wananchi gani hao? Wa Arusha na Mbeya?Hongereni Chadema na kazenu buti maana wananchi wanawaunga mkono sasa .
Mpelekeni na Arusha akalete amani.
wananchi gani hao? Wa Arusha na Mbeya?
Kwa wafuatiliaji wa michezo. Wakati ule timu ya Taifa ya Togo iliposhambuliwa wakielekea kwenye 'world cup' kapteni wao 'Adebayor' alisema namnukuu "MWAFRIKA HANA THAMANI AFRIKA".
Hivi kulikuwa na haja gani kusubiri fujo na uharibifu ufikie kiwango hicho?
Hivi hakuna watanzania wanaoweza ku-predict reaction ya wananchi kwenye maamuzi yahayohusu maisha yao!!?
Au ndo imebakia "tufanye tulichoamua na waki-react tunawapiga mpaka watulie".
KAZI IPO
Unajua alidhani mbeya ni kama dsm ambako wengi ni wahamiaji!
Watu wako kwao uku alafu unawatimua waende wapi
Labda yeye ndo arudi iringa kule kalenga walikomtosa kura za ubunge