Chadema: Yala njama dhidi ya serikali.

Straight

JF-Expert Member
Dec 25, 2010
346
44
nyie cdm kwa kweli mnatupa shida sana... Ili mradi tu mtimize ile ahadi yenu ya nchi kutotawalika... Na habari zilizopo ni kuwa mmekula njama ya kudhamisha meli iliyokuwa ikielekea znz... Na hii kulingana na uchunguzi tuliofanya imebainika kuwa mliona wivu kwa jinsi ya serikali ya bara na znz ilivyolighulikia kwa umakin na uchunguz wa hali ya juu ikiambatana kuwawajibisha wote waliosababisha ajali ya MV SPICE..
Our take: Plz cdm achen kula njama ya kuzamisha vyombo vya baharini.. Uchunguz unaendelea ukiongozwa na kamanda kova.. 2nahuakika 2tawatia nguvuni 2 cdm...
 
nyie cdm kwa kweli mnatupa shida sana... Ili mradi tu mtimize ile ahadi yenu ya nchi kutotawalika... Na habari zilizopo ni kuwa mmekula njama ya kudhamisha meli iliyokuwa ikielekea znz... Na hii kulingana na uchunguzi tuliofanya imebainika kuwa mliona wivu kwa jinsi ya serikali ya bara na znz ilivyolighulikia kwa umakin na uchunguz wa hali ya juu ikiambatana kuwawajibisha wote waliosababisha ajali ya MV SPICE..Our take: Plz cdm achen kula njama ya kuzamisha vyombo vya baharini.. Uchunguz unaendelea ukiongozwa na kamanda kova.. 2nahuakika 2tawatia nguvuni 2 cdm...
ni kweli kabisa, manake hata wale manahodha wa meli ile walivaa magwanda ya CHADEMA.
 
CDM wamenza asubuhi ambapo wamesababisha ndege ya ATCL ivunjike dirisha la kioo cha upande wa kushoto wa rubani. Ndege hiyo ilitoka Dar kwenda Mwanza via KIA. Matokeo yake ikabidi iwe grounded palepale KIA leo hii asubuhi. Tunahisi chama hiki kina mahusiano ya moja kwa moja na Ali-Shababu.
 
Hatuhamii huko kwenye hiyo topiki mpya unayotutafuta kinguvu nguvu kuingilia bila kwanza kujua swala Dr Ulimboka.
 
meli ya mwaka 1984 mpaka leo hii inafanya kazi unategea nini mbona kuku anakushinda akili akiona giza linaingia anajua ni usiku anajongea ndani. ndege za ATCL ni mbovu nani hilo halijui? mmekodisha ndege mbovu mnategemea nini? hamtaki kufanya service ndege eti hamna hela mnategemea nini? acha upumbavu wenu usiyo na maana. mpaka upepo unauvuma baharini eti umesababishwa na chadema, duuh hii kali sasa. acheni kufukuza upepo na kivikimbia vivuli vyenu.
 
nyie cdm kwa kweli mnatupa shida sana... Ili mradi tu mtimize ile ahadi yenu ya nchi kutotawalika... Na habari zilizopo ni kuwa mmekula njama ya kudhamisha meli iliyokuwa ikielekea znz... Na hii kulingana na uchunguzi tuliofanya imebainika kuwa mliona wivu kwa jinsi ya serikali ya bara na znz ilivyolighulikia kwa umakin na uchunguz wa hali ya juu ikiambatana kuwawajibisha wote waliosababisha ajali ya MV SPICE..
Our take: Plz cdm achen kula njama ya kuzamisha vyombo vya baharini.. Uchunguz unaendelea ukiongozwa na kamanda kova.. 2nahuakika 2tawatia nguvuni 2 cdm...

mbona mnatapika.....ungetakiwa uwe kwenye ihiyo meli. sio tu wamekula njama na nyama pia! mlichoma makanisa na kunywa viroba vya watu mkafikiri mtakua salama.....hapo bado.
 
Awa awa chadema si ndo walimteka ulimboka kweli chadema noma mnafanya mzee wa kaya kutopata usingizi atujakaa sawa wakamteka tena mwanasheria nemc alafu nasikia kuna mpango mwingine wa kumteka mzee wa kaya
 
Nahodha aende akatubu kwa Nabii na Mtume Mkuu, Mwashamu Askofu Gwajima kule Kawe haraka juu ya hili ili kuturahisishia uchunguzi mzima hapa ila ofisi za jahazi hili nimesikia kwamba ni pale pale tu pa siku zote Magogoni kama kawaida.

nahodha ni mkenya
 
teh teh teh,basi hata nyerere nae aliuwawa na chadema,nyambaaaaaaf,ushenz ushenz tu kupoteza malengo
 
Awa awa chadema si ndo walimteka ulimboka kweli chadema noma mnafanya mzee wa kaya kutopata usingizi atujakaa sawa wakamteka tena mwanasheria nemc alafu nasikia kuna mpango mwingine wa kumteka mzee wa kaya
 
Kakojoe, ulale!, kafara zenu na kutokuwa makini kusimamia vyombo vya usafiri, msiisingizie Chadema, kagueni vyombo vya usafiri vizuri, angalieni hali ya hewa na ubora wa vyombo ndio mviruhusu kufanya safari
nyie cdm kwa kweli mnatupa shida sana... Ili mradi tu mtimize ile ahadi yenu ya nchi kutotawalika... Na habari zilizopo ni kuwa mmekula njama ya kudhamisha meli iliyokuwa ikielekea znz... Na hii kulingana na uchunguzi tuliofanya imebainika kuwa mliona wivu kwa jinsi ya serikali ya bara na znz ilivyolighulikia kwa umakin na uchunguz wa hali ya juu ikiambatana kuwawajibisha wote waliosababisha ajali ya MV SPICE..
Our take: Plz cdm achen kula njama ya kuzamisha vyombo vya baharini.. Uchunguz unaendelea ukiongozwa na kamanda kova.. 2nahuakika 2tawatia nguvuni 2 cdm...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom