Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Hizo pikipiki kila moja imegharimu shs ngapi?
tuambie ticket ya ndege kwa intarahamwe kwanini huwa mna zidisha mara 10...
Hizo pikipiki kila moja imegharimu shs ngapi?
ina pendeza kwa kweli.....Safi ni hatua moja nzuri sana katika ujenzi wa chama , poleni sana pro magamba najua hii habari inawachoma sana.
Kampuni gani ilipewa zabuni na pikipik moja imewaghalimu kiasi gani na pes zimetoka wapi.
Choo kimoja cha shule ya kata....(tundu moja).....
Mkuu muda mwingine uwe serious kidogo. Haya ni masuala mazito na yanahitaji majibu mazito pia.
Hayo ni mambo yalishajadiliwa kwenye vikao na viongozi walifuata utaratibu, subiria ripoti ya mkaguzi mwakani, tena yeye atauliza hayo na atapata majibu yatakayo mkata kiu kama alivyopata majibu kwenye ripoti yake ya juzi. Chadema imesha kaguliwa, ccm mmeweka mpira kwapani.
By the way, unajua kuwa Landcruiser wanazotumia ccm zilitolewa kwa ajili ya serikali na ccm wakaamua kujimilisha?! unajua sakata lilianzia wapi?!
Hizo pikipiki kila moja imegharimu shs ngapi?
Hizo pikipiki kila moja imegharimu shs ngapi?
Hayo ni mambo yalishajadiliwa kwenye vikao na viongozi walifuata utaratibu, subiria ripoti ya mkaguzi mwakani, tena yeye atauliza hayo na atapata majibu yatakayo mkata kiu kama alivyopata majibu kwenye ripoti yake ya juzi. Chadema imesha kaguliwa, ccm mmeweka mpira kwapani.
By the way, unajua kuwa Landcruiser wanazotumia ccm zilitolewa kwa ajili ya serikali na ccm wakaamua kujimilisha?! unajua sakata lilianzia wapi?!
Kampuni gani ilipewa zabuni na pikipik moja imewaghalimu kiasi gani na pes zimetoka wapi.
Ilo fisadi tumelishtukiaMkuu, Majibu yake wewe hayakuhusu.
Enock Mbona una Kihere here hivyo lakini
Hizo pikipiki kila moja imegharimu shs ngapi?
Sisi chadema tunajua,wewe hayakuhusu uache umbea,kama taarifa nenda kwa mkaguzi mkuu utazipata..Mkuu kuuliza sio ujinga. Ungetusaidia sana kama ungetoa hayo majibu kwa faida ya wanajamvi wote tusiojua huu mchakato wa kupata pikipiki uliendaje.
Wafuta watapata wapi? Zitakuwa Boda Boda vijijini tu.
Mkuu nilichosikia mimi kila pikipiki ni 2M na logo ya chadema kila moja imegharimu 1m na tender alipewa muasisi wa chama Mzee Mtei.