CHADEMA yaingiza Pikipiki 252 kuimarisha chama

CHADEMA yaingiza Pikipiki 252 kuimarisha chama

Mkuu kuuliza sio ujinga. Ungetusaidia sana kama ungetoa hayo majibu kwa faida ya wanajamvi wote tusiojua huu mchakato wa kupata pikipiki uliendaje.
Kweli mmechanganyikiwa, mlitaka mtonywe kabla ya mzigo kuingia au? Maana hapo Imekula kwenu , uchaguzi wa vijiji , maandalizi hayo, Kinana Anahangaika kuhonga media zote ........
 
Nimewahi kupanda boda boda (ya kukodisha) hapa Morogoro yenye nembo ya M4C. Sasa sielewi kama zinaruhusiwa kufanya kazi hiyo, au vipi?
 
Naamini tutafika, nataka tufanye kama malawi akina magufuli, nape tyson, lukuvi wajiue kwa bastola kama yaliyotokea malawi. Bigup CDM
 
Nimewahi kupanda boda boda (ya kukodisha) hapa Morogoro yenye nembo ya M4C. Sasa sielewi kama zinaruhusiwa kufanya kazi hiyo, au vipi?
Ina nembo tu au mpaka Injini ina maandishi ya M4c ? Maana wapo wapenzi wa Chadema wameamua kuweka sticker hizo kwenye pikipiki zao ,
 
nani alikuwa mhasibu wa kudraw pesa wakati wa kununua.na je pesa hizo ni ruzuku ya chama au ni ule msaada wa pesa za DERNMARK.NAOMBA NIPEWE TAARIFA
 
Ushauri wangu kwa Mohamed Mtoi, hizo pikipiki fanya mpango wa kuziweka sehemu tofauti badala ya kuzirundika katika sehemu moja. Tatizo ni kwamba hii habari si nzuri hata kidogo kwa Maintrahamwe na yule gaidi namba 1 anaweza kufanya mpango zichomwe moto kabla hazijasambazwa kwenye kanda.

Take my advise seriously, la sivyo majuto yasije kuwa ni mjukuu.

Tiba
 
nani alikuwa mhasibu wa kudraw pesa wakati wa kununua.na je pesa hizo ni ruzuku ya chama au ni ule msaada wa pesa za DERNMARK.NAOMBA NIPEWE TAARIFA
Masada wa Denmark ni mkataba uliosainiwa last week , pikipiki zinaagizwa , huwezi order leo na kesho ukapata , wewe ulitaka mhasibu awe nani?
 
Ushauri wangu kwa Mohamed Mtoi, hizo pikipiki fanya mpango wa kuziweka sehemu tofauti badala ya kuzirundika katika sehemu moja. Tatizo ni kwamba hii habari si nzuri hata kidogo kwa Maintrahamwe na yule gaidi namba 1 anaweza kufanya mpango zichomwe moto kabla hazijasambazwa kwenye kanda.

Take my advise seriously, la sivyo majuto yasije kuwa ni mjukuu.

Tiba
Zimeshaenda mikoani tangu juzi , ndio picha zikaruhusiwa kuwa released , Asante kwa ushauri , kesho au keshokutwa mtaona zikiwa assembled kwenye mikoa mbalimbali
 
UNATAKA KUJUA ILI NINI? Zinakuhusu nini au siku hizi CHADEMA ni topic ya siku kwenu

CHADEMA inapokea mamilioni ya fedha kutoka serikalini kila mwezi(ruzuku) , mimi kama mtanzania na mmoja wa walipa kodi ninapaswa kujua fedha hizo zinatumikaje.
 
Hongera sana CHADEMA, Hongereni viongozi wakuu.wa chama kwa maono ya kupeleka chama kwa umma.
Ndo maana ccm imeingiwa hofu na kuushambulia uongozi wa Mbowe na Dr. Slaa
 
Zimeshaenda mikoani tangu juzi , ndio picha zikaruhusiwa kuwa released , Asante kwa ushauri , kesho au keshokutwa mtaona zikiwa assembled kwenye mikoa mbalimbali

Excellent, nilidhani bado ziko mahali zimerundikwa kama zinavyoonekana kwenye picha.

Tiba
 
quote_icon.png
By Tiba
Ushauri wangu kwa Mohamed Mtoi, hizo pikipiki fanya mpango wa kuziweka sehemu tofauti badala ya kuzirundika katika sehemu moja. Tatizo ni kwamba hii habari si nzuri hata kidogo kwa Maintrahamwe na yule gaidi namba 1 anaweza kufanya mpango zichomwe moto kabla hazijasambazwa kwenye kanda.

Take my advise seriously, la sivyo majuto yasije kuwa ni mjukuu.

Tiba
CHADEMA walivyo na siasa za kitoto wanaweza kuzichoma ili ionekane ni CCM. Kama walichoma ofisi yao wenyewe na kuanza kulalamika ni CCM, hili watashindwa?.
 
CHADEMA inapokea mamilioni ya fedha kutoka serikalini kila mwezi(ruzuku) , mimi kama mtanzania na mmoja wa walipa kodi ninapaswa kujua fedha hizo zinatumikaje.
Sawa kabisa wala hujakosea baereze baelewe!
 
time will tell but it is not simple to remove ccm from power with pikipiki
 
Back
Top Bottom