siyo kosa.

Toka enzi za Nyerere mabalozi walikuwa wanajeshi kina Mayunga na wengine.

Kwa hiyo Chadema wakichukuwa nchi mtakuja na wanajeshi wenu wale Red Brigade?
 
kupata kipande cha mkate kwa jinamizi lenye njaa ni kazi..
kama wanaweza kuua wananchi wote basi waendelee..
lakini haki itatafutwa..
HATA PAKA ANA VITISHO AKIWA AMESHIKILIA MNOFU.
 
Mahakama kubwa kabisa ni wananchi, ushahidi uanikwe tu baas wananchi siku hizi wameamka sana huhitaji tochi ili wakuletee sindano iliyodondoka, wataipata na giza hivyo hivyo. . . . . . .

Mkuu mbona unatumia nguvu kubwa sana kuwatetea hawa wanajeshi Kumbuka ikithibika kuwa nikweli wanafanya namna hiyo ni KASHFA unakumbuka Hata wakuu wa POLIS walituhumiwa Msaidizi wa IGP alikanusha lkn IGP akiwa BUKOBA amekiri kuwa wanafanya hivyo kwa lengo lakuhakikisha kila Askari anajiandikisha hivi Inakuingia AKILINI eti,,IGP afanye kazi yakuthibitisha kuwa kila Askari wake amejiandikisha hao Askari wana utoto kiasi gani hadi wasione umuhimu wa kujiandikisha hadi IGP asimamie mkuu usiwe km mgeni kwenye Nchi za Afrika hasa kinapofikia kipindi cha uchaguzi rejea kauli ya ABDULAHMANI SHIMBO mwaka 2010 nabaada ya uchaguzi kapewa cheo gani....!!
 
Hizo ni njama za ccm kwan jeshi silipo chin ya ccm ndio maana jamaa kakazia mkuu wa atoe tamko.
 
Hii ina ushahidi gani kama imetoka FFU, mbona limeandikwa kama tangazo la kuuza viwanja huko mbande na sio amri,tuache kupanda chuki tuweke ukweli hapa.Nimekaa JKT miaka miwili, sijawahi kuona hawa jamaa wakitumia neno tangazo, labda mtu binafsi anauza kitu chake ndiyo huweka tangazo

Mkuu....toa miwani ya Mbao uliyovaa utauona ukweli huyo Asp aliendika hilo yangazo mbona hajakanusha....Ulimsikia IGP alichojibu akiwa BUKOKA?
 
Nimesoma maelezo yote hapo ya huyo msemaji wa jeshi, hakuna mahali popote amejibu hoja ya msingi ya CHADEMA kuhusu mchezo mchafu unaoendelea katika kambi za majeshi kwa askari wote kuamriwa kupeleka taarifa za vitambulisho vyao vya kupiga kura.

Huyo msemaji ametoa vitisho vitupu badala ya kujibu hoja. Jeshi sio vitisho bali jeshi ni kanuni, sheria na Utaratibu. Ni ujinga na ushamba mkubwa kwa karne hii na dunia ya sasa kuwa na jeshi linaloamini kutishia watu badala ya kujenga urafiki na mahusiano mema na raia na taasisi.

Kwa namna IGP na huyu msemaji wa Jeshi la JWTZ walivyoshindwa kutoa majibu ya msingi katika hoja nzito zilizotolewa kwao, inaashiria kabisa wamepanic sana hususani baada ya hicho kichafu walichokuwa wanakificha sasa kimeanza kuwa hadharani.

Nenda kalewe pombe utajua kiingereza!
 
Bado tunataka majibu toka kwa CDF kama alivyouliza Mbowe, wale maafisa wa IT wamjeshi wameenda kufanya kazi gani ya siri Tume ya Uchaguzi? Hakuna mamlaka isiyohojiwa katika nchi inayoendeshwa kidemokrasia hivyo lazima tupate majibu na sio vitisho.
Mbowe kauliza kwa uthabiti mkubwa kabisa na uwazi. Kwa nini kuwe na siri kati ya Tume na Jeshi? Kwa nini vyombo vya dola vichukue namba za askari za shahada zao?
 
Back
Top Bottom