Mkuu Mnyika na Zitto ahsanteni sana kwa maelezo yenu.
Maswali:::::
1) Hivi kweli mko kwenye academic exercise au mnataka kuongoza nchi???
Hii issue ya majimbo ibaki kama research project tu lakini kwa Tanzania ni Dead on arrival. Kama ni kudiscuss tu pros/cons nakubali muendelee kudiscuss lakini kusema muanze kuwaeleza wananchi wakati huu ni wazimu wa hali ya juu na ukosefu wa kuelewa hasa nini wananchi wa Tanzania wanakihitaji.
2) Gharama za serikali ya majimbo itakuwa kubwa mno mpende msipende, kwa sababu mnaact as if serikali ya Tanzania sasa hivi ina balanced budget. Tunategemea wafadhili kwa asilimia 50%, sasa mnaposema majimbo yatajitegemea kutoka tax base ipi??? Kurun mabunge ya majimbo, kurun serikali za majimbo, kurun bunge la jamhuri, zanzibar blah blah hizo gharama hamzioni???
3) Yaani katika option zote za kudeal na CCM, hii ndio the best??
Hamna hata wabunge 10%, mnataka kubadilisha mfumo mzima from which mandate???
Kwa nini kama kweli nyie mnauelewa mkubwa, kwa nini mnashindwa kuchukua hata majimbo 5 katika nchi nzima?? How can U guys turn around and dare to say we want to change the whole system???
4) Issue kubwa sasa hivi ni rasilimali na uchumi wa nchi, mkishindwa kutokea hapo, TRUST ME mtakuwa mmepoteza upenyo ambao sijui utatokea lini tena.
Hivi kweli wale ndugu zangu pale Moshi, wakati huu suala la chakula la dunia na mafuta yanavyopanda, badala ya kuwahimiza kuwa kilimo kifufuliwe na rasilimali za nchi zisiibwe, unawaletea oh Jamani eeh kuna mfumo wa majimbo, AMA KWELI ISHI UONE VIOJA!!!!
Also for the sake of argument, let us look at this scenario::::
Sera ya Majimbo imekubalika na ndio sera ya Tanzania. What next?? Si CCM itashinda hayo majimbo na mabunge yake kama inavyoshinda sasa hivi, wabunge na madiwani?? Sasa kwa nini mnahangaika na suala gumu kama la majimbo ambalo hata kama likikamilika, still CCM ndio washindi??
Kwa nini system ya madiwani ambayo kwa kweli ndio iko karibu mno na wananchi, hamutafuti njia za kushinda huko??? Mkishinda hata Halmashauri say 50, kati ya hizo 100+, labda ndio muanze kuongelea mambo mengine.
sorry guys kwa maneno ya jazba, BUT I CAN NOT FATHOM WHAT U GUYS ARE TRYING TO DO> IT is a FIASCO OF BIBLICAL PROPORTION.