CHADEMA yaizika CCM Ukonga

CHADEMA yaizika CCM Ukonga

Nipo Imara kama chuma cha pua. Naona tu harakati zenu za kutaka kunyakua dola. Mmeacha uanaharakati sasa mnaingia kwenye siasa za ushindani. Sasa naona siasa zinanoga manake utamu wa siasa ufike mashinani hapo ndipo utaona kwamba siasa imetapaa nchi nzima. Siyo siasa za Arusha tu na Tarime, zifike Kyamyorwa, Umugakorongo, Nyabihanga, Matiri, Lityumbandosi, Mikunya, Lilondo, inyonga, nk.

Mzee siasa za nchi hii nazifamu ndio maana nikasema vile manake ukawa naona mmeingia chini kabisa kwa wakulima, wakwezi na wafugaji. Ili kuleta ushindani inabidi CCM watafute kifaa vinginevyo mnaweza kupita na moto wa tipa.

Mbona kamanda Mwita Maranya yupo kimya sana?



Pamoja sana mkuu Kimbunga...

Ukiona kobe ameinama ujue anatunga sheria..
 
Last edited by a moderator:
Mawazo ya kitoto kabisa hayo
  • Huu umeme unaoutumia unaulipia? km ni kweli sasa Habinder na wenzake wasichukue chao
  • hizi 100megawatt zinazozalishwa na IPTL Tegeta zinapoingia Grid ya Taifa hazina umuhimu? kwanini basi walioleta mitambo na kuisimika wasilipwe
  • Mitambo kila siku inahitaji spea vialainishi na check-up ili mpate umeme soda na viberiti vitengenezwe
kuushabikia UJINGA ili tu mbebe kura ni kazi, sana hasa kwa binadamu mwerevu
HILI NI JANGA LA KITAIFA kuwa na watu km hawa

Sasa kwa andiko hili nathibitisha Ujinga ni kipaji!
 
Bora ya wewe umegundua hizi habari za Mleta mada ni kujipiga Chapuo na maPro mengi tu ya CHADEMA
Hivi wameshinda mitaa mingapi mpaka waitane majina ya Kikamanda?
kumbe uchaguzi unarudiwa
kumbe wameshinda mitaa miwili tu?
kweli mahali akikutana Mchagga na Mkurya ni vigumu kutawalika
yetu macho

Nimeamini upumbavu hauna alama!
 
Nimeamini upumbavu hauna alama!

Mkuu Molemo huyo tuachie sisi sio saizi yako bwana naona anataka kujitoa ufahamu watu kama hawa wapo humu kutafutia watu ban na ndio wanafanya jukwaa letu watu makini washindwe kuingia.usimjibu tutahangaika nae sisi naona huyu ni ajira mpya ya Lumumba buku 7 maana wameajiri kuongeza nguvu
 
mkuu. Molemo naomba
unieleweshe kuhusu haya
mapingamizi.
_nijuavyo mimi kama
nilivyoona kwenye ubunge
mgombea akiwekewa
pingamizi huwa linaamuliwa
kabla ya siku ya kupiga
kura,je haya utaratibu
ulikuweje maana nchi nzima
waliowekewa pingamizi ni
wa ukawa tu na sikusikia
ukawa wakiwekea wa ccm?
ninasubiri jibu
 
Last edited by a moderator:
Popote ulipo Habinder Singh Seth hakikisha unakwamisha maazimio ya Bunge letu TUKUFU ili mziki huu uwe mnene mwaka mzima mpaka uchaguzi MKUU utasaidia sana na watanzania wengi watakuwa wameamka juu ya wizi wa kutisha uliofanywa.JK na wewe kaa kimya ili watu wawe na akili maana uvivu wa kufikiri kwa watanzania ni mkubwa ili wajue kama wameibiwa wanatakiwa hata wakienda hospitali Wafie milangoni maana Dawa hakuna,UMEME upande ikiwezekana watu walipe laki mbili na nusu kwa mwez.maana hili TAIFA ni la Vilaza.kikwete oyeeeeeeee,Harbinder Singh Seth oyeeeeeeeee,maisha magumu kwa kila MTANZANIA safiiiiiiiiiiiiiii.

Haaahaaaa we jamaaaa unahasira sana ila pado hujanifikia. This Country bana IPO siku tutaheshimiana
 
Mkuu Molemo huyo tuachie sisi sio saizi yako bwana naona anataka kujitoa ufahamu watu kama hawa wapo humu kutafutia watu ban na ndio wanafanya jukwaa letu watu makini washindwe kuingia.usimjibu tutahangaika nae sisi naona huyu ni ajira mpya ya Lumumba buku 7 maana wameajiri kuongeza nguvu

Nashukuru sana Kamanda kiogwe.Nitafuata maelekezo yako!
 
Last edited by a moderator:
mkuu. Molemo naomba
unieleweshe kuhusu haya
mapingamizi.
_nijuavyo mimi kama
nilivyoona kwenye ubunge
mgombea akiwekewa
pingamizi huwa linaamuliwa
kabla ya siku ya kupiga
kura,je haya utaratibu
ulikuweje maana nchi nzima
waliowekewa pingamizi ni
wa ukawa tu na sikusikia
ukawa wakiwekea wa ccm?
ninasubiri jibu

Kamanda Marire hii ni hujuma kubwa na shambulio la demokrasia lililofanywa na CCM na kuratibiwa kikamilifu na wakurugenzi chini ya ofisi ya Waziri Mkuu.

Hii ni baada ya kugundua CCM ilikuwa inakwenda kushindwa vibaya.

Waliweka mapingamizi haramu maeneo yale tu waliyokuwa na Uhakika CHadema ingeshinda kwa kishindo.

Uhuni huu unapaswa kulaaniwa na kila mpenda demokrasia.
 
Last edited by a moderator:
Molemo bado hujanijibu swali langu kamanda,
mi sijapinga kuwepo mapingamizi,je kwa walivyopanga serekali yalipaswa kutolewa maamuzi lini?ili hata mgombea akilishinda pingamizi aweze kwenda kupigiwa kura???
 
Last edited by a moderator:
Huu ni uhuni uliopitiliza yaani ukawa kwanini tusifungue kesi mahakamani kupiga hii rafu?
 
Mawazo ya kitoto kabisa hayo
  • Huu umeme unaoutumia unaulipia? km ni kweli sasa Habinder na wenzake wasichukue chao
  • hizi 100megawatt zinazozalishwa na IPTL Tegeta zinapoingia Grid ya Taifa hazina umuhimu? kwanini basi walioleta mitambo na kuisimika wasilipwe
  • Mitambo kila siku inahitaji spea vialainishi na check-up ili mpate umeme soda na viberiti vitengenezwe
kuushabikia UJINGA ili tu mbebe kura ni kazi, sana hasa kwa binadamu mwerevu
HILI NI JANGA LA KITAIFA kuwa na watu km hawa
Wacha ujinga wewe tunataka na professor muongo aombwe radhi kwa kuchafuliwa na mama tibaijuka tumuombe radhi pia na ikiwezekana 1.6 b aliyo pewa ni ndogo angalau rais aongeye na TRA wamuongezeye japo vi Billion 2 ili aweze kuwasaidia watoto wengi sana pia chenge naye amehudumia serekali kwa muda mrefu sana serekali imuongezeye japo hapo ka billion 1 1/2 ili akamilishe mambo yake waziri mkuu mtoto wa Mkulima yeye serekali wampe japo vi Billion v3 ilinaye awe sawa maana yeye account yake ilikuwa na millioni 27 tu yote yatawezekana kwa kutumia ile kauli mbiu yetu ya chama chetu kitukufu ccm TUMEJARIBU TUMEWEZA NA SASA TUNASONGA MBELE!
 
Mbona Jimbo la segerea Chadema wameshinda mitaa mingi lakini siskii chochote?
 
Mkuu Molemo huyo tuachie sisi sio saizi yako bwana naona anataka kujitoa ufahamu watu kama hawa wapo humu kutafutia watu ban na ndio wanafanya jukwaa letu watu makini washindwe kuingia.usimjibu tutahangaika nae sisi naona huyu ni ajira mpya ya Lumumba buku 7 maana wameajiri kuongeza nguvu
Km ni post za CHADEMA muwe mnasema hili Jukwaa ni lenu maPro na BAVICHA
WW POST za ajabu ajabu tuziache zipite
Dr. Slaa ailipua Ikulu
mara tunaletewa
'MBOWE KUPOKEWA KWA MAANDAMANO DAR'
CHADEMA Yaizika CCM Ukonga

Nimeamini upumbavu hauna alama!
Sasa kwa andiko hili nathibitisha Ujinga ni kipaji!
km habari ni ya kutunga pelekeni Buguruni lakini sio matusi maana habari haijakamilika lakini habari inakuja km kweli imekamilika
Kikubwa zaidi ni kwa chama hicho kuweza kujipatia mitaa miwili muhimu.Kamanda Mwita Mwikabe Waitara aliyepata ushindi wa kimbunga wa kura 1262 huku CCM wakiambulia kura 663
Kabla ya uchaguzi huu upinzani kwa ujumla walikuwa wanaongoza mitaa 2 tu kwa jimbo zima.
Jumapili wiki hii kutakuwa na marudio ya uchaguzi kwa mitaa 23 ambayo haikufanya uchaguzi wiki iliyopita
.
sasa hapo ndio CCM kazikwa ukonga? Heading zinatisha nyau kwanini nisiziite za kitoto?
 
Ukwaju umekalia kitu gani mbona una hasira hivyo?
 
Last edited by a moderator:
Ukwaju umekalia kitu gani mbona una hasira hivyo?
Nimekalia ZUIO
unajua panapo ukweli acha pasemewe ukweli
lakini kutunga hata huyo Dr Slaa anapinga na hata hapa alipotamka sehemu zilizoshindwa na CCM ni halali kabisa
lakini eti UKONGA?
Akiyataja maeneo ya Miji midogo ambayo CHADEMA imeshinda, Dr. Slaa amesema:

"1. Nkasi - Namanyere
2. Hai - Bomang'ombe.
3.Karatu - Karatu.
4. Arumeru Mashariki - Usa river.
5.Vunjo - Ukawa.
6. Mbeya vijijini - Mbalizi.
7. Mbozi Maghari - Tunduma.
8. Mbozi Mashariki - Mlowo.
9. Kyela - Kyela.
10. Lupa - Makongorosi.
11. Busanda - Katoro.
12. Geita - Geita.
13. Chato - Chato.
14. Kwimba - Ngudu.
15. Karagwe - Kayanga.
16. Bukombe - Ushirombo.
17. Sengerema - Sengerema.
18. Tarime - Tarime.
19. Tarime - Sirari mji mdogo.
20. Rorya - Shirati ( 7/2).
21. Bunda - Bunda.
22. Serengeti - Mugumu 10/10 ( CUF 3).
23. Kahama - Kahama.
24. Bariadi - Bariadi ( 49/43).
25. Kilombero - Ifakara.
26. Magu - Magu.
27. Mbozi - Vwawa.

Sehemu zote hizo CCM ndio chama cha upinzani.


Bado ipo taarifa ya TAMISEMI haisemi hivyo kuwa katika Mitaa na Serikali za Vijiji 9800 Tanzania Bara na Visiwani UKAWA NI 3300 sasa hapo ni mazishi ?
 
Back
Top Bottom