- Thread starter
- #21
Mbona huyu mama afisa uhusiano wa manispaa ya ilala ameitaja kivule kuwa uchaguzi unarudiwa?
Hapana mkuu uchaguzi unarudiwa katika mitaa mingine 23.Kule Kivule tayari Kamanda Mwita Waitara ameshaanza kazi.
Mbona huyu mama afisa uhusiano wa manispaa ya ilala ameitaja kivule kuwa uchaguzi unarudiwa?
Huyo kamanda wa Sinza,hatufai ,why kapoteza kata nzima?!Awajibishwe,huo ni uzembe,mie mtaani kwangu japo nimehamia muda mfupi,na sina cheo chamani,nimepiga mzigo nikiwashirikisha madogo wakanielewa na tukashinda Mwenyekiti na wajumbe wote?
Sinza tumepiga kura mara 2 kwenye kituo kile kile au tukaenda kituo cha pili.
Diwani wa Sinza Renatusi Pamba mkuu Molemo
Kumbukeni ma CCM huenda yameweka mtego wa kusubiri wakazi wa kilimanjaro waondoke ili wasiwepo kipindi cha marudio ya uchaguzi. nina wasiwasi sana na hili jambo. waambieni wakazi wa Kilimanjaro wasubiri uchaguzi ndio waondoke kwenda ku-hiji!
Jimbo la Ukonga huyo mbunge mama lazima aondolewe ,kuhusu segerea namuaminia Mpendazoe lazima arudi kuchukua jimbo lake maana tunajua Milton alivyocheza rafu.
Haa haa, hongereni, mwita mwikabe amegombea uenyekiti wa mtaa? Ama..
kazi nzuri sana hii. hongera! mkuu Molemo kamanda waitara hagombei tarime mwakani? naona ameanza kukita mizizi jimbo la ukonga.
kazi nzuri sana hii. hongera mkuu Mwita Maranya! mkuu Molemo kamanda waitara hagombei tarime mwakani? naona ameanza kukita mizizi jimbo la ukonga.
Mbona huyu mama afisa uhusiano wa manispaa ya ilala ameitaja kivule kuwa uchaguzi unarudiwa?