Wao wanafikiri ukali wa Magufuli na kutumbua majipu ndio kutawabeba!wasilolijua ni kuwa,utawala wa awamu hii unagusa kila mwananchi awe fisadi,asiwe fisadi,awe mwema,asiwe mwema,n.k na matokeo yake wote wanaungana kuikataa CCM.
Too much of everything is harmful.
Na huu ni mwanzo tu.