Safi ni hatua moja nzuri sana katika ujenzi wa chama , poleni sana pro magamba najua hii habari inawachoma sana.
ngoja waje wale mamluki wa ccm wanao jifanya kila siku wanataka kujua ruzuku imetumikaje.wakati wanaona magari ya m4c na tuktuk zinaingia hawasemi.