- Thread starter
- #41
chadema hawa... Ukiacha Mastaring Wakuu wawili, Joshua the kenyan na Mch. Gwajima.. Nasikia kuna mwingine anatarajia kuonekana kwa Season 2..
Polen sana ndugu zetu wote waliofikwa na matatizo ya ajali ya meli.. Let us start b serious, uchunguzi uwe unafanyika na matatizo sababish yawe yanafanyiwa kazi ipasavyo huku wahusika wakuu wasiache bila kuwajibishwa.. La sivyo watanzania 2taendelea kuteketea hivi hivi kwa wajanga ambayo yangeepukika.. Chukulia mfano mabom ya mbagala na gongo la mboto.. Na kama uchunguz uliofanyika hautofanyika na wahusika hawakuajibishwa.. 2tarajie tena i dn knw upanga au lugalo.
Polen sana ndugu zetu wote waliofikwa na matatizo ya ajali ya meli.. Let us start b serious, uchunguzi uwe unafanyika na matatizo sababish yawe yanafanyiwa kazi ipasavyo huku wahusika wakuu wasiache bila kuwajibishwa.. La sivyo watanzania 2taendelea kuteketea hivi hivi kwa wajanga ambayo yangeepukika.. Chukulia mfano mabom ya mbagala na gongo la mboto.. Na kama uchunguz uliofanyika hautofanyika na wahusika hawakuajibishwa.. 2tarajie tena i dn knw upanga au lugalo.